Tuesday, March 3, 2020

DAMU YA BABA.




SEHEMU YA 1.
Ilikuwa ni siku ya jumapili tarehe 27/10/1994 mida ya usiku nikiwa mdogo bado. Baba alikuja nyumbani akiwa amelewa sana, tulishangaa maana alikuja na mwanamke anaejiuza! Alimuita mama akamwambia "mke wangu nimeleta mke wa pili, naomba umuheshimu ndani ya hii nyumba" Mama akajibu,haa! Mme wangu tabia gani hizi? Unaleta mwanamke bila kunihusisha unasema tu umeleta mke. Mama akasema,we binti naomba tu urudi kwenu mme wangu amelewa ndo maana kafanya maamuzi mabaya. Yule mwanamke akasema,"Haa! Naomba unikome hapa ndo nimefika sufuria moja mwiko mmoja"
Mama akamuuliza “nini? Yani nakuomba kistarabu unanijibu ovyo, Ngoja nikupe adabu yako.”
Ndipo mama akafunga kitenge kiunoni akitaka kumpiga. Binti nae alikuwa na nguvu wakaanza kuangushana na mama. Mimi nilikuwa mdogo nisingeweza kumsaidia mama.

Ila nilisikitika sana pale baba na yule mwanamke walipo anza kumchangia mama kumpiga. Hivyo basi mama hakuwa na jinsi ndipo akaamua kukubali. Lakini mama alihisi anaonewa maana mapenzi yalipungua sana kwake alipendwa sana mke mdogo. Mama alionekana mchafu lakini mke mdogo alipendeza sana, Mama alivumilia kwa kila jambo maana alikuwa anampenda baba.
Siku moja asubui baba alicharuka akamfukuza mama bila sababu. Baba Akasema na nikiwa nasikia kwa masikio yangu.
"We mwanamke ni kin'gan'ganizi kweli, nakuletea mwanamke ndani tena nawalaza wote kitanda kimoja! Bado huondoki tu!" Mama alianza kulia pale majirani walipo kuwa wanamcheka kinafiki. Mama akasema asante mme wangu kisha akanibeba nakusema mwanangu tuondoke
Baba akasema ondoka mwenyewe mwanangu muache. Mama simuachi mwanangu, huyo mkeo ana roho mbaya atanitesea mtoto.

Baba akanivuta mama nae akawa ananivuta kila mtu ananitaka maana nilikuwa mtoto mmoja tu! Nilivutwa mpaka nikaanza kulia kwa maumivu.
Mama yangu  iliondoka akiwa analia sana, maana mama alikuwa yatima na hakuwa na ndugu yoyote wa kumsaidia, msaada wake mkubwa alikuwa ni baba tu. Nililia mama  alivyo ondoka maana nilikuwa nampenda. Mama alikosa pa kulala.
Kipind mama yupo mtaaani bila msaada  alibakwa na vijana 7 usiku! na ndipo mimba ya mdogo wangu wa kike ikapatikana pia, doh  maisha ya mama yalizidi kuwa magumu.

Usikose Sehemu ya 2.



                                                   SEHEMU YA 2.
Maisha ya mama yalikuwa magumu lakini alijitahid kujishugulisha na kazi za kwenye migahawa ili apate kula yeye na mwanae.
Sehemu ya kulala bado ilikuwa ni shida hivyo mama akawa kama mlinzi wa mgahawa alipokuwa akifanya kazi maana alilala humohumo bila ata shuka au godoro tena sakafuni kwenye baridi kali yeye na kachanga kake aliko kuwa nako.Mama yangu hakuwa mzee sana lakini alikuwa na maisha magumu tu na alioneka sio wa kisasa kutokana na vitenge vilivyo chanika alivyo kuwa akivaa na miangaiko ya juani alio kuwa akifanya kutafuta riziki.Mama alichukia wanaume  wanao kunywa pombe maana alihisi wote ni sawa.

Baada ya miaka mitatu mama akajitahid akawa amepanga chumba ingawa alikuwa bado na maisha magumu.mama alipo pata chumba akatamani kunifata maana alijua nateseka kukaa na mama wa kambo.Mama alikuja mchana akaniita "mwanangu njoo" nilipo muona mama nilifurah na kumkimbilia alisema nimekufata tuondoke sikukataa maana mateso ya nyumbani nilikuwa nayajua.
Kipindi tunaondoka bahati mbaya tulikutana na baba njiani akasema; "we mwanamke unampeleka wapi mwanangu" mama akajibu, nimemfata mwanangu nikaishi nae mwenyewe ona alivyo konda chakula hamumpi nimekuta anafanya kazi ngumu sana mtoto.

Baba akasema "hakuna kuondoka na mtoto mama alianza kulia nililia pia maana baba alimpiga kofi mama, mama hakuwa na jinsi aliniacha na  akarudi peke yake.
Baba akufurahi kumuona mama akianza kupendeza ndo akaenda kazini kwa mama akamuita bosi wake mama kisha akaanza kumpa maneno ya uongo kuwa.. "huyu ni mke wangu, nimemfukuza kwangu sababu alitaka kuniua na sumu na anatoka katika familia ya kichawi kwahiyo kuwa makini nae atakuulia wateja"

Baada ya baba kuondoka bosi wa mama aliogopa hivyo akamsimamisha kazi mama, mama alimbembeleza bosi wake amsamee lakini alikataa akasema "rudi kwa mmeo".
Baada ya miezi miwili kuisha mama alishindwa cha kufanya maana kodi ya nyumba ilikuwa imeisha na alikuwa hana ata senti.Ndipo aliamua kumkubalia kimahusiano japheti, ingawa japheti alikuwa anakunywa pombe pia yani kumshinda ata baba.Waliishi kama miezi mitano bila ugomvi mpaka mama upendo ukawa mkubwa kwa japheti.Ila Baba alipo mgundua japheti.

ITAENDELEA SEHEMU YA 3.
               
                              SEHEMU YA 3.
Baba alipo gundua kuwa mama anatembea na japheti, hakufurahi ila alifurahia pale mama alipo kuwa akiteseka na kunyanyasika.Alimfata japheti na kumwambia, "japheti nakuomba uachane na mke wangu,tena nisikuone nae maana itakuwa ugonvi mkubwa na  mmoja wetu kuvuja damu kabisa, nitakuua kwa mikono yangu miwili."Japheti alikuwa muoga sana ndipo akajibu "sawa nimekuelewa nimemuacha mkeo".Japheth alipo fika nyumbani hakutaka ata kuongea na mama! Mama akamuuliza "japheti mme wangu tatizo nini? Mbona umebadilika leo? Naomba unijibu japhe!" Japheti alikaa kimya bila kuongea ila mama alikuwa ni mwanamke anae jali sana, alimsogelea japheti akamuuliza huku  akimpapasa mikononi akasema "mme wangu nakutegemea sana wewe japheti kama unavyo jua sina mama sina baba na sina msaada wowote kwahiyo ukikaa kimya nakosa raha".

Japheti akajibu kwa asila "kwahiyo mimi ndo msaada wakati unataka kuniua na mmeo, kumbe nyie bado mnamahusiano ebu niache"Japheti alimsukuma mama pembeni akasema "sikutaki tena we mwanamke" mama alilia kama mtoto mpaka mafua yakamtoka maana alikuwa tayali anampenda japheti.
Japheti alichukua begi na godoro akaondoka mama alilia zaidi akisema "niachie godoro japheti nitalalaje na mwanangu leo"Japheti hakusikia akaendelea kutoka nje maana godoro  alilinunua kwa pesa yake, mama aliendelea kulia kwa nguvu akisema kwa machozi "jamani japheti rudisha godoro" kipindi mama analia kulikuwa na wananchi wenye asila kali walihisi japheti ni mwizi wa godoro ndipo wakaanza kumpiga bila kujua .

Japheti alilia nakusema sijaiba niacheni ila hawakusikia waliendelea kumshambulia
Mama pia alilia akisema huyo sio mwizi ila sauti ya mama ilikuwa ndogo hivyo alikuwa hasikiki.
Japheti alipigwa sana maana alirushiwa wame na kupigwa na miti kichwani. sababu watu walikuwa wanachukia wezi ule mtaa hivyo basi mwizi asinge pona kama akikamatwa.

Kutokana na japhe kupigwa sana masikini kaka wawatu alifariki! sura  ikiwa haitamaniki.
Mama alilia sana , japhe alibebwa na alizikwa na police maana hakukua na wakumzika.
mama alikata tamaa kabisa na maisha!Aliugua sana ila hakuwa na msaada wa dawa na chakula baba alikataa kumsaidia  mama. Baada ya siku mbili mtoto wake pia akaugua.

ITAENDELEA SEHEMU YA 4.        


                            SEHEMU YA 4. 
Mtoto wa mama aliugua sana tena alikonda mno maana alikuwa apati chakula wala dawa mule ndani, sababu mama pia alikuwa anaumwa zaidi hivyo wote walikuwa awana nguvu sababu ya ugonjwa, hali ya mtoto iliendelea kuwa mbaya! ndipo mama akakojoa na kumnywesha mtoto mkojo wake!  kuona kama labda  mwanae atapata nafuu au afadhali kidogo sababu hakukuwa na msaada wowote wa chakula au dawa mule ndani mama alisema "kweli masikini atabaki kuwa masikini na tajiri atabaki kuwa tajiri" mama alikuwa anampenda sana mwanae hivyo akaamua kujikaza kimalikia na kutoka nje kuangalia kama anaweza kupata chakula ili mwanae asife.
Mama Alienda chumba cha jirani yake maana mda mwingi walikuwa wakicheka pamoja nae; mama akamwambia "mama jesca ninaumwa sana mama, Mwanangu pia ana hali mbaya naomba unisaidie chakula tu leo ili ninusuru uhai wa mwanangu na mimi maana ninanjaa sana mama jesca".
Mama jesca akajibu "hahahaha nitokeee uko! uliambiwa hapa ni kituo cha watoto yatima sikia sasa nikwambie we mchawi ulieshindwa kuishi na mumeo chakula ninacho lakini sikupi" mama aliumia. ndipo wakati anajivuta akinyata kwenda kwa baba ili amuelezee labda angeweza kumsaidia, alikutana na kijana mmoja anaitwa HANS; Hans alipita tu akiwa anaendesha baisikeli yake akamuuliza mama. "we mama mbona unatembea kinyonye hivyo barabarani tena mwenyewe tatizo nini?" Mama akamuelezea hali ya maisha na jinsi mtoto anavyo umwa ndipo HANS alipatwa huruma akanunua chakula na kumwambia twende tukamchukue mtoto ili tumpeleke hospitali.

Mama alifurahi nakusema "kweli mtu anaekusaidia ni usie mjua". Hans aliwachukua wote na kuwapeleka hospital walitibiwa wote mtoto akapona na akapata nguvu kabisa lakini ugonjwa wa mama ulishindikana hivyo aliitajika kupelekwa nje ya nchi tena kabla ya siku mbili, mama alikata tamaa sababu zile  galama za nje hakuna ambae angeweza kuzilipa, Akamwambia HANS kuwa "kaka nakushukuru msaada wako ingawa sitapona ila mwanangu amepona naomba umtunze mtoto maana nayeye ni yatima kama mimi akikua umwambie nilibakwa na watu nisio wajua ndipo nikapa mimba yake na ana kaka yake" kweli hazikupita ata siku mbili mama akafariki

Usikose sehemu ya 5.






                                                              SEHEMU YA 5.
Mama alipo tangulia mbele za haki, baba alipigwa simu na watu ambao walikuwa wameisha pata taarifa kuusu kifo cha mama wakimsihi baba aweze kuhudhulia kwenye mazishi ya mama yani wote baba pamoja na mimi mwanae. Lakini tulimshanga sana baba alivyo sema! "Siwezi kuja kwenye msiba wa huyo mwanamke tena mimi huyo mwanamke simtambui kabisa msiniusishe kwa chochote kile tafadhali nawaomba"walimjibu baba na kusema kwamba, "sikiliza kaka huyu mwanamke ni yatima hana mzazi yoyote yule na wewe na yeye mliishi kwa mda mrefu sana tena vizuri bila ugomvi!
Tena yani ni mzazi mwenzako! maana mmezaa mtoto! kwanini unamkataa sahiv jamani" Baba alikata simu palepale. Mimi nililia nakusema; baba nataka kumzika mama, lakini baba alinigombeza na kusema "hakuna kwenda mahala popote utabaki ndani tu leo "
Mama wa kambo alikuwa na roho mbaya lakini ata yeye hili swala lilimgusa akamwambia baba "Mme wangu ungempeleka mtoto na wewe pia mkamzike marehemu sio vizuri tukamtelekeza na tunamjua".Baba alijibu nakusema "mke wangu yani tangia nimekupata wewe na nimeishi na wewe humu ndani sijawai kufikilia mtu yoyote yule ata wazazi wangu sijawai kabisa, nakupenda sana mke wangu! kila mda nakuwaza wewe na kukusikiliza usemacho nakupenda wewe tu, kwahiyo nikitoka hapa nikaenda msibani ni dhahili kuwa sikupendi sasa sitaki tena kusikia hayo mambo ya kuzika, kwan mlitaka nani afe nisimzike acheni kunisumbua akha!"

Mama alizikwa kwenye makabuli ya wilaya bila ndugu yoyote kuwepo, na ghalama za mazishi ni kwa michango ya pesa iliyo patikana kwenye rambirambi baada ya daftali yenye picha ya mama  kutembezwa barabarani.Watu walisikitika sana kitendo alicho fanya baba cha kumkana mama!Wengine walisema, "jaman mwanaume huyu ana roho mbaya sana sio mtu wa mungu kabisa.

Wengine walisema kwamba "mke wake wa pili anatabia za kishirikina ndo kamgeuza akili mpaka kamsahau mkewe! maana sasa hiv huyu mwanaume ata mama ake mzazi hamsaidii chochote kile yupo anaangaika tu lakini mkewe anapendeza sana wakati kipindi marehemu yupo aliwajali wazazi wake ndugu zake ata sisi rafiki zake alitukumbuka lakini tangu abadilishwe akili anatuzalau wote tusimlaumu maana damu yake imechezewa..

Itaendelea Sehemu ya 6.



                      
                           SEHEMU YA 6.
Jamii yote iliyokuwa imetuzunguka ilimshangaa sana baba kwa kitendo cha ajabu kisichofaa alichokuwa amefanya cha kumtelekeza mama! Lakini baba akuwa na wasiwasi wowote ule alihisi yupo sahihi. Ilipo pita miezi miwili maneno  mataani kuhusu kifo cha mama yakawa yamekatika mama akaanza kusaulika.
Kesho yake siku ya jumanne baba alipigiwa simu na rafiki yake! akamwambia kuwa kunakazi nzuri sana mkoani ya uchimbaji wa madini mgodini baba aende wakafanye maana ilikuwa ina lipa! Baba alikataa akasema siwezi kuja uko nikamuacha mke wangu peke yake ata kama pesa hipo.

ila mama wa kambo alimwambia baba kuwa, "mme wangu tusichezee kazi maana ni kazi kupata kazi, naomba tu uende ukatafute pesa tuishi maisha mazuri zaid" Baba alikubali ndipo akaanza kujiandaa ili aweze kwenda mkoani kwenye migodi  kusimamia uchimbaji wa madini ili  kutafuta pesa za kutosha. Wakati baba anajiandaa alishangaa kuona naanza kulia akauliza, "mwanangu unalia nini"? Nikajibu nikitoa machozi, "baba unaondoka unaniacha," Huku machozi  yanatoka nalia nikikohoa bila hata kuwa na kikohozi tena  mbele ya mama wa kambo.

Nililia sababu nilikuwa najua nitateseka pale nyumbani maana mke wa baba alikuwa hanipendi kabisa! Baba alipo maliza kujiandaa mimi na mama wote tulimsindikiza stendi ya basi aweze kusafili, tulipo rudi nyumbani mimi na mama kabla ata sijakaa kwenye kochi sebleni nilipigwa kofi pah Mgongoni nilianguka chini maana sikutegemea kofi, nilishtuliwa nikahisi ni shoti ya umeme mama akasema "kilicho kuwa kinakuliza kisa baba ako anaondoka ni nini? inamaana hunipendi sio? Kesho hakuna kwenda shule amka mapema deki nyumba na choo osha vyombo vyote na unipikie chai" nililia sana nikasema sawa mama, niliamka mapema nikafanya kama nilivyo ambiwa maana nilimuogopa sana mama angenipiga sana nisipo msikiliza, siku moja aliniita akasema "nampigia baba ako simu akiuliza unaumwa sema ndiyo ili anitumie pesa mimi" baba alipo niuliza nilikubali kwa shinikizo tu maana ningepigwa!Siku moja nipo nje ninalia mgeni wa mama alikuja akanikuta nalia akaniuliza mbona unalia nikasema mama ameninyima chakula, mgeni akaguna  alipo ingia ndani akakuta mama anakula vyakula peke yake na juisi. Akasema “kha!!”
Itaendelea sehemu  ya 7





                       SEHEMU YA 7.
Mgeni wa mama akasema khah yani we unakula na mtoto ananjaa nje analia haumpi chakula? Tabia hii shoga yangu mbaya! Mama akajibu "weh nikome amfate mama ake kule makabulini ampe chakula mimi nakula mwenyewe!sijazaa mie"Yule mgeni hakufurahia kile kitendo wakati anaondoka alinikuta nimejikunyata palepale akanipa ela nikaenda kununua (chips)! Nilipo rudi nyumbani kula mama akaniona akasema "wewe mtoto mwizi wewe, nani kakupa hela ya chips? unaniibia hela siku izi sio?" hapana mama akaanza kunipiga bila kunipa ruksa ya kuongea alimwaga chips bila ata ya kuonja kwahiyo nikashindia maji tu.
Baada ya siku mbili nikiwa sebuleni naangalia Tv nilisikia geti linafunguliwa nikajua ni mama ndipo nikazima Tv ili asije kunichapa maana alisha sema kuwa "sitaki kukuona unatazama Tv yangu" nilikaa kama siangalii tv, mama alipo fika akasema, "naomba uende chumbani kwako ulale" nikamwambia mama sahivi sina usingizi mama naomba nikae sebleni kidogo. akasema, "siku hizi unakibuli ehh? naona umekuwa sana we mtoto" akataka kunipiga ndipo nikakimbia kujifungia chumbani akasema nikuone umetoka uko! kaa huko huko.
Baada ya kama dakika mbili mama akichungulia kama nitatoka nje. Nilimuona mkaka(BODABODA) anaingia kwenye chumba cha baba na mama.Damu ilisisimka sana nikaogopa maana tangu nazaliwa sikuwai kumuona mwanaume yoyote anaingia kwenye chumba cha baba. Niliisi labda kunatatizo chumbani yani labda kutengeneza switch chumbani au kuweka net juu, nikajikaza kisabuni bila kwenda.Lakini nilishangaa kuona wanakawia ndani! nilitoka polepole nikaenda kusikia kuna nini! Maana nilikuwa mdogo bado. kipindi naenda nilikuwa naogopa labda mama anaweza kunichapa na kunipiga akiniona naenda kwake! lakini nilijikaza nikaenda; Nilipo fika karibia na mlangoni, nilishangaa sana kusikia mama kama analia akiwa anakema,Akisikia uchungu chumbani.sikujua kama anafanya mapenzi maana nilikuwa mdogo! niliogopa sana nikajua yule bodaboda anamuua mama, ndipo nikatoka haraka haraka kuita majirani na ndugu zake baba  waje kumsaidia mama asije kufa.Ndugu zake baba na jirani walikuja nyumbani Walipo fika wakagonga mlango, mama akatoka amevaa kanga moja tu! akiwa anatokwa jasho!
Usikose sehemu ya 8






                                                  SEHEMU YA 8.
Ndugu zake baba walishangaa sana jinsi mama jasho la uchovu lilivyo kuwa lina mtililika! nilikuwa mdogo sikuelewa kabisa kinacho endelea niliisi mama amekabwa akalia mpaka jasho kutoka! kumbe mama alikuwa akifanya mapenzi na yule bodaboda.Baba mkubwa akasema  kuwa shemeji vipi nasikia umevamiwa? Hapana shemeji sajavamiwa, mama akajibu.Baba mkubwa akasema, mwanao ametufata kwa fujofujo akisema mwanaume bodaboda yule anae sadikika anapenda sana wake za watu! kaingia chumbani kwako amekuvamia na anakushambulia ili ufe.Mama akacheka akasema "hapana sijavamiwa tena sina tatizo lolote huyu mtoto muongo sana!na anakua mjinga sababu namlea kama yai namdekeza sana kila anacho taka nampatia! Itabidi nipunguze ili akue"

Baba mkubwa akasema oky sawa kama hakuna tatizo maana tumekuja kukuokoa wewe, kisha akaniambia "we mtoto ukirudia kutudanganya nakuchapa"
Wakati wanataka kuondoka baba mdogo akasema "lakini tunaweza kuzalau maono ya huyu mtoto kumbe akawa yeye ndiyo yupo sahihi; na siku zote watoto wadogo wanasema kweli, mimi ninacho omba aturuhusu kwenda kukagua chumbani kwake ili tuwe na huakika kabisa na sio kutusimamia mlangoni kama vile anaficha maovu ndani"
Mama wa kambo akasema "wee! Nikome  shemeji philipo,  Nikulize swali, kaka ako amenioa na wewe unataka kutembea na mm? Yani unalizimisha uingie chumba ninacho lala na kaka ako! Mjinga kweli"

Baba mkubwa akasema, "ajamaanisha hivyo jamani ila anachotaka yeye ni kukuokoa wewe! ana wasiwasi labda adui kakuzuia usimtaje ili asikuue ndo maana unakataa! mdogo wangu anataka tukakague na ndani vizuri kunusuru uhai wako"
Mama aligoma kuruhusu mtu kuingia chumbani maana yule awala yake alikuwa kakaa kitandani kwa baba akiwa amevaa nguo ya ndani tu.Ila jirani akasema "lakini mbona tulipo fika ulitoka ndani unatokwa na jasho jingi vilevile ulikuwa mchovu na mnyonge kama ulikuwa unafanya kazi ngumu ndani"mama  alisema alikuwa ana nyoosha nguo.Mama alipo kuwa mlangoni alikuwa ameshikilia simu yake, mala ghafla simu ya awala yake ndani ikaita! baba mkubwa akasema niende kuileta maana mama alikuwa kaisha anza kutetemeka, nilipo ingia ndani nikamkuta bodaboda yupo uchi wa mnyama! niliogopa na kusema kwanguvu....

Itaendelea  sehemu ya 9.




                        SEHEMU YA 9.
Nilisema kwanguvu sana "dudu" maana dudu ya awala yake mama ilikuwa imesimama kipindi yupo kitandani na ilikuwa kubwa tofauti na yangu maana mimi nilikuwa mdogo hivyo nilishtua sana kuiona! Na mama alimuacha boda boda akiwa hajavaa chochote ndani, ingawa yeye mama alikuwa kajivika kanga pale mlangoni akiongea na baba mkubwa, Ndugu na majirani wengine.
Baba mkubwa akasema "wewe mtoto mbona kelele dudu gani ilo tena ilo? leta simu tuone ya nani" nilikimbia kutoka chumbani bila ata simu ila bodaboda aliweka kidole mdomoni mwake akimaanisha nisiseme kama nimemuona ndani maana aliogopa kufumaniwa na mke wa mtu.
Baba mdogo akauliza "simu iko wapi mbona unakimbia tu ukisema dudu"  nilisema "dudu kubwa sana ndani" hawakuelewa namaanisha nini, Baba mkubwa akauliza dudu gani? kabla sijajibu dudu mwenyewe.

 Mama akasema na kumjibu baba  kwamba leo nimepulizia ndani dawa ya kuuwa wadudu nazani mtoto kaona baadhi ya mende hivyo kashtuka.Nilitaka kusema sio kweli bali kuna mtu ndani ila nikaogopa maana mama alisha nizuia kumbishia lolote atakalosema. Waliamua kuondoka wote maana waliona mama hajapatwa na tatizo nilivyo baki mwenyewe mama alinichapa sana na kunipiga adi kichwani nililia lakini hakuwa na huruma  Yule bodaboda akatoka kajifunika taulo dogo la baba! akasema "mpenzi wangu msamee tu bado haelewi maisha huyu!" Mama akasema "Wewe mtoto umefikia hatua ya kunibania starehe zangu na bwana angu, hivi wewe unazani huyu ni baba ako asiejua mapenzi! olewako uniletee hao majirani na baba zako hapa nitakuuwa"
Mama Alisema "ebu nenda kaoge ujifute hizo damu puani usije kuniletea balaa hapa maana ulisha niboa kweli leo."

Kweli mama alinipiga sana damu zilinitoka puani, mpaka nikamkumbuka marehemu mama yangu kabla hajafa.Kipindi naingia chumbani kwangu kulala nikasikia mama akizungumza na baba "kuwa kesho baba anarudi kusalimia."Mama alivyo sikia baba anarudi ndipo mimi nikajua kuwa mchawi. Nilimsikia usiku saa 9 akisema "damu ya mme wangu fanya kazi" akawasha mshumaa. Akasema "mchanganye mme wangu anisikilize anipende & anipe kila kitu mimi"
Alichukua damu ya baba na kuipaka kwenye kitambaa cheupe akicheka kichawi. Nilipiga kelele! Alishtuka akaficha vifaa akasema.


Usikose sehemu ya 10.










                                           SEHEMU YA 10.

Mama alipo gundua kuwa namtazama anavyo muwangia baba uchawi wake alisema, "Hivi we mtoto mbona unafatilia maisha yangu?" nikamjibu "mama nilisikia kelele sebureni nikajua labda ni wezi ila nashangaa niwewe". Kwanza niliona haibu kumtazama mama  maana alikuwa hajavaa nguo kabisa na  mama pia alionyesha kutetemeka na kujishika maziwa yake nisiweze kuyatazama maana alipatwa na haibu. Alivuta pazia mlangoni kisha akasema "toka ukalale uko."nilimuuliza swali pia kwamba,"mama hivi damu ya baba mbona kama unaiambia ikusikilize utakacho na usemacho na upendwe na baba, kwani damu ya baba umeitoa wapi" mama alisema "we mtoto kumbe umesikiliza kila kitu sasa ole wako nisikie unamwambia mtu yoyote ata baba ako nakuua! 

Ufe kama mama ako" niliogopa sana maneno ya mama maana yalikuwa ya kuogopesha! Baba kesho yake mchana aliwasili nyumbani na alituletea zawadi!, Mama alikuwa na wasiwasi kuwa nitamwambia baba maneno niliyo yasikia kwake, ndipo akaanza kumwambia baba maneno ya uongo kuwa "mme wangu nakupenda sana na wala sina mwanaume mwingine zaidi yako lakini tatizo ni moja tu yani mtoto wako! "Kafanya nini"baba akauliza,  Huyu mwanao amenishinda kabisa tabia, Ananisingizia sana! nikimtuma popote hataki kwenda na wewe ukiwa haupo ata salamu hanipi, Na matusi ya hajabu ananitusi pia! Mama akasema Lakini mme wangu, bora hayo navumilia tu! ila tabia yake ya kunichungulia uchi wangu nikiwa naogoa sijaipenda kabisa, naomba umzuie mtoto wako tabia zake maananampenda sana lakini  hanipendi na nikimchapa nahisi hautofurahi."

Baba palepale kwa asila alichukia alinifata chumbani akakuta sipo, akaanza kuniita kwa nguvu maana nilikuwa nje, nilipo ingia ndani tu baba Alinipiga teke mgongoni nikiwa bado mdogo mimi, Baba Akanipiga kofi usoni; ndipo damu zikaanza kunitoka! Baba alichomoa mkanda wake wa ngozi kiunoni akaanza kunichapa akisema " Kwanini humueshimu mama ako?" Nikauliza "kutokumueshimu vipi? naumia baba usinichape mama namsikiliza sana"  aliendelea kunichapa bila ya huruma. Nikamuangalia mama akiwa ananicheka tena kinafiki ishala kuwa anafurahia pale ninavyo pigwa.
Nilikasilika nikasema "Baba, mama ni mchawi sana" baba akasema we mtoto hauna heshima kabisa yani.....


Sehemu ya 11.









                       SEHEMU YA 11.

Baba alisema" kweli hauna adabu kabisa yani unamuita mama ako mchawi" baba kwasababu damu yake ilikuwa tayali imeisha chezewa! hivyo aliniona mimi kama takataka; alinipiga mpaka kichwani bila huruma na makofi mengi ya puani huku nikisema, "baba acha  nikwambie mama alivyo mchawi maana nilimuona kwa macho yangu" nilisena hivyo damu zikinitililika maana nilikuwa tayali nimepigwa sana na mwili wangu tayali ulikuwa mchungu, "Haya ebu sema umemuona wapi akifanya uchawi" baba aliuliza. "mimi nilimsikia akisema kuwa damu ya mme wangu mchanganye akili anipende, anisikilize huku akiwa uchi amewasha mishumaa mida ya saa tisa usiku."

 Ha! mme wangu umemsikia mwanao umemuona nilikwambia huyo ambavyo anipendi ananisingizia tu! Mama akasema; baba akasema pia "kweli aka katoto kamekuwa kapumbavu kama marehemu mama ake! Ngoja nikafudishe tabia maana heshima hakana kabisa.Baba alinichukua akiwa amenifunga mikono! Na fimbo yake mkononi, alinichapa sana bila huruma barabarani! watu walishangaa sana walijaribu kumzuia lakini alikataa; Alinichapa njiani mpaka akanifikisha kituo cha polisi.

Polisi aliekuwa zamu alishangaa sana kuona baba ananipeleka pale maana alikuwa anatujua wote.Akauliza "vipi mwanao amefanya nini mpaka unamfikisha uku umeshindwa kumuadhibu nyumbani?" baba  alinisingizia mambo mengi ya uongo! kisha akatoa pesa ili nifungwe. Nililia sana ila baba akasema "tabia zako mbaya baki uko mjinga wewe" aliondoka nilibaki mule ndani palikuwa pachafu sana maana vinyesi vya wafungwa vilikuwa umo umo tunapo lala jamani, nilisisimka vibaya mwili sana nilipo waona funza ndani wakizunguka na nzi wale wakubwa!

Kwenye chumba cha wafungwa hakukua na kitanda wala mkeka, bali nilipigwa baridi sana chini chakula kililetwa kibaya sana ugali kama uji na maharagwe bila haragwe ndani bali ni mchuuzi tu, na tukitumia sahani moja na wafungwa wengine, kibaya sasa wao walikuwa wachafu zaid mule ndani, yani vidole vyao vinatia kinyaa ata kula nao sahani moja, ila nilikula maana nyumbani ata chakula hawakuniletea.
Ilipo fika saa nane usiku, nilisikia kama navuliwa suruali na nguo ya ndani alikuwa mbaba mnene hivi akanivuta.Akasema kaa kimya.

Usikose sehemu ya 12.
















                          SEHEMU YA 12.

Nilikaa kimya yule baba alivyo nivuta maana nilikuwa naogopa watu wa mule ndani nilihisi wanaweza kuniua, kipindi ananivua nguo nilianza kutetemeka nikahisi anataka anichape viboko nikiwa uchi wa mnyama! maana  mule ndani kulikuwa na giza, kipindi wengine wamelala hawana habari yule baba akanishika kiuno akanisogeza karibia na chake, Nilishtuka sana na nikashangaa alipo nitemea mate kwenye makalio yangu, Nakuanza kupaka akisema "sitaki uumie!" Nilipo taka kuongea, "alisema kaa kimya!" Hama kweli nilimuona mtu mbaya sana maana kipindi nipo mdogo nilikuwa sipendi kabisa kutemewa mate!

Nilishangaa yule baba anatoa dudu yake analazimisha iingie kwenye makalio yangu! Ahaaaaa!! Nilipiga kelele watu wakashtuka mule ndani wakawasha taa haraka, walishangaa sana maana nilikuwa nimevuliwa nguo na yule baba! pia na yeye kabaki na dudu yake ikiwa wazi tu wenzake wakimtazama.
Wafungwa Walisema kwa afande kuwa "Bwana afande mtoe  mtoto humu, bado mdogo jamani, hata kosa hana! katusimulia maisha yake, kibaya zaidi anabakwa na hii mibaba humu ndani ebu jamani mpeleke akafungwe mwenyewe sio humu kwetu."

police walipatwa na huruma kisha wakaniambia "baba ako kakuleta hapa katulazimisha tukufunge tena kasema tusikuachie" niliwaelezea; watu wote wakanionea huruma! Kipindi nipo naongea na wale asikali bahati nzuri usingizi ukawapitia wakalala fofofo ndipo nikatoroka polepole na kuingia mtaani!
Sikuwa na  pakulala hivyo akili ikanituma nilale juu ya mti ambao ulikuwa nyuma ya gereji, nilipo lala bahati mbaya usiku niliota kama najigeuza kitandani, nilianguka chini vibaya mpaka bega langu na mkono vikauma , ndipo nikaingia kulala chini ya uvungu wa gari liliokuwa bovu pale.

Siku moja nipo barabarani natafuta  vyuma niuze ili niweze kupata hela ya kula! nilimuona mtu kama mama anaingia kwenye nyumba ya wageni na mume wa mtu tena yule ninae muuzia vyuma chakavu maana yule kaka alikuwa na mke;lakini alisifika sana kubadilisha mabinti,
walipo ingia chumbani! kumbe mama wa pale gesti alikuwa anamjua mke wa yule kaka,ndipo akaenda kumwambia; mkewe alikuja na kisu cha nyanya gest kummaliza mama! mimi nilikuwa maeneo ya palepale na mimi ndie nilikuwa namjua mama peke yangu pale.


Usikose sehemu ya 13.














                        SEHEMU YA 13.
Yule mwanamke alikuja amekasilika sana anataka kumuua mama na kisu, maana alionyesha kuwa na wivu kwa mmewe. Kipindi mama yupo na yule mwanaume walisahau kufunga  mlango walipo ingia chumbani wakadondoshana moja kwa moja mpaka kitandani, mama alikuwa huru sana Maana ile miezi baba angu alikuwa amesafili kikazi hivyo mama alikuwa anatumia pesa za baba kumpata kila mwanaume alie mpenda! Na mama alipenda sana vijana wadogo wadogo maana babay angu umli wake ulikuwa tayali umeenda.

Yule kaka akasema kwa mama "mpenzi funga mlango kwanza" lakini mama akawa kapagawa tayali na yule kaka mpaka akapatwa na uvivu wa kuufunga malango! akasema, "achana na mlango mpenzi wangu naomba raha tu" kipindi wameisha vua nguo wamebaki na nguo za ndani peke yake,  walishangaa ghafla mlango unagongwa na yule mwanamke akisema"fungua mlango" yule kaka akaogopa sana maana alisikia sauti ya mkewe! Mama akauliza "tatizo nini" yule kaka akasema "huyo ni mke wangu maana sauti kama yake" wote walianza kuogopa!Mama akauliza "nani tena kamwambia sisi tupo huku?" Aliendelea kugonga akisema "fungua" kipindi anagonga mlango kwa hasila  Mlango ukafunguka maana walikuwa hawajaufunga mlango kabisa kipindi wanaingia. Yule mwanamke akasema "mme wangu tabia gani hizi upo uchi na huyu malaya unaniacha ndani sijala naangaika na watoto?"

Mama alipo ona kisu akakimbia nje akiwa amevaa nguo ya ndani tu! Yule dada akamfata akisema we malaya lazima nikuue! mme wake alikuwa muoga sana alikimbia akawaacha mama na mke wake, yule mwanamke alipo taka kumchoma kisu mama, mimi nilikuwa maeneo yale yale  nilimuonea huruma sana mama nilimfata karibu kipindi anataka kumchoma tumboni, nikakinga mkono wangu wa kushoto, kisu kikanichoma mimi,kipindi ninalia maumivu ya kisu mama alinishangaa sana maana alijua bado nipo kituo cha police nimefungwa! Alikimbia kwa uoga maana aliona haibu nimemtazama akiwa uchi! Alikimbia uchi kila mtu mtaani akimshangaa! akaniacha nikiwa nalia sana pale; maana maumivu yalikuwa makali mkononi, ila yule mwanamke akanionea huruma kisha akanibeba na kunipeleka kwake kumbe pale kwake ndipo palikuwa kwa HANS alie msaidia mama na mdogo wangu wa kike! lakini mimi sikujua kama pale kuna mdogo wangu!

Usikose sehemu 14.

















                         SEHEMU YA 14
Nilipo fika kwa yule mama niliwaona watoto wake wote ila nilipo muona mdogo wangu tu dahh! moyo wangu ulishtuka nikahisi nywere zinasisimka kabisa, Sikuelewa  pale pale kama ni mdogo wangu hivyo nikatulia tu.
Nilitibiwa na kupona vizuri, baada ya week moja yule mama akaniuliza kuhusu familia yangu na kwanini nafanya kazi za kuokota makopo na vyuma wakati natakiwa kuwa shule sababu umli wangu unaruhusu.
Nilimuelezea kuwa "mama angu alifukuzwa na baba angu nyumbani nikiwa mdogo sana; na baba akaoa mwanamke mwingine nyumbani, mama aliteseka mpaka alifariki dunia nikiwa mdogo sana, Hivyo nimeishi na mama wa kambo kwa mda mrefu na amekua akinitesa; na kumfanyia baba mzazi vitu vibaya sana kama kulala na vijana wadogo kwake, sio hivyo tu bali yeye pia alichezea "damu ya baba" nikiwa naona kwa macho yangu hivyo baba angu anamsikiliza tu mama na hanisaidii chochote mimi alinifunga polisi! Eti kisa nimemwambia kuwa mama ni mchawi! Ila police nikatoroka mpaka sasa sina pa kula wala pa kulala wewe ndo msaada wangu" yule mama akasema dah! wanawake wengine wanaroho mbaya sana sijui uyo mwanamke yukoje jamani? Nilimjibu na kumwambia kuwa "ni yule ulie taka kumchoma kisu nikatega mkono wangu kumnusulu maisha na uhai wake! Dah! Kwanza alishtuka akajibu "jamani we mtoto una roho nzuri sijapata kuona yani umemuokoa huyo mama wakati amekufanyia ubaya" nilimjibu "hiyo yote ni mipango ya mungu" Baada ya mda mme wake akawa amefika, Mr Hans alipiga magoti chini akamuomba mke wake msamaha; kweli mke wake alimsamee!
lakini mimi kila nilipo kua namuona mdogo wangu, nilikuwa najisikia tofauti mwilini mwangu, kumbe damu nzito kuliko maji.
Watu walishangaa sana kile kipindi  maana mke wa baba alikuwa atoki ndani, kwa zile aibu za kukimbia uchi kutoka gesti baada ya kufumaniwa na mme wa mtu; ndugu na majirani ambao hawakuwepo gesiti walizani kuwa labda amechanganyikiwa mpaka kuonyesha mwili wake waziwazi, walienda kwa mama kumjulia hali lakini mama aligoma kabisa  kufungua mlango ndipo wakampigia simu baba lakini baba ila akawatukana; dah usiku kila mtu akaondoka.
Usiku huohuo nikiwa nimelala nikaota kuwa..

Usikose 15




  SEHEMU YA 15
Niliota nimekutana na shimo kubwa tena refu sana njiani! kipindi nataka kulivuka niende upande wa pili dah; kwa bahati mbaya udongo ukamomonyoka  nikiwa karibu na lile shimo, Ndipo nikaanguka  mule shimoni mule chini tena mbali jamani,
hakukua na mtu yoyote wa kunisaidia. Ndipo nikaanza kulia kwa sauti kubwa sana "huui huui nakufa mama nisaidie! Nakufa mama nisaidie!
Maana udongo ulikuwa umeanza kunifukia na kunizika mzima mzima  ndani, kipindi nakaribia kufunikwa palepale Mzimu wa mama ukanifata na kuniambia kuwa kuwa "usijali mwanangu hauwezi kufa nimekuja kukusaidia" pia mama akasema kuwa "mwanangu yule mtoto ni mdogo wako wa damu hivyo mpende na mjali na msikilize maana yeye ni wakike hivyo wapaswa kumuangaikia"
Nilishtuka palepale nikatupa shuka na kuanza kujifuta udongo kichwani na nguo zangu nikizani udongo umenichafua kumbe ilikuwa ni ndoto tu, sikuamini kama kweli ni mama kaja kuniambia  kupitia ile ndoto, maana nilikuwa siamini ndoto kabisa.
Hans alipo samehewa na mke wake lile fumanizi, aliambiwa kuwa
"nimekusamee mme wangu lakini nataka ukapime virusi vya ukimwi na magonjwa ya zinaa yote kisha mimi ndo nitalala na wewe chumba kimoja". Hans akasema nisamee mke wangu! Ila mke wake alikataa, alikuja kulala chumba nacho lala mimi maana nilikuwa mdogo bado hivyo hakuwa na wasiwasi wowote kabisa kwangu.
Kumbe nyumbani kwa baba angu mzazi mama angu wa kambo alichukia kile kitendo cha kukimbia uchi mtaani! hivyo akataka kulipiza kisasi kwa mke wa hans, maana ndiye alie sababisha mpaka yeye akakimbia uchi barabarani na kupatwa na haibu kubwa.
 kipindi nipo nimelala usiku na mke wa hans akiwa kalala (fofofo)
Mke wa hans alikuwa mpole kweli  ingawa alikuwa na hasila! alikuwa anatupenda sana na hakuwa mchoyo.
Usiku nilianza kuhisi kama kuna paka wanalia sauti kama za watoto, na sauti za kichawi pia usiku! Siku shituka kwanza nikajigeuza ili nipate usingizi nisiwaze uchawi, nilishindwa kulala nikaamua kukaa; kipindi nimekaa nilishangaa kuona mke wa hans anafungua mkono mwenyewe akicheka huku amelala alivyo fungua mkono kisha akaufunika mkono  mpaka asubui bila kuufunua; asubui akatuita na kutuuliza jamani hii shilingi mia nani kaniwekea usiku?
Usikose ya 16


















                         SEHEMU YA 16

Mke wa hans alishangaa sana tulipo mwambia kuwa, hatujamuekea ile pesa  mkononi mwake usiku ! alilia akajua kuwa kuna uchawi umefanyika kwake, ila alisema siendi kwa waganga au sehemu yoyote ile namuachia mungu ndiye anaejua;
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya dini; hivyo mke wa hans ile pesa aliyokuwa amewekewa kichawi usiku! na yeye akaenda kuitoa sadaka kwa mumgu! yani akamuwekea mungu pia maana hakujua ilipo toka ile hela.
Alipo rudi nyumbani baada ya kutoka kwenye ibada! wakati anaenda jikoni kutupikia chakula alishangaa kuona kisu chake cha zamani sana, tena alicho kuwa anakipenda! lakini kilipotea zamani akakikuta jikoni! ila kimechomekwa chini maana jiko lake lilikuwa alija sakafiwa na simenti.
Mke wa hans alishtuka kwanza kisha akashangaa akamuita mme wake maana mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi!  akamuelezea mume wake ila ; hans akasema "mke wangu acha uoga bhana labda mwizi karudisha kisu! chomoa kisu tumia mke wangu". Ndipo mke wake kwakujiamini akakichomoa; kipindi anachomoa tu sauti za mizimu zikaanza kumuingia mke wa hans!
Mke wa hans akaanza kuongea na kijivilingisha chini akisema kwa sauti ya ajabu kuwa "sisi ni majini tuna njaa sana tumefata pesa yetu uliyo peleka kwa adui yetu," wale majini walimkamata mke wa hans na aliteseka sana maana walitaka ile pesa walio mpa usiku akiwa amelala na mke wa hans aliipeleka kwa adui yao ambae ni mungu! hivyo waliitaka maana walikuwa wanateseka na wao pia.
Maisha ya mke wa hans yalianza kuwa magumu sana maana ile pesa ilikuwa imechanganyika na zingine hivyo kanisani wasingeweza kuitambua.
Ndipo Akaanza kuugua magongwa ya ajabu! maana alianza kupatwa na vidonda usoni! Vidonda vikubwa sana hivyo uso wake ukahalibika!
Magonjwa yalikuwa yanapishana kwa mke wa hans maana yale majini ndiyo yalikuwa yanamtesa yakiitaji pesa yao; baada ya miezi mitatu mke wa hans aliiaga dunia na wakati wa mazishi mvua kubwa sana ilinyesha hivyo watu hawakuweza kumuaga vizuri maana kwenye jeneza hakuwemo yeye! Ilikuwa gogo tu hivyo wale wenye nguvu wangeweza kutambua kuwa hajafa.
Na mizimu ilikuwa imemchukua mke wa hans kama mtumishi wao, kwahiyo alikufa kwa macho ya binadamu tu, ila kwa mungu alikuwa hajafa bado.....
usikose 17














                         SEHEMU YA 17
Hans alisikitika sana masikini, pale mke wake alipo fariki! alikata tamaa ya maisha  na akajiona kapoteza kila kitu katika maisha maana mkewe ndiye alie kuwa ana msimamia kwenye kazi zake nyingi na alimshauri kwa kila jambo hans, mke wake alilea watoto wake vizuri na sisi pia alitulea vizuri hans aliona awezi kutulea kama mke wake hivyo akawa ni mtu wa majonzi sana.Kutokana na hans kukata tamaa ikampelekea yeye kushindwa kusimamia kazi zake vizuri! hivyo mali zake zikaanza kuteketea ovyo ovyo,
Na hans akajikuta anauza nyumba yake na kuamua kurudi kijijini kwao kuanza maisha mapya.Hans Alituita mimi na mdogo wangu akatwambia "jamani nyie watoto nimewalea kwa mda mrefu sasa, na mimi sio baba yenu mzazi naombeni mkajitafutie wenyewe maisha sahivi, maana na mimi sina pesa kabisa jamani! Hans akasema tena, mimi naondoka kijijini na wanangu awa tu tena  nawapeleka kwa bibi yao maana nyumba nimeuza sina ata pa kulala, Hans akatwambia mpendane na  msaidiane hivyo hivyo tu kidogo kidogo, ombeni misaada kwa watu ipo siku mtafanikiwa; ndipo akatutambulisha vizuri kuwa; wewe binti mdogo sikia; mama ako alifariki dunia aliugua sana na hakupata matibabu maana alitelekezwa, na mume wake alishusha upendo baada ya kuoa mke mdogo ingawa siwajui mimi. Na mama ako kabla ajafa, alisema ukikuwa nikwambie kuwa  una kaka yako ila yeye yupo kwa baba .Mdogo wangu alianza kulia sana maana alijua Hans ndo baba ake akasema nitapata wapi msaada tena jamani baba usituache sisi tusaidie! Mimi nilishtuka nikasema mbona kama hii inanihusu na mimi pia, nikauliza,  kwani mama ake anaitwa nani?, hans alipo nijibu sikuamini maana alikuwa ni mama angu na mimi ndiye nilie kuwa kaka ake yule mdogo wangu.Hans akuamini nilivyo muelezea jinsi muonekano na jinsi mama angu alivyo! Hans akasema kweli mungu mkubwa ndoto yangu imetimia kabisa nilitamani sana nimpate kaka ake huyu binti leo hii mungu kanipatia kiulaini;
Mimi nilipo mtazama mdogo wangu vizuri sura ya mama ilikuja vilevile. Hans aliondoka akatuacha tunalia nje ya nyumba tukiwa tumeshikilia mifuko yenye nguo zetu hatujui wapi pa kwenda ndipo..uckose 18









                         SEHEMU YA 18.
Hans aliondoka akatuacha pale mimi na mdogo wangu tukiwa tunalia huku tumebeba mifuko yenye nguo zetu! Aliondoka na wanae ambao mdogo wangu alikuwa amewazoea sana kama ndugu zake. Nilijikaza kiume nikaacha kulia maana hans aliondoka bila huruma kabisa, Na nilihisi tukilia labda hans atapatwa na huruma aweze kutuelewa lakini wapi! Hivyo tukabaki tumesimama pale nyumbani. Baada ya masaa kadhaa tukiwa bado hatujala chochote na mdogo wangu! Wale walio nunua nyumba wakafika, Wakatwambia na kutuuliza  kwamba " nyie watoto wawapi?" Nikajibu kuwa "hapa ndiyo nyumbani kwetu" wakasema "hii nyumba tumeisha inunua hivyo tusingependa kuwaona hapa" nikajikaza na kusema kwamba "Tuoneeni huruma jamani mama etu kaisha kufa! Na tunanjaa tunaomba chakula tu" Hakuna ata mmoja alie patwa na huruma ata kidogo. Sikuwa na jinsi nikamchukua mdogo wangu ili tuanze maisha ya mtahani maana nilikuwa nayajua kwahiyo nilitaka kumfundisha mdogo wangu pia ingawa  alikuwa wa kike ili na yeye ajifunze kazi za kuokota vyuma chakavu na chupa za maji. Mdogo wangu alikuwa na nyota sana na alikuwa na bahati ya kuokota, alikuwa akihisi sehemu; akienda anapata zaidi! hivyo watu wengi mafukara kama sisi walikuwa wanapenda kumfatilia anapo enda! Na mda mwingine
walimnyan'ganya vyuma vyake pia.
Siku moja siku ya jumapili mdogo wangu aliingia kwenye nyumba ambayo ilikuwa inajengwa na alikuta vyuma vingi sana hivyo kipindi anapita kwenda chumba cha pili kuokota.Akashikwa na kuzibwa mdomo na vijana wavuta bangi wakitaka  kumbaka na kumbikili mtoto mdogo bila mimi kufahamu.
Na Nyumbani mama aliendelea kufurahia jinsi alivyo kuwa ameichezea "damu ya baba" kuifanya akili ya baba kama zezeta!
Siku moja kipindi mke wa baba ameingiza mwanaume wake ndani! siku hiyo na baba nae alikuwa amekuja kutoka kazini kule machimboni.
Lakini iyo wiki mitandao ya simu ilikuwa inasumbua hivyo akuweza kumwambia mama kama anakuja! Kipindi mama anafanya mapenzi alisikia mlango unagongwa wakati huo  na mama ndiyo anafurahia mechi na mtu wake! Baba aligonga akisema "mke wangu nimerudi kukusalimia fungua mlango basi!" Dooh ndipo yule mwanaume alishituka akaingia chini ya uvungu.
kule mdogo wangu pia akavuliwa nguo zake mimi sijui.#19







                          SEHEMU YA 19.
Kipindi nipo mwenyewe naokota okota vyuma ghafla tu nilishtuka maana nilikaa mda mda kidogo bila kumuona mdogo wangu! Pale pale Moyo ukanituma niende kumuangalia sehemu niliyo hisi atakuwepo maana mdogo wangu alipenda kukaa hiyo sehemu ila sikumkuta kabisa pale, niliogopa maana alikuwa bado mdogo, wakati sijielewi! kuwa nitampata wapi mala ghafla nikasikia kelele! Tena sauti kama yake ndani ya nyumba ambayo bado haijamalizika kujengwa, na pale ndipo watoto wa matajili walipenda sana kuvutiapo sigara na kunywa pombe mala kwa mala!
Nilipo enda pale na kuchungulia, Nilikuta mmoja anamziba mdomo mdogo wangu; mwingine kambana miguu na mmoja anambaka jamani na damu zikiwa zinamtoka! Tena akijivilingisha akisikia uchungu sana maana wale wakaka walikuwa wakubwa sana ila mdogo wangu alikuwa na miaka saba tu! Hivyo alisikia maumivu makali sana kubikiriwa! Nilipo muona Mdogo wangu niliumia sana pia maana machozi yalikuwa yanamtoka sana! Niliogopa kumsaidia maana wale wakaka wangenipiga pia! hivyo nikatoka haraka haraka kwenda kutafuta mawe! kipindi naanza kuokota mawe palepale mungu saidia nikamuona mbaba mmoja anapita, nikamfata nikamwambia mdogo wangu anabakwa nisaidie jamani baba! Alichukua fimbo kubwa ili aweze kumsaidia kipindi tunaenda! Tukawakuta wanabadilisha mmoja kaisha rizika mwingine anataka na yeye afanye mdogo wangu akapoteza fahamu kabisa! Nililia sana yule baba akasema "wewe Daniel yani mnabaka mtoto mdogo hivi? kwanini mnatafuta dhambi?" wakaanza kuogopa nakusema kwamba "tusamee mwenyekiti" kisha wakakimbia" kumbe yule baba alikuwa mwenyekiti hivyo alikuwa anapafahamu kwa mama ake Daniel, alimbeba mdogo tukaenda kwa kina Daniel ili amuonyeshe mama daniel jinsi mtoto wake alivyo na tabia mbaya; mwenyekiti akasema "mama daniel mtoto wako kwa alicho fanya itabidi ahukumiwe kifungo" yule mama akasema "tusamee baba nipo tayali kumtibu huyu mtoto na kuwatunza wote na kaka ake! Mwenyekiti akasema mwanao nimemkuta anambaka kabisa huyu mtoto sikuamini kabisa; Yani tena damu zimemtoka nyingi huyu binti atakuwa anaumwa sana! Yule mama daniel alikuwa anapesa sana hivyo akampeleka mdogo wangu hospitali ili aweze kutibiwa!
Usikose sehemu ya 20

  SEHEMU YA 20.
 Mdogo wangu alipo fikishwa hospitali hali yake ilikuwa mbaya sana tena ya kuogopesha! kitendo kilicho mfanya mama Daniel kuogopa na kujua kuwa lazima mtoto atafariki! Doctor akamuuliza "mama Daniel huyu mtoto mbona kabakwa na bado mdogo sana! tena inaonyesha alizibwa pumzi asipige kelele hivyo imempelekea kupoteza fahamu kabisa, mama nani kafanya mchezo huu, maana anatakiwa kufungwa kifungo cha maisha kabisa!" Mama daniel akajibu "mimi nimemkuta huyu mtoto njiani ikabidi nimsaidie kumleta kwako dokta wangu"
Mimi nilikuwepo nikaguna! Nikataka kusema ukweli kuwa mwanae anae itwa daniel ndiyo kam'baka mdogo wangu! Ila mama daniel akanikonyeza! Nilijiongeza nikanyamaza pia. Doctor alimpima tena mgonjwa kisha akasema mama daniel mgonjwa wako ana mawili kupona au kufa maana yuko na hali mbaya sana! Kabanwa pumzi yake kwa mda mrefu!. Mama daniel alipo sikia kuwa mgonjwa anaweza kufa akaogopa! akajua kuwa mtoto akifa mwanae atakamatwa hivyo akampigia simu Daniel wake akamwambia "mtoto wangu kwanini unabaka kwanini umefanya kitendo hichi" kisha akamuelekeza Daniel achukue pesa chumbani kwake ili aweze kutoroka aende kijijini kwa bibi yake"  Danieli alifanya hivyo lakini Dani alikuwa amepagawa maana alijua ameua na aliogopa haibu mtaani kwao na kwa ndugu zake! Hivyo dani alichukua zile pesa.
Kipindi anatoroka na basi limefika mkoa wa KIMBIGO basi lilipinduka! wakapata ajali mbaya mungu saidia deleva na watu wote hawakufariki ila Daniel tu ndiyo akawa amepoteza maisha yake !
Kipindi mama daniel anapigiwa simu kuwa mtoto wake amepata ajali maana na ndiye mtoto wake wa pekee na alikuwa amempata  kwa tabu sana maana alikuwa hana uwezo tena wa kuzaa na umli wake ulikuwa umeenda! Mama daniel alilia pale hospital akijutia kwa mambo mwanae aliyo yafanya;
mda huo huo mdogo wangu akapata nafuu na kuzinduka palepale akishangaa amefikaje hospital huku akisema "kaka nasikia maumivu sehemu zangu za kujisaidia"nilimwambia utapona mdogo wangu! Mazishi ya daniel yaliisha salama! Mama dani sikumoja akatuita na kutwambia kuwa "wanangu mimi sijawazaa wala mimi sio ndugu yenu lakini naomba mnieshimu naomba mniite mama, nipo tayali kuwasaidia mtasoma na mtaishi maisha mazuri.... usikose #21





                      




  SEHEMU YA 21
Tulimsikiliza na tukamueshimu sana mama Danieli; ila bado hakuridhika kabisa akahisi labda tunaweza siku moja kumgeuka na kumkana maana hakuwa na mtoto tena na umli wake ulikuwa umeenda! Alikuwa anaishi mwenyewe bila mume! Mama Daniel  ikabidi aseme kuwa kwanzia leo mimi nitaitwa Daniel kama marehemu kijana wake na huyu binti ambae ni mdogo wako sasa ataitwa Neema; hatukubisha maana yeye ndiye alie kuwa msaada wetu mkubwa hivyo tukakubali kwa majina tuliyo pewa. Tuliendelea kujitahidi sana katika masomo yetu maana tulipelekwa shule nzuri tu na tuliendelea kumuheshimu kila mtu alie kuwa ametuzunguka!
Lakini jamani Baba angu kule nyumbani sababu damu yake ilikuwa imechezewa aliendelea kufanyiwa vitu vibaya sana bila yeye kutambua, maana mama wa kambo alivyo kuwa amemficha  yule awala yake chini ya uvungu baba akujua, Baba akauliza hiyo mipila ya kufanyia mapenzi juu ya droo ya kitanda changu niya nani?
mama akajibu hapana mme wangu usijali huu ni uchafu tu mme wangu; baba akamuuliza acha kunifanya mimi kama mtoto hiyo mipila imetoka wapi? Mama akasema mme wangu kwahiyo uniamini siku hizi sio? Basi mimi naondoka!  kwa sababu baba tayali damu yake ilisha chezewa alisema hapana mke wangu usiondoke nakupenda sana! Yule  awala ya mama alikuwa uvunguni mwa kitanda alafu alikaa mda sana mule akawa amechokaa sana na nguo zake alikuwa hajavaa zilikuwa chini ya godoro pia. Baba alikuwa na wasiwasi ila alijikaza tu maana alikuwa anampenda mke wake. Mke wa baba akaanza kuogopa maana alijua mme wake atamuona yule mkaka alie kuwa chini ya uvungu wa kitanda! Mama akamfata baba chumbani akasema mme wangu nimekuandalia chakula twende ukale. Baba akasema ohh mke wangu nimetoka nimekula! nimeshiba maana ulisha sema nikiwa nakuja nije nimekula nisikusumbue wewe kupika.
Mama akasema mme wangu twende chumba cha wageni nimekisafisha vizuri nataka nikupe mahaba sana leo ufurahi mme wangu
baba akajibu hapana mke wangu chumba cha wageni ni wageni sio mahaba mke wangu yule mwanaume aliekuwa chini ya uvungu uvumilivu ulimshinda ikabidi atoke kisha akava nguo zake haraka haraka; Baba akasema mke wangu huyu mwanaume ndiye mnafanya nae upuuzi  ndani kwangu baba akaenda kufunga mlango
Usikose ya 22






                       SEHEMU YA 22.
Mama akamwambia awala yake "kimbia kabla hajaamka mme wangu ana nguvu!" Kipindi yule  kaka anataka kufungua mlango aweze kukimbia baba alijikaza akaamka kwa nguvu kisha akampiga teke yule kaka!  Ndipo yule kaka akaangukia kwenye kabati mpaka kabati likaangukia chini!
Dooh! Kumbe nyuma ya kabati kulikuwa na tunguli ambalo damu ya baba ilikuwa imewekwa baba akauliza hicho nini mbona kama mizimu? mke wake akasema hapana mme wangu! Baba akauliza tena kumbe mwanangu alisema ukweli wewe ni mchawi sio? Mama akasema hapana nisamee mme wangu! Baba akakipasua kile kitunguli! palepale damu zikamwagika chini ndipo baba akili zake zikamuijia akawa sawa palepale! Akashangaa sana akauliza we dada malaya! mke wangu na mtoto wako wapi? Na umefata nini humu chumbani? Usikose sehemu ya 23
Baba alipo funga mlango, akamkamata mkono yule kaka kisha akampiga kofi shavuni! mama akasema mme wangu muache unamuumiza! Baba akamuuliza "kwahiyo mimi na yeye nani bora" mama akasema "msamee jamani" yule kaka alikuwa kashikiliwa mkono wake na baba yani kwamba ata kuchomoka asinge weza  ilikuwa ngumu! Mama alikuwa anampenda yule kaka! maana alikuwa mda mwingi analidhika kwa mapenzi moto moto anayo mpa kipindi baba akiwa kazini, Hivyo alisikitika baba alivyo mpiga teke la kumkata miguu aanguke! Mama akasema mme wangu jamani muache! mama akaanza kulia kwa hisia, Yule kaka akachukia sana akasema "jamani nihurumieni sitarudia tena kuja kwako, mke wako ndiye alinilazimisha! mimi nilikataa akanilazimisha akisema kwamba hauwezi kutufumania" baba hakumuachia akasema "lazima ufe hivi unajua nikiasi gani cha pesa namuhudumia huyu mke wangu we unakula tu kiwepesi wepesi" mama alipo sikia kuwa baba anasema kwamba lazima afe alichomeka pasi kwenye umeme! kipindi bado baba ameangalia kwa mbele akiwa amemkaba shingo yule mkaka pasi ilivyo pata moto mama akaongeza moto mkali tena! Kisha akachukua ile pasi ikiwa na moto mkali sana jamani! pasi uliyochomekwa kwenye soketi ya umeme mama akamtundikia baba sikioni ile pasi! Dooh baba alipiga kelele akamuachia yule kaka alisikia maumivu makali sana akaanguka chini kabisa akisema "mke wangu kwanini unanichoma jamani" machozi yakiwa yanamtoka sana baba.
Usikose ya 23







                       SEHEMU YA 23.
Baba alisikitika pale alipo kuta mke wake hayupo na mimi mtoto wake sipo kwake  maana alikuwa anatupenda sana; Baba akamuuliza mama kwamba, we mwanamke kwanini upo ndani kwangu? Mama hakujibu! Baba akasema Nakuuliza ebu nijibu? Baba akasema tena ujue nahisi kama naota vile maana sielewi kabisa! Hivi jamani We mwanamke ulieshindikana mtaa mzima kila mtu anakujua ulivyo na tabia za kubadilisha wanaume inakuwaje leo upo chumbani kwangu! Baba akaanza kulia maana hakuelewa kinacho endelea! Akasema tena naomba unipe mtoto wangu maana ndiye mmoja tu niliepewa na mungu sikuwa na uwezo tena wa kuzaa zaidi ya kijana wangu mmoja tu Nirudishie kijana wang; mama akajibu nisamee mme wangu!
Weee!! Baba akampiga kofi zito sana; kisha akamwambia naomba usirudie kuniita mmeo ushindwe; Naitaka familia yangu naamini nitaipata tu!
Mke wa baba akasema "kama hunitaki naondoka" baba akasema sawa ondoka sikutaki kisha akamtolea vitu vyake vyote nje.
Baba akajiuliza inawezekanaje nimeishi na huyu changudoa! hapana siamini lazima umeniloga lazima umenichezea akili wewe! Baba akapiga nduru akasema alafu sura yangu nitaificha wapi mimi! maana mtaa mzima unakujua tabia yako ilivyo.
inakuwaje mimi nimefukuza familia yangu nzima kwajili yako.
Mke wa baba alikuwa hana cha kusema hivyo akafukuzwa kutoka pale kisha akaanza kuzunguka mtaani maana hakuwa na pakukaa.
Ndipo baba akatoka haraka haraka ndani kisha akaenda kwa ndugu zake, ili kuangalia kama walimtunzia mke wake na mtoto wake ambae ndiye mimi.
Baba alipo fika alimkuta kaka yake akamuuliza "samahani kaka jamani mimi nahisi kama naota, nahisi sielewi, yani sikumbuki chochote kuhusu familia yangu, na nimekuja kumuulizia mke wangu labda unaweza ukawa unaishi nae hapa" baba amkubwa kabla ya kumjibu machozi yalimtoka akatoa kitambaa na kijifuta usoni kisha akamwambia kuwa "mdogo wangu ulinifukuza kwako ukasema nisikanyage tena! ukamfukuza mke wako na akabakwa na vijana usiku, akaishi maisha magumu sana mpaka akaugua akafaliki,
ulimfukuza mama yetu alie kuzaa! kisa mkeo
hata hivyo tulikusamee maana tulijua ni mapito lakini tulishangaa sana ulivyo mpeleka mtoto wako kwa mikono yako,kituo cha police ukitaka afungwe na achapwe kila mda.
 Usikose ya #24





                         SEHEMU YA 24.
Baba alilia akasema "hapana kaka mimi sijafanya hivyo kaka, akasema ohh! jamani nitakuwa mgeni wa nani mimi" baba mkubwa akasema, "maneno niliyo kwambia yanatosha mdogo wangu maana nikizidisha unaweza kulia mpaka ukatoa kamasi! Kwa sababu, yani wewe sio wa kukataa kumzika mke wako wakati unajua alikuwa yatima! Hana baba, hana mama, wala hana ndugu yoyote yule!
Wewe ndo ulikuwa tegemezi lake"
Baba akasema kaka unanisingizia mimi siwezi kumkana mke wangu kabisa siwez kukataa kumzika kaka! Baba mkubwa akamwambia "kama unabisha muulize mtu yoyote mtaani au muulize ata mtoto mdogo toyote anajua kuwa ulimkataa mke wako na mtoto!
" Baba alishika kichwa kisha akasema lazima nimuue yule malaya awezi kunialibia maisha yangu bila sababu
Baba mkubwa akasema "mdogo wangu nenda ukamuombe mapema msamaha mama, kabla ajafa maana ulipo mfukuza kwako alikulahani sana na anakuchukia sana hivyo kamuombe msamaha nyumbani maana nimgonjwa sana. akifaliki atakuachia lahana kubwa sana! Baba alikimbia kupanda gari mpaka kwa bibi ili aweze kusamehewa na mama yake! Ila alipo fika nyumbani masikini ya mungu alikuta watu wengi sana! Alipatwa na wasiwasi akauliza, doh  alisikitika kusikia mama yake kafariki sababu ya pesa kukosekana kwajili ya matibabu na wakati baba alikuwa na pesa
ila alimpatia mke wake kila alipo pata pesa lakini mke wake alikuwa akizitumia vibaya kwa kuonga wanaume na kwenda starehe za kila aina.
Baada ya mazishi kuisha baba akaamua kwenda kumtafuta mama angu wa kambo ili amuulize vizuri ilikuwaje mpaka akamfanya vile,
Maana baba aliumia sana moyoni, lakini tayali mke wake alikuwa ameanza kujiusisha na biashala ya kujiuza ili aweze kukidhi maitaji yake! maana alikuwa hana sehemu yoyote ya kupata msaada.
Baba alipo fatilia kiundani aliambiwa kuwa "siku moja alikuwa amelewa sana kwenye Bar, kipindi hicho amekunywa sana Bia, yule mke wake alikuwa anajiuza na alikuwa anajiusisha na mambo ya kishilikina pia,
 hivyo kipindi baba anaenda nyumbani! aliyumba na kujikwaa akaumia damu nyingi zilimtoka kwenye kiganja chake akiwa chini maana pande la chupa lilimkata
Akaambiwa ndipo Mkeo akachukua damu yako bila wewe kujua, kisha akakufanyia mazingala ukampenda na kumkana mkeo"
Usikose ya 25






                                              SEHEMU YA 25. 

Baada ya baba kugundua na kuambiwa yale maneno aliishiwa nguvu kabisa! Akasema kuwa "Hee marehemu mke wangu nisamee popote ulipo jamani, ehhh mama yangu mzazi pia nisamee mwanao nilikukosea, huku chozi likimtoka sana baba akasema sio mimi jamani ni pombe tu na uchawi wawatu wasiopenda maendeleo ya watu ndo ulinifanya niwe mbaya kwenu, ehh mama yangu nisamehe. Baba akasema mtoto wangu popote ulipo kama ujafa au kama mzima nisamehe baba yako nakutafuta jamani.
Baba aliamua kuwa mpole ingawa jamii ilikuwa inamtenga na aliogopwa ata na watoto wadogo " maana walishangaa alivyo nifukuza mimi rafiki yao ambae ni mtoto wake"
Baba aliamua kuweka kikao cha kuomba msamaha kwa ndugu zake ili waweze kumjali na kumtembelea maana mkewe alikuwa tayali kawafukuza ndugu zake wote! Ndugu na jamaa walimsamee! Shangazi alikuwa na mtoto akamuomba baba akae nae maana baba alikuwa hana ndugu yoyote na alikuwa anakaa mwenyewe kwake baada ya mke wake kuondoka.
Baba aliendelea kupambana na kazi zake maana alikuwa mpambanaji sana, lakini masikini offisi ilimtumia barua ya kumsimamisha kazi!
Baba alilia kama mtoto maana alikuwa hana akiba ata ya shilingi mia moja ndani! maana mke wake pesa zote alizitumia kwa starehe.
Baba akaenda kuomba msamaha na kuuliza kwanini wanamuachisha kazi jamani! walimzuia asiingie ndani! Baba alirudi nyumbani akamwambia mtoto wa shangazi kuwa! mtu asiingie ndani awe mwangalifu kisha baba akapanda pikipiki haraka kwenda kumwambia kaka ake mambo yaliyo mkuta ya kuachishwa kazi kipindi yupo barabarani dereva alikimbiza sana na alikosea kunyoosha pikipiki bahati mbaya wakayumba na kudondoka mtaloni! Baba alikuwa amevaa elementi! dereva alikuwa hajavaa chochote kichwani dereva alifaliki palepale ulimi ukamtoka nje kabisa, Baba alivunjika mguu na kuzilai! Alipo pelekwa hospital madaktali hawakuwa na jinsi zaidi ya kumkata mguu wake.
kipindi baba anaanza kupata nafuu ya ulema! akapigiwa simu kuwa mtoto wa shangazi alikuwa anachezea moto ndani hivyo godoro likashika moto na kuunguza nyumba nzima na kila kitu chake ndani; Baba alilia maana alipoteza kazi na mguu wake pia na nyumba doh!
Baba akawa kilema masikini ndipo akaanza sasa kuombaomba msaada mtaani.

usikose #26








  SEHEMU YA 26.

Maisha ya baba yalikuwa magumu sana na hakuwa na msaada wa kifedha ata kidogo maana ata ndugu zake hawakuwa na pesa kivile za kuweza kumtunza na kumpa baba kila alicho itaji, hivyo baba hakuwa na njia nyingine ya kujitafutia riziki maana kila alipo enda kuomba kazi hakupata kazi, walimwambia "usilie kaka kazi tungekupa lakini tatizo ni ulemavu wako tu" baba alijiona takataka,  akajiona hana bahati kabisa duniani, akaona bora aendelee kuombaomba ata miamia barabarani apate japo hela ya kula.
Siku moja tukiwa tunatoka "super market" mimi na mdogo wangu wa kike tunaelekea nyumbani, mdogo wangu akasema "kaka twende kuwapa wale walemavu hela kidogo tulizo baki nazo waweze kutumia na wao labda hawajala masikini" mimi sikuwa na hela yoyote mfukoni, nikamwambia "wewe nenda ukawape mimi nakusubilia hapa " mdogo wangu akasema kaka mimi sina hela nyingi naenda kumpa mmoja tu pale; nilimsubilia, kumbe mdogo wangu alienda moja kwa moja mpaka kwa baba yangu anapo ombea msaada sehemu ambayo baba yangu anakaa akamkuta baba analia mdogo wangu akamuonea huruma akampatia baba hela, Cha kushangaza mdogo wangu aliwaacha watu wote akampatia baba bila kujua kama yule ni baba yangu masikini; mimi sikujua kama baba yangu yuko pale nilijua bado yupo na mama wanakula maisha maana walinifukuza kwao.
Mama yangu wa kambo aliendelea na biashala zake za kujiuza lakini alichoka maana serikali ilikuwa hairuhusu hivyo, wadada wote wanao jiuza walikuwa wanakamatwa na polisi na kupelekwa kituoni kila siku wanatoa faini! hivyo akaona bora aache hiyo kazi, ata hivyo mama yangu wa kambo alikuwa amepata pesa kidogo akaona ni bora aanzishe genge lake ili aanze kujishugulisha na uuzaji wa nyanya na mbogamboga mtaani;
Biashala za mama ziligoma pia akakosa ata mia moja ndani, siku moja mama alikosa pesa kabisa hivyo akaenda sehemu za kuombea msaada akijifanya mgonjwa,
kipindi amekaa amejifunika kanga, usoni ameweka Tsh50 chini ya kibakuli chake watu walikuwa wanampita tu mama bila kumpa msaada, mama alivyo geuza kichwa upande mwingine alishangaa sana kumuona mme wake akiwa hana mguu anaomba msaada! Mama alishtuka sana ila baba  alikuwa bado hajamuona.
Mama akaona bora atoroke haraka haraka;
Usikose 27







                       







 SEHEMU YA 27.

Mama hakuweza kuamini kabisa kama mme wake anaweza kuwa kilema, hakuweza kuamini kama mme wake anaweza kuwa ombaomba, maana alimuacha akiwa kwenye nyumba safi na kazi yake nzuri! Mama Aliona aibu hivyo alikimbia sana akasahau ata bakuli lake na tsh 50 iliyo kuwemo.
Kweli "Malipo ni hapa hapa duniani" kipindi mama anaondoka alitembea barabarani bila kijielewa.
Ndipo akaenda kukaa sitendi ya mabasi yaendayo mikoani! Alimuomba kaka mmoja hela ya kula akisema "kaka yangu nisaidie pesa kidogo nikale" akajibiwa "we dada acha hizo bhana mjini pesa hazitoki kiulaini hivyo, twende kwangu ukale uoge tulale nikulipe hela" kwa sababu mama alikuwa mzoefu katika biashala za kujiuza hivyo hakuwa muoga akakubali,
kweli walipo fika nyumbani alinunuliwa chakula aina ya (chips yai) mama alikula akaoga akaomba apumzike yule kaka akasema "sikusema uje upumzike hapa nilisema tulale yani tufanye kabisa tendo!" Mama akamwambia "basi nenda ukanunue kinga tulinde afya zetu" kaka akasema sawa ndipo akatoka kwenda duka la madawa kuulizia
Alipo rudi akakuta mama hayupo tena kaiba hela kwenye droo ya kitanda na simu yake pia!
Yule kaka alichanganyikiwa akazitupa chini zile kinga akakaa kitandani akajutia kuleta watu asio wafahamu kwake
Kipindi yule kaka amekaa na vijana wenzake mtaani akamuona mama anapita akawambia "oya yule dada siku moja nimemleta kwangu akaiba hela akaiba simu yangu alafu akatoroka ndani" wakasema "lazima ajute leo" vijana walikuwa 9 kwa idadi.
Mama wakati anapita ameshikilia chakula wawili walienda na kumkamata. mdomo wake wakaujaza karata walizo kuwa wakicheza akawa awezi kupiga kelele walimbaka mama bila ata kutumia kinga vijana tisa! mama alijaribu kuvumilia maana alikuwa amezoea kujiuza lakini alishindwa maana kipindi anajiuza alitumia madawa ya kulevya ili asisikie uchovu ila hapa walimbaka hivyohivyo tena vijana walikuwa wachafu sana hivyo mama akapata magonjwa ya zinaa! mama alibaki pale mtaani mwenyewe nguo zake zikiwa zimechanwa.
kipindi watu asubui wanaenda kazini walimkuta mama akiwa analia akiwa uchi wakamuuliza tatizo nini
akajibu "nilibakwa usiku " wakamuuliza kwako wapi? Akasema jamani sina sehemu ya kuishi!
Dada mmoja akasema mimi
Usikose # 28


















                          SEHEMU YA 28.

Mama alisaidiwa na yule dada kwa kila jambo! akaishi vizuri tu.
Siku moja mimi niliamua kwenda nyumbani kwetu maana nilitamani sana kumuona baba ingawa alinitupa lakini "damu nzito kuliko maji"
Nilisikitika sana nilivyo kuta nyumba yetu imeungua yote nilikuwa nimeenda na gari maana tayari nilikuwa nimekuwa kijana mkubwa hivyo gari za nyumbani nilikuwa naendesha mda wowote ule sikushuka nje ya gari maana nilijua tayari siwezi kumpata baba yangu.
Ila baba yangu alikuwa na nyota pia maana alikuwa akipata msaada kushinda wale omba omba wengine.
Siku moja baba amekusanya karibia kama elfu 50, mda huo omba omba wenzake hawajakusanya kitu chochote.
Walimpiga baba na kumnyang'anya pesa zote wakisema kuwa "we baba tangu uje hapa wenzako hatupati hela unatubania riziki bwana" baba alilia akiwa na mguu mmoja "jamani msininyan'ganye hela zangu" watu walijaa sana pale. wakawazunguka wagonvi mimi pia nilikuwa  napita maeneo yale sikujua kama baba ndiye anapigana na watu masikini na ata sikutaka kuchungulia kuna nini kinaendelea nilipita tu!
kumbe ningejua ningemsaidia baba labda asingeumia na kupata alama kubwa usoni mwake.Nilivyo fika nyumbani nikamkuta mama Daniel katoka mkoani maana alikuwa na biashala zake akizifanya hivyo alikuwa anaweza kukaa ata mwaka mzima bila kurudi nyumbani
Nilimsalimia mama daniel na nikamuuliza hali ya atokako ila nilishangaa sana kuona hanijibu
Bali ananitazama macho yangu kihisia vile, sikutaka kujua anacho kiitaji ila nilihisi labda alikuwa amelewa siku hiyo mpaka macho yake yakalegea.
Mama yangu wa kambo aliendelea kukaa kwa yule dada mpaka akawa rafiki yake mkubwa wakaaminiana sana.
mama aliendelea kupendeza kwa nguo alizo kuwa akinunuliwa na yule dada mpaka vijana wakaanza kumtamani bila kujua kuwa mama ni mwasilika.
Mme wake yule dada alie msaidia mama akaanza kumtamani mama sababu alipendeza kuzidi ata mkewe.
Siku moja Mume wa rafiki wa mama akawai kutoka kazini akarudi nyumbani akijua kuwa mke wake awezi kurudi nyumbani mda huo, Alimuita mama chumbani kwake akamshikisha laki tatu mkononi akimwambia, "naomba tufanye mapenzi ila mke wangu asijue na mimi nitakuwa nakupa pesa  na nitakutunza kama mke wangu humu ndani! Mama akasema....

Usikose ya.#29





                            SEHEMU YA 29.
Mama alipo shikishwa laki 3 mkononi, huruma ya kukumbuka fadhila za mke wa huyo mwanaume zikapotea,
mama akawa mwepesi! Akamwambia "mimi naogopa shemeji" uku akionyesha macho ya kukubali!
Shemeji yake alipo mshika mwili wake na kuupapasa! Mama akasema tutumie kinga shemeji maana tayali umeisha nipandisha!
Shemeji akasema "mbona sina kinga hapa kwani kinga za nini" palepale wakaanza kuburudika bila kinga tena mbaya zaidi chumbani mwa rafiki yake, na wakati huo mama alikuwa ni mwasilika wa virusi vya ukimwi! Na mama alijigundua alipo pimwa baada ya kubakwa na wale vijana 9.
mke wa yule mwanaume kipindi yupo ofisini alijihisi kama kichwa kinamuuma, na alipo kula alishangaa sana maana alijin'gata ulimi wake!
Kumbe kweli mme wake alikuwa anasaliti ndoa.
yule mwanaume alifurahia sana ile dhambi walio kuwa wamefanya na akaona utofauti pia kwa kumsifia mama kuwa "unaweza zaidi ya mke wangu" kumbe mwanaume nae akawa amepata maambukizi ya virusi vya ukimwi siku hiyohiyo masikini.
Mwanamke wake alipo kuja jioni hakugundua kitu chochote! Alicheka vizuri na mama, maana walikuwa marafiki sana! Ila mama alionyesha wasiwasi kidogo siku hiyo na kujutia alicho mfanyia mwenzake
Ilipo fika usiku kipindi yule dada amelala na mmewe alitamani sana kufanya tendo la ndoa siku hiyo, mme wake pia akashiriki nae, ndipo masikini wa mungu yule dada nae akaamishiwa maambukizi ya virusi vilivyo toka kwa rafiki yake ambae ni mama!
Maisha yaliendelea kwenda  hakuna alie gundua kuwa kaathirika zaidi ya mama kuitunza siri yake.
Siku moja yule mwanaume aliwai tena kutoka kazini akiaga anafata pesa benki kwajili ya matumizi ya ofisi, kumbe alikuwa anarudi nyumbani ili wafanye tena mapenzi na mama yangu wa kambo
Alipo rudi mama akamwambia,

Mama..shemeji mbona umewai kurudi leo?

Shemeji..nimerudi kwajili yako mpenzi wangu, maana nafurahia sana kila napo kutana na wewe

Mama..mke wako akitukuta je?

Shemeji..hapana usiwe na wasiwasi nimeisha mpanga na awezi kuwai nyumbani bila kunitaarifu.

Mama..sawa shemeji nimekuelewa!

Shemeji..hapana usiniite shemeji, niite jina zuri la mapenzi!

Ndipo wakaingia ndani wakifurahia,  wakaenda kuoga chumbani mwa rafiki yake mama
walipo maliza kuoga..#30
                        SEHEMU YA 30.
Waliingia bafuni wakiwa wamevaa taulo na wote wakiwa wamevaa  nguo za ndani nyeupe tu.
Walipo Maliza kuoga. Wakaongea
Shemeji..mpenzi unanipa raha sana kuzidi mke wangu natamani kumfukuza kabisa.
Mama..hapana usimfukuze na wala asijue, maana bila yeye  usinge nijua.
Shemeji..sawa mpenzi wangu nakuhaidi siwezi kukuacha maisha yangu yote, wewe ndiye mwanamke niliye kuwa nikimtaka maisha yangu yote lakini sikumpata, ila namshukuru sana mungu kupitia mke wangu wa ndoa nimempata!
Mama..ata mimi pia nafurahi na ninamshukuru mungu kukufahamu maana unanijari na unanipa mapenzi mpaka naridhika.

Shemeji.. asante sana mpenzi wangu nitaendelea kukupa vitu vizuri uendelee kufurahia kuwa na mimi na husijutie ata kidogo kunifahamu.

Mama.. sawa mpenzi.
Siku hiyo mke wa yule mwanaume alikuwa amesahau vitu vya ofisini nyumbani hivyo akaamua kurudi haraka nyumbani kuvifata maana vilikuwa na umuhimu sana pale kazini.
Alipo mpigia mme wake simu ili amuelezee hiyo taarifa, mwanaume akawa hapokei simu maana aliisahau sebureni,
akawa anachepuka na mama yangu wa kambo chumbani.
 Mke wa yule mwanaume alivyo ona mme wake hapokei simu ikabidi aende hivyo hivyo, kumbe nyumbani anapo enda mme wake anachepuka na rafiki yake.
Alivyo fika nyumbani akafungua mlango wa nje.
Alipo ingia ndani akakuta kimya sana, alivyo angalia mezani akakuta simu ya mmewe pale.
Ikabidi ampigie rafiki yake, simu ikaitia palepale sebreni.
Ndipo akaanza kukagua vyumba vya ndani.
Akaanza na chumba cha rafiki yake hakumkuta, alivyo enda chumbani kwake akasikia sauti za mapenzi mlangoni hakuamini kwanza kama ni rafiki yake maana hakuzania kama angeweza kumsaliti na hakufikilia kama mme wake anaweza kumsaliti.
Alichungulia vizuri kwenye tundu la kupitisha funguo maana lilikuwa linaonyesha kitanda kizima.
Alisikitika sana maana alimuona rafiki yake kwa macho yake akiwaa uchi wa mnyama akifanya mapenzi na mmewe. Yule dada  Aligonga mlango kwa nguvu sana akisema "fungua haraka  fungua mlango" mme wake akaanza kutetemeka
Mama akasema "nilikwambia shemeji kuhusu mke wako! unaona sasa! nitaificha wapi sura yangu jamani.

Shemeji..ehh mungu wangu namwambia nini mke wangu jamani namwambia nini mimi!

Itaendelea...#31
                          SEHEMU YA 31.
Shemeji yake alimwambia mama akafungue mlango maana yeye tayali alikuwa kaisha ogopa,
yule dada aliingia ndani akiwa analia sana masikini, mpaka kamasi linamtoka puani kabisa kwa maumivu na uchungu "hama kweli mume wa mtu mchungu" yule dada akasema "rafiki yangu fadhila zote zile, leo unanilipa hivi".
Akamwambia na mme wake "mme wangu hii ndiyo ahadi yetu tulio peana kanisani sio?ya kulala na mwanamke tena mbaya zaidi kwenye kitanda changu"
Huku akiwa analia sana dada wawatu mpaka macho yakabadilika rangi na kuwa mekundu.
Mama yangu alianza kulia akisema "nisamee rafiki yangu sirudii tena kuja chumbani kwako rafiki yangu nisamee shetani na ibilisi kanipitia"
Mme wake akasema "mke wangu hatujafanya chochote kibaya nilikuwa namwambia aniandalie chakula maana leo nimewai kutoka kazini nilijihisi mchovu! nisamee sikukupa taarifa mke wangu.
Yule dada alimpiga kofi chungu sana mme wake! akamwambia ebu angalia hiyo nguo ya ndani uliyo vaa kama ni yako.
Mme wake alivyo jitazama alikuwa hajafunga taulo vizuri na alikuwa amevaa nguo ya ndani ya mama!
kilicho mchanganya ni langi maana zote zilikuwa nyeupe
Na walivaa nguo haraka haraka kwa huoga kuwa wamekamatwa,
mama na yeye alivyo jitazama akakuta amevaa nguo ya ndani ya shemeji yake.

Yule dada machozi yanamtoka akamwambia mme wake "utamuitaje huyu mwanamke ndani akiwa amevaa utupu hivi. Nyie hamjaanza leo mmeanza zamani leo nashukuru mola kanionyesha waziwazi".
Yule dada alikuwa na roho ya huruma sana alimwambia yule mwanamke "Sina cha kukufanya maana tayali umeisha tembea na mume wangu nacho omba chukua nguo zako na kila kitu chako uondoke"
Mama alipiga magoti akasema "nisamee rafiki yangu mme wako alinilazimisha sana mpaka nikajikuta nashawishika sirudii tena rafiki yangu!

Dada akasema..Mme wangu huyu mwanamke nilimkuta sehemu amebakwa! tena mbaya zaidi alibakwa na vijana tisa wa mtaani, nilipo muona hana sehemu ya kuishi nikaona ni bora tukae nae wote hapa! Sasa wewe umetembea nae! una uwakika gani kama ni mzima ki afya na nimekutazama ata kinga hujatumia wewe unasaliti ndoa tu,  Mme wake akasema...nisamee mke wangu nakuhaidi siwezi kurudia hivi tena.
Mama akasema nisamee pia rafiki yangu..
Usikose sehemu ya #32




                        SEHEMU YA 32.
Yule dada aliwasamee wote mama na mmewe ila akamuonya mme wake sana asirudie kile kitendo! Ikafika hatua yule mwanamke akawa anatoroka kazini kwake kuja kuangalia kama mme wake anaweza kurudia kile kitendo, lakini mme wake alishangaa kwanza mke wake alivyo msamee! na maneno ya mke wake kuwa yule mwanamke alibakwa na vijana tisa yalimfanya mme wake amuogope mama kabisa.Baada ya week kadhaa mama yangu wa kambo alianza kuonyesha dalili tofauti sana kwenye mwili wake, kumbe alikuwa kapata ujauzito wa mme wa yule dada! Kutokana na yule dada kutoroka kazini mala kwa mala kuja nyumbani akihisi mmewe bado anachepuka offisi iliamua kumuachisha kazi!
 Dada alilia sana maana hakuwa na sehemu yoyote ya kupata kazi tena kwa mda ule.
Kipindi yupo nyumbani anawaza sana ni jinsi gani atapata kazi, alikuwa hajagundua kabisa kama mama anaujauzito wa mme wake!
 na tumbo la mama likikuwa dogo sana hivyo ilikuwa ngumu kumgundua na ile mimba ilimtuma sana mama kufanya kazi hivyo asingeweza kugundulika mapema maana hakuwa mchovu mchovu ila siku moja mama amebeba ndoo,  dada akashangaa kuona tumbo la mama kama kunakitoto kinajigeuza geuza tumboni akamuuliza.. Dada akasema.. best una mimba.

Mama...sina mimba best kweli tena.

Dada..usiogope niambie kama unayo nitakusaidia maana utaangaika

Mama.. nisamee mimi kweli mimba ninayo!

Dada..mimba ya nani?

Mama..best kipindi kile ulipo nifumania mme wako alinipa! Lakini sijamwambia mpaka sasa.

Yule dada alianguka chini akawa amepoteza fahamu! maana yeye kizazi chake kilikuwa mbali! na alikaa mda sana na mmewe bila kushika mimba ila rafiki yake mda mchache tu akapata ujauzito.

Mama akaanza kumpepea yule dada, alipo pata fahamu tu aliishiwa nguvu dada wawatu maana kazi alisha fukuzwa! nyumbani pia ndoa yake inavurugika
Mme wake alipo fika kutoka kazini tu
Akamkalisha chini akamwambia "kwanini umeharibu mipango yetu ya maisha?
Nimefukuzwa kazi sababu yako! Kibaya zaidi umempa mimba huyu rafiki yangu".
Mwanaume alishtuka kusikia kampa mimba mama
hicho kitendo kilimuuma sana akaikataa mimba akisema sio yake!Yule dada akaokoa ndoa yake, akamfukuza mama kwake! Kipindi yule dada anarudi ndani alishangaa sana kukuta mme wake amejiua na kisu#33

                          SEHEMU YA 33.
Yule dada alilia sana alipo kuta mume wake kajichoma kisu tumboni na kujiua kabisa jamani! Alishtuka maana hakutegeme kitu kama hicho, Alilia sana akisema kwanini nilimsaidia yule dada mimi! amenialibia maisha jamani mda huo akiwa ameshika kichwa cha marehemu mme wake pale sebreni.

Kipindi anageuka kidogo akaona ujumbe  mme wake kauandika kwenye karatasi kabla hajafa.
Kwamba
" Mke wangu naomba unisamee kwa kujiondoa uhai mwenyewe, nimeshindwa kuishi maana ningekosa amani na furaha niliyo kuwepo nayo hapo awali sababu ya haibu ya kuvunja ndoa yangu na kutembea na rafiki yako, Nimeona haibu pia kumpa mimba huyo dada wakati bado sijakupa wewe mke wangu wa ndoa.
Nisamee mke wangu Maana nasikitika sana nilipo enda kupima nikakuta tayali rafiki yako ameniambukiza maambukizi ya virusi vya ukimwi! Nisamee sana ni mimi mmeo Samweli maisha mema"
Yule dada alivyo juwa mmewe kaambukizwa na yeye moja kwa moja akajua kaathirika! Alichanachana ile barua kwa hasira akiwa analia kama mtoto majirani walikuja ndani walishangaa kumkuta yule dada kashika kile kisu tumboni kwa mme wake! Ndipo wakakimbia polisi kumshtaki kuwa ameua!
Kweli polisi walipo kuja walimkamata yule dada kwa nguvu na kumvika pingu mikononi.
Alilia akisema" jamani sijaua mimi sijaua jamani" hawakumuelewa kabisa ata kidogo.
dada alikosa ushahidi maana ile barua mmewe aliyo andika yeye aliichanachana kwa hasila  alipo maliza kuisoma hivyo hakuwa na ushahidi wowote
Ndugu zake yule mwanaume walilalamika sana na kumshtaki yule mwanamke eti,
"wewe umemuua kaka yetu ili ubaki na mali, sasa mali hupati na unaozea jela"
Yule Dada akawajibu "sijaua jamani"
mahakama ikafatilia kazini kwa yule
dada.
bosi wa ofisi akawambia "tulimfukuza kazi huyu dada maana alikuwa anatoroka mala kwa mala kwenda nyumbani! nazani ndiyo alikuwa anafanya mipango na mikakati ya kumuua mmewe"

Ndipo yule dada akakamatwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha mkoa wa "Tantala"
Mama aliangaika sana na ile mimba mtahani! Na maisha yalikuwa magumu sana kwake hivyo akaamua ameze dawa ya kutoa  mimba asiweze kuendelea kuteseka!
Mama alimeza dawa mimba ikafa lakini bahati mbaya katoto kakawa kagumu kutoka tumboni! Mpaka harufu ikaanza kumtoka mwilini.#34




                       SEHEMU YA 34.
Mama yangu wa kambo alianza kutoa harufu kali sana! baada ya kile kitoto kugoma kutoka tumboni aliona haibu kuwambia watu maana alihisi watamcheka,
Yani mama kutokana na ugumu wa maisha alikosa msaada kabisa eti ata alipo kuwa akikaa n'zi nyingi zilikuwa zikimfata,
kibaya zaid mama alipo kuwa akiongea na watu harufu yake ya mdomoni ilikuwa chafu sana yenye harufu mbaya! Ata pale alipo kuwa akitoka jasho pia alitokwa na harufu mbaya mwilini mwake  jamani harufu kama ya kitu kimeoza sana.
Siku moja mama yangu wa kambo alizidiwa  sana nusra ya kufa maana mwili wake uli badilika ghafla yani mama alivimba mwili na kunuka kama mtu aliyekufa;
vijana walalahoi wa ule mtaa walimuonea sana huruma mama, maana mama alikuwa analia kama mtoto akiomba msaada akisema "nisaidieni nakufa jamani, naumwa sana tumbo ndugu zangu"
Kibaya zaidi  mama alienda kuwatilia harufu yake kwenye mtaa wa wale vijana hivyo basi, Ikabidi wamfunike shuka na kumpakia kwenye usafili kama marehemu huku wamejivika vitambaa puani mwao kupunguza harufu! wakimpeleka hospitali ili akatibiwe tena  kwenye  hospitali za serikali.
Mama alivyo fikishwa hosipital dah! Masikini wale manesi walikuwa hawataki ata kumtibu maana alikuwa ananuka tena kibaya zaidi mama yangu wa kambo alikuwa ameachama mdomo wake kama vile amekufa yani! ata ukimtazama unamuogopa jinsi mwili wake ulivyo kuwa maana macho yake pia yalibadilika rangi yalikuwa makubwa na ya njano sana.
Dakitali mkubwa wa hospital aliwambia manesi wamtibu.
ndipo mama aliwekewa diripu ya maji ili aweze kupata nafuu.
Hali ya mama alikuwa mbaya sana mda ule! ikabidi daktali mkuu aje kumcheki ili amfanyie matibabu ya uangalifu zaidi.
Ndipo alipo gundulika kuwa katoto kalifia tumboni kwa mama na kukawa na ugumu wa katoto kutoka,
mama yangu wa kambo alifanyiwa oparesheni ndipo kikatolewa kile kitoto kikiwa kimeoza vibaya mno "kweli udaktali sio kusomea tu unaitaji moyo"
Yule daktali alimuhudumia mama vizuri  akamsafisha vizuri kabisa mpaka mama akapona na kupata nafuu akawa salama.

Kipindi mama ametoka hospital na hana sehemu ya kuishi masikini! alirudi kuangalia kama rafiki yake yupo ili amwambie kuwa ametoa ile mimba ya mme wake ili waishi tena wote ila...#35

   SEHEMU YA 35.
Mama yangu wa kambo alishangaa sana na kushtuka alipo fika kwa yule dada rafiki yake maana hakumkuta na ndiyo ilikuwa mida yake ya kutoka kazini. Aliwaza sana ataishi wapi na atalala wapi siku hiyo maana alitaka kumuakikishia rafiki yake kuwa hana mimba tena na hawezi kurudia kulala tena na mme wake.
Mama aliwaza jamani isitoshe mama alikuwa amepewa dawa alizo toka nazo hosiptali na alitakiwa kuzimeza ili apone vizuri.
Kipindi anataka kuondoka wifi yake rafiki yake alikuwa anafika pia! maana ndiye aliekua amerithi nyumba ya marehemu kaka yake kwa sababu yule dada alifungwa.

Wifi akamuuliza mama kuwa.. Wifi..dada karibu naona unataka kuondoka!

Mama..ahsante namuulizia rafiki yangu niliishi nae hapa nimekuta hayupo na mme wake pia hayupo

Wifi."machozi yalimtoka kwanza" akasema mme wake alisha fariki! na huyu muuaji rafiki yako kafungwa na tena ni kifungo cha maisha.

Mama alishtuka sana akaogopa na akaondoka.
Alipo fika nje ya nyumba akamkuta jirani yake alikuwa amezoeana nae akamuuliza kama kweli mwanaume alikufa! na je mke wake kakamatwa?
Yule dada alimwambia kuwa! "mwanaume wake alijiua baada ya mke wake kugundua ukweli kuwa unatembea nae na pia umepata mimba ya mmewe na pia anamaambukizi, hivyo wewe ndo unatakiwa kuwa shahidi wake au mtetezi wake ili kifungo chake kisitishwe"
 Mama aliwambia majirani na marafiki zake rafiki yake kuhusu ukweli wa kwamba mwanamke hajamuua na alipo fika mahakamani akasema kwamba. "Mimi nilisaidiwa na huyo dada kuishi kwake, ila mme wake alinilazimisha kimapenzi! Bahati mbaya nikapata mimba yake, baada ya mkewe kujua ndipo akajiondoa uhai wake"
Serikari ilifanya uchunguzi na kugundua kweli yule dada hakuua ndipo wakaamua kumuachia huru
Maisha ya yule dada yalikuwa niyakukosa raha sana alijaribu kutafuta kazi hakupata, alijaribu kurudi kwake ndugu wa mme hawakumuitaji ndipo akaanza kujishugulisha na biashala ndogondogo tu na mama yangu wa kambo.
Baba yangu aliendelea kuteseka pia na maisha yake maana tayali alikuwa kapoteza mguu ndipo familia ikamshauli aende kupiga magoti kwenye kabuli la mke wake na mama yake ili aweze kuomba msamaha maana alifanya kosa bila kujua.
Kipindi baba yupo makabulini dooh!
USIKOSE SEHEMU YA 36

  SEHEMU YA 36.
Baba alipo fika makabulini, alienda moja kwa moja kwanza kwenye kabuli la marehemu mke wake. Baba alianza kulia akisema "Nisamee mke wangu nakuomba msamaa maana najutia mabaya yote niliyo kutendea, sio mimi  jamani ni shetani tu, sikujua kama nilikataa kukuzika na sikujua kama nilikufanya uteseke! leo nipo juu ya kabuli lako nakuomba msamaa maana mimi ndiyo chanzo cha kifo chako natamani ufufuke tuishi tena kama zamani mke wangu! Ona jinsi ninavyo teseka angalia jinsi nilivyo kilema kwa sababu ya rahana nilizo zibeba kutoka kwenu Tazama machozi yanavyo nitililika machoni mwangu, naomba unisamee niweze kuishi kwa amani maana ata mda mwingine natamani kufa tu maana sioni raha ya kuishi duniani, mke wangu kila siku usiku silali naota tu ndoto za ajabu sana mala nafukuzwa mala nachinjwa mda mwingine naota mizimu imenizunguka mimi! ehh mke wangu nihurumie nisamee mzazi mwenzangu"
Baba aliongea maneno hayo akiwa amesimama mbele ya kabuli la mama akitokwa na machozi sana kipindi baba anataka kuendelea kuongea alishangaa kuona upepo mkali sana unavuma, baba alihisi labda ni hari ya kawaida tu! Mala ila alishangaa upepo hauishi tu na uliendelea kuwa mkali  kabulini yani mpaka ukamuangusha baba chini maana alikosa balansi sababu ya mguu wake mmoja
Kipindi baba anataka kukimbia upepo ukapotea mala kukawa kimya! baba alibaki haelewi tu.
Mala ghafla akaona mguu ulio katwa juu ya kabuli la mkewe, Na mguu ulikuwa una kipande cha suruali ambayo hiyo suruali ilikuwa ya baba kipindi alipo katika mguu wake kwenye ile ajali!
Baba akuamini kutazama mambo ya ajabu kama yale kipindi baba yupo tu bila kuelewa!
alishangaa kuona kile kibuyu kilicho kuwa nyuma ya kabati chenye damu yake pale pia.
Doh Baba aliogopa sasa!
Pale pale mzimu wa mama yangu ukatokea ukiwa umevaa nguo zenye damu iliyo ganda kama nyeusi,
 ukaanza kuongea.
"Mme wangu sikusamei ata kidogo ulinitesa sana ulininyanyasa sana nimepoteza uhai wangu sababu yako! Kwanini ulinitesa? Kwanini uliniumiza vile ulisababisha nikabakwa, ulisababisha nikaugua magonjwa ya ajabu mimi! Kibaya zaidi mme wangu nipale ulipo kataa kunizika na kumzuia mtoto wangu kunizika mimi yani wakati ulijua mimi ni yatima sina ata ndugu jamani"...#37





 SEHEMU YA 37.
Yale maneno ya marehemu mama yangu mzazi yalimuumiza sana baba.
Baba akasema, "marehemu mke wangu sio mimi nilifanya vile na wala nilikuwa sijitambui hata kidogo mke wangu mpaka kukufukuza wewe! nafikiri nilichanganywa akili yangu mke wangu! ebu fikilia jinsi tulivyo kuwa tunapendana jamani"
Alijibiwa na mzimu wa mama kuwa, "mme wangu nilikuzuia sana kunywa pombe! Na pombe ndiyo chanzo cha wewe kukutana na matatizo yote haya, Ebu jitazame sasa hauna mguu angalia kazi yako tayali umeisha ipoteza tazama hauna nyumba tena! na wala haufahamu mwanao alipo mpaka sasa sababu tu ya huyo mkeo"
Mzimu wa mama ukamwambia baba; "mme wangu  nakupenda sana na nashindwa kukusamee maana najua ata nikikusamee bado tu utaendelea kuteseka! maana mzimu wa mama yako mzazi na rahana alizo kuachia zinaendelea kukuzunguka, yani kila uendapo hauwezi kufanikiwa mpaka ukaombe msamaa kwanza, Maana mama yako mzazi amekufa akiwa na kinyongo sana na wewe"
Baada ya siku tatu, baba aliamua kwenda mpaka kabulini kwa mama yake mzazi kwenda kuomba msamaa ila
Kutokana na maisha ya baba kuwa magumu, Baba aliamua kwanza aende  sehemu ya kuombaomba msaada ili apate pesa kidogo, ila siku hiyo hali ilikuwa ngumu hivyo baba akaona akaekae mpaka jioni ili aweze kupata japo pesa kiasi kwa wapita njia.
Jioni ilipo fika  ndipo akaamua kwenda kuomba msamaa kwenye kabuli la mama yake muda ule wa jioni, kabuli lilikuwa makabulini baba alikuwa ajui chochote yeye alienda moja kwa moja kwenye kabuli akapiga magoti chini akitoa machozi huku akisema "mama yangu mzazi tazama jinsi mwanao ninavyo teseka, najua nilifanya kosa kubwa sana la kusahau kuwa wewe ni mama yangu, ila naomba unisamee mama nisamee mama yangu, naomba unijibu mama yangu"
Baba aliyasema maneno hayo akiwa mwenyewe kabulini!
Ila baba alishangaa sana kwanini mama yake hamjibu kama mkewe.
Baba akaamua asubilie mpaka mama yake amtokee kama marehemu mkewe, ila hakumtokea!
ilipofika saa nane kamili usiku kipindi baba akiwa amelala juu ya  kabuli la mama yake, alianza kusikia sauti ya ndege ikipiga kelele juu yake! baba alishtuka alipo amka akakuta Bundi ameng'aa macho akiwa kasimaa juu ya msalaba wa kabuli la mama yake usiku.
Itaendelea sehemu ya38.






                          SEHEMU YA 38.
Kipindi baba anataka kumfukuza yule bundi, kumbe sio bundi jamani ulikuwa ni mzimu wa marehemu mke wake unamuonyesha kuwa sehemu aliyoko sio salama kuna wachawi pale.
Baba alivyo geuka pembeni tu! Palepale akainama chini haraka maana aliona watu wamevaa nguo nyeupe na wakiwa wamejifunika vitambaa vyekundu kichwani huku mikono yao imeshikilia mishumaa katikati ya makabulini. Baba hakuamini kutazama watu kama wale maeneo kama yale usiku!
Kipindi baba amelala chini kwa kujificha, alishangaa pia kusikia wachawi wakisema kimzimu kuwa "Ohh wewe Zabroni mwaka, tajili wa wilaya nzima, tumekuja kukuchukua sasa kukutoa humu kwenye kabuli! Maana tayali jamii ilikuzika ikitambua umekufa! Lakini Kumbe wewe bado ni mzima na sisi tumependa nyota yako! unanyota nzuri sana zabroni  Mwaka,
Na  kwanzia leo utaishi na sisi na hii nyota yako tutawauzia waganga kwa kienyeji ili na wenyewe wakaiuze kwa wale wanaotaka nyota za watu ili wapate utajili"
Baba alisikitika sana maana huyo zabron alikuwa rafiki yake sana na alifariki kila mtu akajua amekufa kumbe hapana yupo hai ila gogo tu ndiyo limezikwa.

Kipindi baba akiwa anawatazama

Mwanaume Mmoja kati ya wale wachawi alisimama akashika jogoo mweusi sana kisha akamnyongwa  na kumrusha kabulini mwa zabroni, mda huohuo zabron alitoka kabulini akiwa amevaa sanda, ndipo akavuliwa na kuvalishwa kichawi kama wenzake, alinyweshwa damu ya binadamu na kuvalishwa bangili la kishirikina mkononi mulemule katikati ya makabuli.
Baba alimshangaa sana yule kaka alie mnyonga jogoo maana yule kaka alikuwa ni ndugu yake na mama yangu wa kambo na baba alikuwa akila nae na kucheka nae pale huyo kaka alipo watembelea nyumbani.
Mizimu alianza kuimba na kupanda kwenye usafili wao ambao ni ungo kisha wakapaa na kuondoka.
Baba hakuamini kwa alicho kiona usiku ule ilimbidi akae palepale mpaka asubui.

Nyumbani pia mama Danieli alitukumbusha kuwa tunatakiwa kwenda kwenye kabuli la mwanae siku hiyo maana ndiyo ilikuwa siku yake ya kufariki, hivyo tulijiandaa kwenda kulifanyia usafi kabuli lake.

Na baba yangu mzazi pia siku hiyo alikuwa bado palepale kabulini na mimi nilikuwa sijaonana na baba siku nyingi na baba pia alitamani sana kuniona mwanae

Usikose #39




                          SEHEMU YA 39.
Tulipo fika makabulini kumbe na baba yangu mzazi alikuwepo pia lakini bahati mbaya sikuweza kuonana nae maana sikuweza kufikilia kuonana nae sehemu kama zile na sikuwa na fikila ata za kuchunguza watu pale.
Hivyo tulifanya kusafisha kabuli la Daniel! maana mama yake alikuwa anampenda sana mwanae, na alilia sana pale kabulini akisema, "mwanangu Danieli nimetumia pesa nyingi sana kukusomesha, Kukutunza nimekuzaa kwa shida mwanangu leo hii haupo nasi mtoto wangu ehh jamani mungu"
mama Danieli alilia sana ila tulipo maliza kupamba yale maua tuliondoka na kurudi nyumbani.
Baba mipango yake ya kuomba misamaa ikawa haijakamilika kabisa maana roho ya mama yake mzazi iligoma kuweka wepesi wa msamaa kwa mtoto wake,

Baba aliendelea kutahabika sana! Siku moja baba akiwa ametoka katika miangaiko yake ya kuombaomba misaada alikutana na vijana wawili wameshika Bibria walimsimamisha baba na kumwambia kuwa.
Vijana,, mzee mimi ni muumini wa kikristu na huyu pembeni yangu ni mchungaji wa kanisa letu.
Baba akajibu,, ahsante nafurahi kuwafahamu, mlikuwa na shida gani waumini.
Vijana,, "mungu ni mwema" tumemuona mungu ndani yako na tunataka kukuondolea misukosuko ya maisha yako yote.
Baba akajibu,, nitafurahi sana wachungaji maana mimi nina matatizo, marehemu mke wangu na mama yangu niliwafanyia vibaya sana leo nawaomba msamaa  hawataki kunisamee! ili mimi niweze  kuishi huru bila mawazo na matatizo.
Vijana,, baba tayali dhambi zako zimeisha samehewa mizimu imekusamee pia. Ila unacho takiwa kufanya ni kitu kimoja tu uweke pesa zako zote ulizo kusanya leo hapa juu ya biblia kisha geuka nyuma dakika kadhaa tukiwa tunaziombea taratibu ili uweze kuondoka gundu na mikosi.
Baba siku hiyo alikuwa kakusanya pesa nyingi alizibeba zote na kuziweka juu ya biblia kisha akageuka kama alivyo ambiwa!
Kipindi baba amegeuka nyumba akawauliza kinyumenyume bila kuwaona maana walikuwa nyuma yake kwamba "jamani vipi tayali mmeondoa mikosi" akaona kimya alivyo geuka hakukuta mchungaji wala mtumishi
baba alilia kama mtoto alijigalagaza chini mpaka baadhi ya watu wakahisi labda atakuwa hayupo sawa kiakili kumbe alikuwa kachanganyikiwa tu kidogo. Huku mama yangu wa kambo na yule dada  wenyewe wa...... #40



                        SEHEMU YA 40.
Maisha ya mama yangu wa kambo na yule dada aliyetoka jela yalikuwa magumu sana.
waliamua kuishi pamoja kuangalia kama wanaweza kufanikiwa kimaisha lakini hali ilikuwa ngumu zaidi! Maana kila kazi waliyo jaribu kuifanya ilikuwa ngumu kwa upande wao,
Lakini yule dada alikuwa amesoma zaidi ya mama yangu wa kambo ila kutokana na ile kesi ya mauwaji ilimfanya asiaminike katika ofisi yoyote hivyo ata alipo tumia vyeti vyake kutafuta kazi ilikuwa ni ngumu sana  kupata maana alionekana ni muuwaji alie muua mmewe ili abaki na mali! Kumbe ni uongo tu masikini.Siku moja usiku wakiwa wamelala njaa bila kula!
Mama wa kambo akamuuliza yule dada.Mama wa kambo,,rafiki yangu tazama leo tumelala njaa bila kuweka chochote kinywani! Hivi tutaishi maisha haya mpaka lini?
DADA,,ata mimi sielewi kabisa maana ndugu zangu wote wamenikataa wakiamini kuwa nilimuua mme wangu, elimu yangu sasa sioni thamani yake kabisa, natamani kufa mimi niondoke kwenye hizi shida za dunia.
Mama,,akasema rafiki yangu mimi nina wazo moja, Ebu angalia dunia ya sasa ilivyo chafuka! Yani namaanisha kuwa  sisi wote tayari ni waathirika wa virusi vya ukimwi, kwanini tusifanye biashara isiyo itaji mtaji mkubwa yani kujirembua, kuvaa na kupendeza usiku.
Dada,,nini? Yani unamaanisha tujiuze au?
Mama,,ndiyo!
maana tayali sisi tumeisha pata maambukizi inatupasa tule na tuishi kwa furaha ili tuishi maisha marefu.
Dada,,hapana rafiki! mimi nimesoma lazima nitumie elimu yangu kuchanganua mambo, kujiuza sio biashara nzuri ata kama ina pesa bora tu tufe njaa humu ndani.
Mama,, basi sawa kama umeamua hivyo
Dada,,poa rafiki.
Mama,,lakini best mimi haya maisha nayajua yameisha nipiga sana tutafute njia nyingine angalau nyepes
Dada,,njia gani rafiki yangu.
Mama,,rafik mungu katujalia wote makalio makubwa! je unaweza kucheza muziki?
Dada,, ndiyo naweza!
Mama akasema, sasa sikia rafiki yangu kuna bar moja kubwa sana ina matajili wa kila aina
sisi tutakuwa tunaenda bar wakiwa mezani wanakunywa tukifika tunawakalia wanaume juu kisha tunaanza kukatika makalio yetu juu ya mapaja yao!
wakisha pata hisia tunarembua macho kisha tunawaomba hela huku tukishikashika vifua vyao vizuri kimahaba.

Usikose sehemu ya  41



                           SEHEMU YA 41
Yule dada aliamua kukubaliana na mawazo ya mama wa kambo akasema "sawa shoga yangu tutajaribu tu ila naona haibu sana kufanya hiyo kazi, maana kukatikia wanaume wakiwa wanakunywa vinywaji baani mi naona ni aibu sana"Mama akamwambia "acha tabia za aibu usiku nani anakujua wewe tufanye hii kazi tukipata pesa tunaacha"Ndipo wakaanza kujipanga kwenye mavazi na kununua nguo za utupu ili wakianza kazi waweze kuvutia wanaume wengi wakiwa kazini.Mama alinunua nguo za kuachia mapaja yao wazi na zingine za kuonyesha vitovu vyao na maziwa yao kubinuka pia.
Ilipo fika jioni kipindi yule dada kajisahau, mama akamwambia, "shoga yangu mda umefika kaoge tuondoke zetu kazini"Wote wakajiandaa lakini wakaona aibu kuvaa zile nguo palepale nyumbani, maana zilikuwa za aibu sana na walikuwa hawajazoeleka kuvaa hivyo.Hivyo zile nguo wakazibeba kwenye mifuko ya plasitiki. Walipofika kwenye ile baa wakaenda nyuma na magari yalipo pakiwa kisha wakabadilisha nguo, mama alikuwa kavaa nguo za utupu sana mpaka yule dada akaona aibu akasema "mimi sijafundishwa kuvaa hivi nimehairisha kufanya hii kazi fanya peke yako"
mama kidogo amumeze mzima mzima akamwambia "tutakosana sana usipo vaa, yani tufike hapa afu nifanye kazi mwenyewe na tumenunua nguo kwa pesa" ndipo yule dada pia akavaa nguo!
Mama akamwambia "rafiki yangu umependeza sana ebu angalia ilo guu lako la bia tazama makalio yako pia lazima tupige pesa umo ndani" yule dada aliguna tu maana akuwa na jinsi ila mama alimwambia "ukiwa mule uwe shapu shapu usizubae nakuomba"
Walipo ingia walionekana wapya pale maana wazamani walikuwa wameisha zoeleka, mama alikuwa aogopi alienda kwa mwanaume wa kwanza akamzungushia kiuno chake akilishika shingo la yule baba! alivyo anza kuzabaa mama yangu wa kambo akamlembulia macho kisha akamwambia"jamani mpenzi naomba hela ya bia" kisha akambusu yule baba alikuwa na kitambi akachukua waleti yake kisha akamchomolea elfu hamsini akampatia mama alifurahi sana kisha akaanza kumchezea akikatikia makalio juu yake yule baba kanogewa mama akaamka na kuondoka na kwenda kwa mwanaume mwingine.
Dah Yule dada pia alishangaa kuona mama anapewa hela, akatamani na yeye apate japo hela kiasi ndipo...
usikose 42




                        SEHEMU YA 42.
Yule dada alijikaza akamfata baba mmoja kisha akamwambia "kaka mimi naweza kucheza" yule baba akacheka kwa tabasamu akasema "naona una umbo zuri la kucheza, basi cheza nione" ndipo yule dada akapanda juu yake kisha akashika meza akaanza kucheza juu yake maana mule baa kulikuwa na redio kubwa sana hivyo muziki mda wote unaimba tu. Kipindi yule kaka anafurahia kuchezewa juu ndipo yule dada akamwambia "naomba hela ya bia mpenzi"yule baba akasema nimeacha pesa zote nje kwenye gari langu hivyo naomba twende nikakupe, kipindi hicho mama yangu wa kambo yupo upande mwingine anacheza na wababa,wazee,vijana waliopo mule bar,
hivyo yule dada hakuwa wa wasiwasi maana aliona mwenzake anapata tu pesa akakubali kwenda kwenye gari nje.
Walipo fika kwenye gari waliingia ndani yule kaka akabadilisha kauli kisha akafunga na kuloki milango na madilisha ya gari lake, wakawa wawili tu mule ndani ndipo akamwambia "we dada nimependa sana mwili wako hivyo ili nikupe pesa naomba kiustahalabu vua nguo zako tufanye mapenzi" dada alianza kulia akasema mimi nimekuja kucheza muziki sio kujiuza yule kaka akatoa bastola yake kisha akasema usipo vua nakuua mzima mzima! Yule dada alipo ona bastola akaona bora afanye kuliko kufa ndipo akamwambia "kaka mimi nimeathirika sitaki kukuathiri na wewe" yule kaka akasema hapana sitaki kujua!
Masikini yule dada akavua nguo na kulala kwenye viti vya nyuma yule kaka akafanya yake kisha akampa yule dada elfu 60 na akamwambia amefurahia ushirikiano wake.
Yule dada alivyo pata pesa akafurahi sana maana alihisi anaweza kuibiwa akavaa nguo na kurudi ndani akarudia tena kuwachezea watu kama mwenzake walipo rudi nyumbani walishangaa sana maana mama yangu wa kambo alikuwa na laki mbili na nusu na yule dada akawa na laki moja na sitini.
Yule dada alifurahi akasema "best mala ya kwanza nilikuwa na idharau hii biashara ila nimeipenda sana inalipa naomba kesho tena twende" mama akamwambia "mimi nilikwambia ukawa unachukulia masiala"
Kesho yake pia wakarudi palepale wakiwa wamependeza sana zaidi ya jana kila mtu akiwa mzoefu sasa hakuna wa kumtazama mwenzake
Mama aliendelea kama alivyo zoea, ila yule dada akaenda upande wake pia...........
Usikose kuendelea na sehemu ya 43
SEHEMU YA 43.
Kipindi mama yangu wa kambo na yule dada wanafanya kazi zao mule baa, mama alienda kwa baba mmoja hivi umli wake mkubwa tu,
mama akaanza  kufanya kazi yake kama alivyo zoea,
kiukweli yule baba alikuwa hajitambui kabisa jamani maana alikuwa amekunywa pombe sana, hata hivyo kipindi mama yangu wa kambo yupo juu yake akikata mauno ili baadae amrembulie macho kisha amuombe pesa ya bia yule baba alifurahia sana kukatikiwa huku akisema, "asante mke wangu unacheza vizuri leo zaidi ya siku zote tangu nikuoe"
Mama akamwambia "asante mme wangu naomba hela ya bia mpenzi"
Wakati huo yule dada rafiki yake mama alikuwa hajapata mtu maana karibia wanaume wote walikuwa wameisha palamiwa na wakinadada mule baa
ila kwenye ile baa kulikuwa na baba mmoja hivi kutoka nchi za kigeni "mzungu". sasa wale wa dada mule ndani waliogopa kumfata mzungu ili kumuomba pesa maana waliogopa kuongea nae lugha ya kiingereza!
Lakini yule dada rafiki wa mama alikuwa kasoma na alikuwa na elimu tu ingawa alikuwa hapati kazi!  hivyo akatumia elimu yake kuongea na yule mzungu.
Dada Alifika akamwambia kwa kiingereza,"naomba tucheze" huku akimsogelea sehemu aliyo kaa akapanda juu ya yule mzungu na kuanza kucheza muziki, mzungu alikuwa anacheka kwa furaha huku akisema "una mwili mzuri msichana wa kiafrika! unaitwa nani?"
yule dada alimjibu lugha vizuri na wakaelewana sana na yule mzungu akatokea kumpenda dada! alimuelezea yule dada hisia zake kisha akamwambia wataondoka kutoka tanzania wakaishi wote"Germany"yule dada alikubali kwa moyo mmoja na wakatoka wote baa kwenda kulala.
Mda huo Mama yangu wa kambo anaendelea kukata mauno yake juu ya yule baba huku akisema "naomba pesa ya bia"
yule baba akasema "nakupa pesa mke wangu usijali"
Kipindi yule baba anatoa pesa kwenye waleti yake! Kumbe mke wake alikuwa ametoka nje kidogo kuongea na simu! Hakuamini kukuta mme wake amebeba mwanamke juu yake, Akamwambia"Mme wangu jamani yani nimetoka nje kidogo tu umeanza kushikana na awa malaya wa hapa bar" mme wake hakujibu maana alikuwa amelewa sana haelewi kabisa.Yule mama akachukua chupa ya bia kisha akampiga kichwani mama yangu wa kambo kipindi mama anaamka yule mama akamchana na chupa usoni.
Endelea na sehemu ya 44
                      SEHEMU YA 44.
Mama alichanika shavu lake maana alichanwa na kipande cha chupa cha ile bia aliyo pigwa nayo kichwani,
mama alijikaza akiwa kajaa damu mwili mzima kisha akakimbia mpaka alipo kuwa anaishi na rafiki yake.Mama yangu wa kambo Alipo fika hakumkuta rafiki yake maana aliitaji msaada japo wa kuoshwa zile damu maana zilikuwa zinamtoka sana jamani.Mama alilia akisema, "besti yangu uko wapi nimepigwa sana natoka damu jamani nisaidie"
Na mda huo nyama za shavuni zilikuwa zimenin'ginia maana zilichanwa na chupa
hivyo aliitajika kuwaishwa hospitali ziweze kushonwa ili apone kidonda masikini.Lakini bahati mbaya rafiki yake mama yangu wa kambo alikuwa hayupo, alikuwa kwa yule mzungu wake wakijivinjali usiku huo maana yule mzungu alimpenda sana na alikuwa kaisha amua kumpeleka yule dada nchini "Germany" kufunga nae ndoa kabisa.Mama yangu wa kambo alilia usiku huo sana alisikia maumivu sana mpaka akapoteza fahamu kabisa,
kipindi mama anazinduka na kupata fahamu akakuta vijana wawili wakubwa sana wamekuja ndani mwake.
Wakiwa wameshika panga, mama aliogopa sana kuwaona wale watu usiku ule maana walikuwa wanaume na walikuwa na silaa na hakukua na mtu wa kumsaidia mama usiku ule.Kumbe wale vijana walikuwa wametumwa na yule mwanamke aliye mkuta mama anakatika juu ya mmewe baa.
Alibakwa na wale vijana kisha wakamvua nguo ya juu na kumvua sidiria yake! mama akasema kwanini mnanifanya hivi.
Walimfunga mikono na miguu kisha wakamkata matiti yake na kuyaweka kwenye ndoo alafu wakapanda pikipiki na kuondoka usiku huohuo mida ya saa nane na nusu.Mama alipatwa na maumivu sana maana matiti yake yote yalikatwa jamani,alilia mpaka sauti ikakauka.
Rafiki yake mama alipo kuja mida ya asubui akiwa amebeba pesa aina ya Dola alizo pewa na mpenzi wake wa kizungu.
Alishangaa kukuta damu mlangoni kidogo akimbie alivyo ingia ndani akakuta mama anapumua ya mwisho mwisho. Alimpeleka hosipital mda huohuo ili asiweze kupoteza maisha yake.
Alipo fika hospital alipokelewa vizuri lakini dakitari alisema "hali ya mama mbaya sana hivyo inaitajika pesa nyingi sana ili aweze kupona, maana amekatwa matiti na pia amechanika shavu lake na amepigwa na chupa imemchana nyama kichwani."
Usikose sehemu ya 45

                                                   SEHEMU YA 45.
 Kipindi kile dokta anamueleza yule dada hali ya mama yangu wa kambo, mama alikuwa na hali mbaya sana iliyo muogopesha kila mtu aliye kuwa mahali pale ata wagonjwa wengine walipata na nafuu kabisa baada ya kumuona mama katika hali ile, maana walijiona hawaumwi kabisa sababu matiti ya mama yalikuwa yamekatwa yani ni damu tu zilikuwa zinatoka, na damu zilipungua kumtililika mama baada ya kupata huduma ya kwanza, Doctor akamuuliza yule dada kuwa "kama mnaweza kulipa hizo gharama zote zilizopo kwenye hiyo risti basi tuanze matibabu ili ndugu yenu asipoteze maisha".Mama alianza kulia akisema"eh mungu wangu nimetesa watu wengi sana wasio na atia na wanyonge, nimekualibia ndoa yako mpaka mmeo kupoteza maisha yake jamani. Rafiki yangu wewe ondoka tu niache nife sina thamani tena maana urembo wangu umeisha potea,tazama shavu langu vilevile maziwa yangu hamna tena nitakuwa mgeni wa nani mimi"
Yule dada alikumbuka jinsi mama alivyo mualibia ndoa yake akasababisha akafungwa akasababisha mpaka mme wake kujiua"Dada akasema"rafiki yangu umenifanyia mambo  mabaya sana lakini siwezi kukutupa"Yule dada akamwambia doctor naomba atibiwe pesa nitalipa Mama akamuuliza wewe utalipaje hela umetoa wapi hizo milioni za pesa mimi kutibiwaYule dada akasema doctor wewe mtibu tu apone pesa ninayo.Mama alianza kutibiwa.
kipindi yupo anatibiwa yule dada akamfata mzungu wake na kumuelezea hali ya rafiki yake.Yule mzungu akamuonea  sana mama huruma kisha akasema atalipa pesa zote hizo za matibabu maana yule dada alimtetea sana mama kuwa ni mtu mwema na ni kama ndugu yake.Kipindi mama anapata matibabu alihudumiwa vizuri mpaka akaanza kupata nafuu,Kumbe yule mzungu na mama yangu mlezi (mama Danieli) walikuwa marafiki!Na yule mzungu alikuwa akija afrika ili kufanya biashala na mama daniel maana wote walikuwa wafanya biashala.Yule mzungu akamtambulisha yule dada kwa mama danieli kuwa ndiyo mke wake! yule dada na mama Daniel wakaanza kuitana wifi.siku moja ikabidi mama yangu mlezi, yule dada, pamoja na mzungu waende hospital kumjulia hali mama yangu wa kambo, na wakati huo mimi sina taarifa kama mama danieli anaekwenda  kumuangalia hospitari ni mama yangu wa kambo jamani.
Usikose sehemu ya 46





SEHEMU YA 46.
Mama Danieli na wenzake walipo fika hospitari walimuonea sana huruma mama yangu wa kambo maana alikuwa katika hali mbaya sana kiafya.
Mama danieli alipo mtazama vizuri mama akakuta kawekewa bandeji hivyo akauliza "hii bandeji kwenye maziwa niyanini" Alijibiwa na yule dada kuwa "Wifi hata hivyo hakukatwa shavu peke yake bali alikatwa na maziwa pia" mzungu akauliza kwamba
"jamani ongeeni kingeleza na mimi nielewe"
alielezewa pia  ila alimuonea huruma sana mama,
Kipindi dada anaanza kukauka vidonda vyake na kuanza kuwa salama kiasi doctor alimuruhusu aende nyumbani akamalizie dawa ili awe salama zaid,
Na siku hiyo hiyo yule mzungu alikuwa anarudi kwao Germany na alikuwa anaondoka na yule dada.
Mama yangu wa kambo alipo sikia zile taarifa akaanza kulia huku akisema "jamani best yangu wewe ukienda kuolewa uko na mme wako huyo mzungu mimi nitaishi vipi jamani sina msaada wowote mimi"
Yule dada akamwambia "kwa sasa siwezi kubaki maana kila mtu ameisha juwa, nimewaaga watu wangu wote kuwa naenda germany kwa mme wangu sasa kubaki siwezi"Kipindi wanazozana pale mama akasema ile kazi siifanyi tena manusra iniue, yule dada akasema hii kazi imenipatisha mume,tena mume wa kizungu ila siifanyi tena,
Yule dada akamuuliza mama "sasa ukitoka hapa utafanya kazi gani ndugu yangu maana ata kazi sahivi ngumu kupata"Mama akamjibu kuwa "nitafanya kazi yoyote ile atakama ni kazi za ndani nipo tayali kufanya"Mama aliposema kuwa ata kazi za ndani anaweza kufanya, mama danieli alikuwepo pale akasema "we dada kama kazi za ndani unaweza kufanya basi usijali mimi nilikuwa natafuta mfanyakazi wa ndani! kama upo tayari tukitoka hapa hospitari twende moja kwa moja mpaka kwangu".
Yule dada alijiandaa jioni yake akaenda na mmewe uwanja wa ndege akasafili kuolewa kabisa na mmewe na akaishi maisha mazuri sana kule.Mama yangu wa kambo akachukuliwa na mama yangu mlezi (mama danieli) kisha akamleta  nyumbani ili awe mfanyakazi wetu wa ndani.
Kipindi anafika nyumbani alipokelewa na mdogo wangu wa kike,
Wakati mimi natoka chumbani kwangu nakuja sebreni ili nimuone mgeni.Dooh! Nilishangaa kumuona mke wa baba pale kama mfanyakazi niliogopa maana nilikuwa najua ni mchawi na......
FATILIA YA 47
                          SEHEMU YA 47.
Nilishangaa sana kumuona mke wa baba kwamba ndiyo mfanyakazi wetu wa kazi za ndani, sikutegemea, niliogopa na kushituka kidogo maana nilikuwa namjua mama vizuri yani kwamba baba alikuwa akimpa pesa na alikuwa akipendeza sana na anachukua vijana wa aina yoyote atakayo kwa pesa zake, Na nilimjua kuwa ni mchawi na niliumia sana maana ndiye alie sababisha mama yangu afukuzwe nyumbani na akafa jamani.kibaya zaidi ndiye alie sababisha mpaka nikapelekwa na baba polisi kufungwa! huyuhuyu mama ndiye alifanya mpaka nisimzike mama kipindi amefariki, nilijikaza kwa yote ila nilipo jitazama katika mkono wangu nikakumbuka alama ya marehemu mke wa hans alie taka kumchoma mama kisu tumboni sababu alimfumania na mmewe ila mimi nikakinga mkono wangu ili mama asife, Nilikumbuka jinsi nilivyo kuwa nikinkuta mama yangu wa kambo na wanaume ndani baba akiwa hayupo! Yani sikutamani ata kumuona lakini nilishangaa kumtazama alivyo alibika sura yake maana alikuwa ana makovu  usoni.
Mama alionyesha sura ya huruma sana ali kadharika alionyesha kunywea sana pale sebureni mpaka nikamuonea huruma ata sikutaka kusema chochote kibaya kuhusu yeye kwa mama danieli.
Kipindi mama daniel ameenda chumbani kwake kulala ikabidi nimfate mama wa kambo chumbani, nikamuuliza.
Mama baba yuko wapi? Alafu mbona upo hivyo umechoka sana na umekuwa mbaya sana sahivi? Na kwanini ufanye hizi kazi? Alafu kwanini nyumba yetu imeungua nilikuta imebomokabomoka? Na imekuwajekuwaje umefikia hatua yakufanya hii kazi?
Mama wa kambo alinisimulia kila kitu maana nilimuonya asipo niambia ukweli namsemea kwa mama danieli ili afukuzwe kazi
Alipo nielezea ndipo nikapata kujua historia yote kuhusu (damu ya baba)
Sikuwa na kinyongo nae maana nilimuonea huruma hivyo nikamuacha aishi pale pale nyumbani.
Siku za kwanza mama alikuwa akipika chakula kitamu! Alikuwa akifanya kazi zote vizuri mpaka mama dani akampenda sana akaanza kumtunza kama mdogo wake akimpa pesa ya nguo na matumizi yote,
mama alivyo anza kupendeza upya ndipo akapata roho ya kutu tena, akataka kuniua mimi pamoja na mama dani! ili abaki yeye pale nyumbani maana mama dani hakuwa na mme wala ndugu, hivyo mama alitaka kumiliki zile mali mwenyewe jamani! Ndipo...
Itaendekea sehemu ya 48

  SEHEMU YA 48 .
Mama yangu wa kambo akukumbuka fadhila na mazuri yote aliyo tendewa na mama Danieli, Alitamani amuondoe mama dani duniani ili yeye abaki kuwa mumiliki wa mali zote zile nyumbani, Maana mama dani alikuwa na nyumba kubwa yenye ghorofa moja, mbele ya nyumba alikuwa na fulemu za maduka tisa na pili alikuwa na magari ya kifahali sana jamani.
Siku moja usiku kipindi mama wa kambo anapika chakula mdogo wangu wa kike alimuona akiwa anatoa dawa kwenye fundo la kanga kisha akanyunyizia kwenye chakula.
Mdogo wangu hakuniambia kama kaona sumu inawekwa bali alikimwaga kile chakula chote chini, Mama dani alimgombeza sana "kwanini unatulaza njaa sisi? yani unamwaga chakula makusidi kabisa, nahisi utakuwa na maleria kesho nakupeleka hospitari"
Mdogo wangu alikuwa mkimya kama marehemu mama hivyo hakusema chochote.
Baada ya mama wa kambo kufeli mpango wake wa kwanza, ndipo sasa akamfata yule ndugu yake ambaye baba alimuona usiku kule makabulini na wachawi wenzake wakimfufua Zabroni ili awe mwenzao,
Yule ndugu yake alimlaumu sana mama kwanini kakaa kimya siku zote zile.
Ila alimkubalia ombi lake la kumpa dawa za kishirikina ili aweze kuteketeza familia yetu yani mimi, mdogo wangu wa kike na mama danieli.
Mama yangu wa kambo alimfanya kitu kibaya sana mama danieli
Ilikuwa ni jumamosi mama danieli akiwa amepata wateja kutoka Germany hivyo akataka kumuachia pesa za matumizi mama ili aweze kusimamia kila kitu pale nyumbani kipindi mama daniel anatoka chumbani kwake kumpelekea pesa mama!
Kipindi anavuka mlango wake tu aliangua chini vibaya sana  mama danieli! mimi nilikuwa naoga lakini nilikisikia kile kishindo.
Kumbe mama alikuwa ametega dawa pale mlangoni.
Nilimpeleka mama hospitali huku mama wa kambo anajifanya analia kumbe yeye ndiye mchawi.
Mama dani mguu wake ulianza kuvimba  ulitanuka sana ukajaa maji na kuweka mikato mikato mingi, Docta akasema ile ni kansa! hivyo mama akaambiwa akatwe mguu, doh alikataa akasema nikikatwa miguu biashala zangu zitakufa zote jamani,Ikabidi arudi nyumbani maana alikataa kukatwa kabisa, mguu uliendelea kuharibika sana alianza kuoza mguu wake! mimi nilisikitika sana pale nilipo waona wadudu aina ya funza kwenye mguu wa mama dani nililia sana …
Usikose sehemu ya 49.
   SEHEMU YA 49.
Hali ya mama danieli iliendelea kutisha ata kila aliye kuja kumtazama alijua lazima afe tu, mama yangu wa kambo alionyesha tabasamu la kinafiki ili tujue na yeye kaumia kumbe ndiye chonzo kikuu.  Mguu uliendelea kuonyesha kuwa hauwezi kupona tena na mama danieli alikataa, akasema, "hii sio kansa maana kwetu hamna huu ugonjwa, vilevile  nikitu cha ghafla sana kwahiyo siwezi katwa", Mimi umri wangu ulikiwa umeenda pia maana nilikuwa na miaka 22 hivyo nikajiongeza palepale nikamfata mganga wa kienyeji aje kumsaidia, ila wote tulishangaa sana! mganga alizidiwa nguvu kabisa akasema awezi kutibu na akasema mama dani awezi kupona! Nilihisi anatania ndipo nikawaita mashee, mapadri na wachungaji wa kilokole! Ila wote walikata nao tamaa kabisa.
Mama danieli aliendelea kuwaza sana chakushangaza, mama dani Akaanza kutoa harufu ya kuoza, mule ndani kukawa kunanuka sana hivyo ata wageni wakaacha kuja.
Ilipo fika usiku mida ya saa tisa nikiwa nimelala tu nawaza nikilia maana nilikuwa nampenda sana mama dani jamani! Mzimu wa marehemu mama yangu ulinitokea ukiwa umevaa nguo nyeupe sana niliogopa maana sikuamini na nilishangaa sana.
Ukaniambia, "mama danieli amelogwa na mama yako wa kambo, na mama yako alimtegea dawa mlangoni kwake ili akivuka tu aweze kuugua, hata na nyie mpo hatarini sana hivyo nakuomba mwanangu nenda juu ya kaburi langu chukua mchanga wa kaburi langu juu  kisha njoo umwagie mama danieli kila alipo patwa na tatizo mwilini mwake! ukifanya hivyo atapona mda huohuo! usichelewe unatakiwa kufanya hivyo kabla ya saa moja asubui kesho hivyo amka sahivi kisha nenda!"
Nilimwambia kuwa
"Mama kaburi lako silijui", "nenda nitakuelekeza mwanangu"
Niliamka haraka haraka kumbe mama wa kambo alisikia kila kitu!
Ndipo akaanza kuniweka vipingamizi vingi ili nisifike makabulini.
Kipindi nafungua mlango taratibu mida ya saa tisa kukiwa na giza sana,dooh nilishangaa sana kuona paka mweusi sana mlangoni akiwa analia kama mtoto mchanga! nilishika jiwe kisha nikamponda ili akimbie aache kutulilia!

kumbe hakuwa paka ila ni mama wa kambo anafanya mambo yake
Nilipo mponda tu paka sauti yangu ikapotea ghafla, miguu yangu na mikono ikaishiwa nguvu nikashindwa ata kwenda makabulini... usikose ya #50
 SEHEMU YA 50.
 Niliishiwa nguvu sana na nilishindwa ata kupiga kelele ili mdogo wangu aje kunisaidia maana kipinda namponda yule paka nilisema "TOKA HAPA" ndipo sauti yangu pia iligoma kutoka hivyo nikalala pale pale nje nikiwa sina nguvu ata ya kuingia ndani wala kuwaita watu wanitoe nje, mzimu wa mama ulishindwa kunisaidia pia maana wale wachawi walikuwa na nguvu sana hivyo mama angeingilia tu na yeye ange hadhibiwa.
mda ulikuwa inaenda sana kufika saa moja mda wa mama dani kufariki!

Mama wa watu alilia sana akaomba mungu ampe nguvu tena japo amalizie kutusomesha tu ila ndiyo alikuwa anaendelea kuharibika mwili mzima, mama danieli alioza mpaka sura yake ikawa aitambuliki
mule ndani kwetu n'zi walijaa sana hakukua ata na uafadhali.
Ilipo fika saa moja kamili mama danieli alipoteza uhai wake jamani, macho yake yakawa ya bluu sana! mda huohuo na mimi nikapata nguvu zangu zote ghafla na sauti yangu ikarudi kama zamani.
Dah nililia sana maana mama danieli alikuwa kanisomesha mpaka chuo hivyo nilikuwa nimebakiza mwaka mmoja tu kumaliza masikini.
Tatizo likaja kwenye kumzika sasa! maana ata kumtoa ndani ilikuwa ni shida,  Alikuwa ananuka sana mama wawatu.
Mama wa kambo akawa asaidii chochote ndipo mimi nikaenda kituo cha polisi kulipoti ili serikari iweze kutusaidia kumzika mama dani sababu mama dani pia alikuwa hana ndugu yoyote tofauti na mama yake kijijini, ila na mama yake alikuwa mzee sana, maana mama dani alikuwa mtoto wa mwisho kwao kuzaliwa.
Serikari ilimzika mama danieli jaman ila tuliumia sana ata majirani waliumia sana pia.Baada ya miezi 4 mama akaanza kuingia kwenye chumba cha mama daniel kutazama mali zake.Kweli mama wa kambo alianza kumiliki kila kitu sijui alitufanyaje na sisi tukaanza kumsikiliza yeye kwa kila asemacho bila kumpinga.Siku moja mvua inanyesha mama akatoka na gari la marehemu mama danieli kisha akaenda kutembea wakati yupo njiani akamuona Baba.
Mama alikimbiza sana gari kisha akakanyaga taili makusudi kwenye bonde yale matope yakamrukia baba! Kipindi baba analalamika mama akafungua dirisha kisha akamwambia "bado unatembelea gongo shauli zako"Baba alilia sana akajutia kwanini alimfahamu huyo mwanamke.
siku moja usiku sana kipindi tumelala …usikose sehemu Ya 51.

                         SEHEMU YA 51.
Mama wa kambo alikuwa akifanya mambo yake ya kishirikina usiku pale nyumbani, wote tulikuwa tumelala ila mimi niliangaika kupata usingizi siku hiyo, kipindi bado natafuta usingizi nilisikia sauti ya mama yangu wa kambo akilia kama mtoto mida ya saa nane na robo! Niliamka nikaanza kunyata polepole ili niende kusikia na kutazama nini kinaendelea mule chumbani kwa mama yangu wa kambo.Sikuamini nilicho kisikia kwa masikio yangu jamani, kumbe mzimu wa mama daniel ulikuwa unamsumbua na kumtesa  mama kila saa nane kamili usiku!
Ulikuwa ukimtokea na kumwambia kuwa. "nilikusaidia maisha yako lakini umeniua, nilijitahid kukupenda sana lakini umetoa uhai wangu".
Mama alikuwa hapati usingizi kila siku anapo lala maana mzimu ulikuwa unalia na ulikuwa unapiga kelele sana chumbani kwake.
na mala nyingi mama alikuwa akilala sana mchana maana alikuwa akiteseka kila siku usiku anasumbuliwa na mzimu wa mama dani,
Nilimsikia mama akilia chumbani akisema, "mama dani nisamee, niache niishi kwa amani jamani"
Niliondoka polepole kisha nikaenda kulala chumbani kwangu.
Mama wa kambo aliamua kuomba msaada kwa ndugu yake alie mpa uchawi ili wazuie kilio cha mama dani kinacho mtokea kila siku usiku mama wa kambo ili mama aishi kwa furaha.
Mama alikubaliwa kusaidiwa ili asiweze kusumbuka tena, lakini mama alipewa sharti moja tu,
Alitakiwa kuondoa na kuhakikisha ana muua mdogo wangu wa kike ili miungu iweze kumsaidia asiweze sumbuliwa na mzimu wa mama dani kila siku usiku.
Mama aliingia chumbani kwa mdogo wangu kisha akaweka dawa zake za kichawi chini ya godoro ili mdogo wangu  akilala tu afe, na sisi tumkute asubui kaisha kufa tena bila mama  kugundulika kama ni yeye kafanya mauaji.
Baada mama wa kambo kutega dawa zake, mdogo wangu na yeye alikuwa amerudi kutoka kwenye mizunguko yake hivyo kipindi mdogo wangu anafika nyumbani, dawa zilikuwa tayali zimetegwa hivyo mdogo wangu akilala tu anafariki hapohapo.
Mdogo wangu alipo fika nyumbani alienda kuoga ili aweze kupumzika maana alikuwa amechoka sana siku hiyo, kipindi anataka kulala kitandani akakumbuka hatujaonana, maana mimi na mdogo wangu tulikuwa tunapendana sana hivyo akaja kwanza chumbani
Kwangu kuniaga ili akalale.Usikose sehemu ya
 SEHEMU YA 52.
Kipindi mdogo wangu yuko chumbani ananiaga ili akalale alionyesha sura ya upole na aliniaga kama vile anaenda kufa masikini.Alisema "kaka yangu nimechoka sana leo, yani nahisi nikilala naweza kufa kabisa"Nilicheka nikamwambia hapana mdogo wangu hauwezi kufa.Aliniambia usiku mwema kaka tutaonana kesho,Wakati anatoka chumbani kwangu anaelekea kwake alipo toka tu kwangu, akashangaa sana kumuona mama sebreni akiwa anatamani mdogo wangu akalale ili afe.
Mdogo wangu akamuuliza mama "mama mbona macho yako yamekuwa mekundu sana? alafu umenuna hivyo? na umefunga kwa kujikaza kitambaa chekundu kichwani kama waganga wa kyenyeji.
Mama akasema  kwa sauti sana kwamba,
" WEWE KIMYA, NENDA UKALALE KITANDANI KWAKO UKO, NATAKA KUISHI KWA AMANI MIMI"
mdogo wangu hakujua kuwa mama ni mchawi hivyo hakuelewa chochote mda ule,
Akauliza tena "mama mbona leo unanilazimisha nikalale, siku zingine mbona nalala mda ninao utaka mimi"
Mama aliamka kimya kimya bila kujibu chochote akiwa anamtazamia jicho kubwa sana huyu mdogo wangu.Mdogo wangu alishangaa sana yale matendo,Mdogo wangu akaanza kwenda chumbani kwake ili akalale, mama alifurahia sana kipindi mdogo wangu anaenda ndani kwake maana alijua akilala tu kitandani, mzimu wa mama dani utapumzika na utaacha kumsumbua.
Mdogo wangu aliingia ndani kwake kisha akasukuma mlango ili aweze kujitupa kitandani kupumzika.
Mama alifurahia sana alivyo ona mdogo wangu kafunga mlango wake ili alale akajua lazima mpango wake utakamilika.
Kipindi mdogo wangu yupo chumbani kwake kabla hajalala alikuwa anapenda sana kuandaa nguo zake za kuvaa kesho shuleni ili asiweze kuchelewa.
Mdogo wangu viatu vyake vya shule alikuwa akipenda sana kuviweka uvunguni mwa kitanda.
Hivyo akataka kuvitoa ili aviandae mapema ili kesho akiamka aweze kuwai kwenda shuleni bila kuchelewa vipindi vyake vya twisheni. Aliinama chini kuvichukua viatu vyake, ila vilikuwa kwa mbali, asingeweza kuvichukua kwa wepesi, Ndipo akapata wazo la kubinua godoro ili aweze kuvitoa viatu vyake. Kipindi anabinua godoro alishangaa kuona vitu vya kichawi ndani kwake!Maana ulikuwa ni mjusi umeoza na umefungwa wembe aina ya "gillete" pamoja shanga ya plasitic.Doh Alipiga kelele sana..Usikose sehemu ya 53
 SEHEMU YA 53
Mdogo wangu alipo piga kelele, sikusikia mala ya kwanza maana tayari nilikuwa nimepitiwa na usingizi.Mdogo wangu Alilia tena akisema "kaka njoo unisaidie, kaka yangu"Mimi nilihisi kama kuna vitu naota ndotoni hivyo nikashtuka, ndipo nikamsikia mdogo wangu analia akiniita! Maana aliogopa sana kutazama ule mjusi ulio fungwa shanga ya palastiki pamoja na wembe ya gillete juu.Nilipo ingia chumbani kwake nikamuuliza "mdogo wangu tatizo nini" akanijibu "kaka fungua ilo godoro uone"Nilipo fungua nikalitupa hapohapo chini maana nilijua moja kwa moja kuna uchawi humu ndani na iliogopa pia.Nikamwambia subilia ngoja nikamuite mama aje atusaidie.
Nilipo enda kwa mama kumuita nilishangaa sana kusikia analia mwenyewe chumbani kwake akisema. "Mama dani nisamee, nihurumie unanitesa sana mama dani"Dah nilishituka sana ingawa sikuelewa chochote ndipo nikagonga mlango wake ili atoke twende chumbani kwa mdogo wangu.Alipo fungua mlango, nikamwambia mama "mdogo wangu amepatwa na matatizo chumbani kwake twende kumuona".Mama akajua tayari kafanikisha mpango wake wa kumuua mdogo wangu! Akaanza kulia akisema"jamani mtoto wangu umefariki nilikupenda sana mwanangu"
Sikumuelewa kabisa pale nikamuuliza mama mbona unasema amefariki wakati bado ni mzima kabisa.Tulipo ingia ndani kwa mdogo wangu mimi pamoja na mama wa kambo.Mdogo wangu akamwambia mama kuwa."Mama nilikuwa nabinua godoro ili nichukue kiatu chini ya uvungu, ila nimeshangaa sana kukutana na mjusi huyu chini ya godoro"Mama akamwambia "we mtoto kwahiyo siku hizi usiku unabinua magodoro sio, ebu rudisha huyo mjusi labda mama dani alimuweka mwenyewe kipindi yupo hai"
Mimi Nikamwambia kuwa"mama dani alikuwa hana hayamambo ya kishirikina"
Mama akasema we mtoto umejuaje kama huu ni ushirikina?
Nikamwambia "
mama sisi ni watu wazima sahivi tunaelewa sana,mjusi auwezi kujifunga shanga na kujifunga wembe, ni binadamu pekee ndiye alie pewa akili ya kufanya mambo kama haya sio wadudu wala wanyama"
Mama akasema ebu leteni nikamchome moto huyo mdudu labda ni uchawi kweli.
Mama alichukua ule mjusi kisha akaubeba kwenye mfuko mweusi kwa usitaharabu sana.
Kumbe mama akawa amepanga kesho amuue mdogo wangu tena macho kwa macho
Usikose sehemu ya  54.

  SEHEMU YA 54.
Ilipo fika asubui kipindi wote mimi na mdogo wangu tumeisha jiandaa ili twende shule,
Mama aliamka mda huohuo akasema, "wanangu naomba mnisikilize, jana usiku sikulala vizuri, yani najisikia naumwa sana hivyo siwezi kubaki mwenyewe hapa nyumbani, sasa naomba huyu mdogo wako wa kike abaki nyumbani na mimi, ili aweze kuniangalia na kunisaidia baadhi ya kazi maana nina umwa sana jamani"Kumbe mama alikuwa anataka kumuua mdogo wangu pale nyumbani wakibaki wawili ndani.Dah mimi nilipatwa na moyo wa huruma sana kwa mama alipo sema anaumwa  hivyo nikasema "mama ngoja nibaki mimi nikuangalie, wacha mdogo wangu yeye aende shule "
Mama akasema "hivi tangu lini mwanaume akauguza mwanamke, mbona unaniletea ubishi wewe, Haya sasa twende ukaniogeshe maana sina nguvu kabisa mikononi!"Nikamwambia "sikujua kama unaumwa kiasi hicho"Mdogo wangu roho yake ilikuwa inamsuta sana kubaki akasema "leo tuna mtihani hivyo nikiukosa itakuwa ni shida"
Mama akamwambia "kumbe unipendi ehh haya sawa nenda niache ndani tu nife peke yangu"
Mdogo wangu akakubali kubaki akijua wazi kuwa mama anaumwa, kumbe ulikuwa ni mpango tu wa kuondoa maisha yake jamani.
Niliamua kuondoka na kuwaacha wakiwa wawili ndani.
Mama akamwambia naomba ukanichemshie maji jikoni alafu urudi sebreni hapa nikutume nje.
Mdogo wangu alivyo toka tu, yule kaka mchawi ndugu yake mama akaja ili kumsaidia mama yale mauwaji. Kipindi mdogo wangu anatoka jikoni anarudi kumsikiliza mama sebreni, akakuta mgeni anaetisha, maana yule kaka alikuwa amevaa kanzu nyekundu akiwa amejipaka majivu usoni. mdogo wangu alipo taka kukimbia milango yote ilikuwa imefungwa na funguo.
Yule kaka akamshika mdogo wangu kwa nguvu kisha akamwagia dawa mdomoni mwake.
Na alipo mwagiwa dawa  kichwani mdogo wangu alikaa chini kimya bila kusumbua kisha mama akaambiwa "Sasa unaweza kumuua sasa ila usimpake maji kabla ajafa"
ndipo yule kaka akaondoka.Mama akabaki yeye na mdogo wangu tu ndani,
kipindi hicho mimi nipo darasani nasoma bila kujua kinacho endelea kwa mdogo wangu masikini
Mama akamwambia "sikupenda kukuua mwanangu lakini nitakuua maana nisipo kuua wewe, nitaendelea kuteseka maana mzimu wa mama dani unanitesa sana silali kila siku mimi. #55
                      
  SEHEMU YA 55.
 Baada ya mama wa kambo kumwambia mdogo wangu kuwa anamuua ili asiteswe na mzimu wa mama dani. Mdogo wangu alilia sana masikini akasema "mama naomba usiniue, Nisamee kama nilikukosea, natamani kusoma mama, kuishi ili ukizeeka nikutunze mimi."
Mama alisema siwezi kukuacha maana usiku silali nateseka sana wala ata sifurahii maisha, Wakuu wamesema nikikuua tu sisumbuki tena,
mdogo wangu akasema "mama kumbe we mchawi, kumbe wewe ndo umemuua mama dani kwanini unafanya hivi mama"
Mama wa kambo alichukua kile kipembe cha mbuzi ili amgusishe kichwani mdogo wangu afe,
Kipindi amekinyanyua kipembe cha mbuzi kilicho pakwa damu ili amuue mdogo wangu.
Wakati anataka kumwekea kichwani mdogo wangu alilia sana masikini akisema "hee mungu wangu nisaidie"Wakati mama wa kambo amekaribia kumuua mdogo wangu! Palepale mzimu wa marehemu mama mzazi ukaja na kumshika kimiujiza mama wa kambo.Mama wa kambo akauwambia mzimu, "hivi wewe mama mbona unanifatilia ebu niache"mzimu ulimwambia "kama marehemu mama dani anakusumbua katubu dhambi zako usimuue mwanangu"
Mama wa kambo akasema, "lazima afe tu leo"Mzimu wa mama ukamwambia mdogo wangu "amka kimbia huyu mwanamke ameshika pembe nashindwa kukisaidia vizuri"Mdogo wangu alikimbia mpaka jikoni, mama wa kambo akamfata hukohuko, na mzimu wa mama ukaangaika kumfata mdogo wangu kumsaidia jikoni.
Mdogo wangu akachukua sipea ya ufunguo ili akafungue mlango akimbie.
Kipindi mdogo wangu anataka kukimbia! Pale jikoni kulikuwa na maji chini ya sakafu, hivyo akateleza akaanguka chini, wakati ana nyanyuka ili aweze kukimbia, Ndipo mama akachukua yale maji ya moto aliyo mwambia achemshe kisha akamwagia usoni mdogo wangu! Doh alilia! sura yake ikaaribika jamani
ila akajikaza mpaka akatoka nje ya nyumba.
Mdogo wangu alipo toka nje ya nyumba hakutaka tena kurudi pale nyumbani na hakutoka na chochote,vilevile hakuniambia ata mimi anakimbilia wapi?
Kipindi mimi nipo shule nilihisi kichwa kinaniuma sana na sikuwa na raha kabisa hivyo nikaamua kurudi nyumbani.Nilipo fika nikamkuta mama mwenyewe! Nikamuuliza mdogo wangu yuko wapi? Akasema amefatwa na mwanaume wake wakaondoka wote, nilimsubilia sana lakini hakuja, kesho yake nikamuuliza tena mama........
Usikose Sehemu ya 56
SEHEMU YA 56.
Siku ya pili ilipo fika bila kumuona mdogo wangu,akili haikukaa sawa kabisa nikamuuliza mama, mdogo wangu yuko wapi.
Mama alinijibu kuwa "labda ameisha olewa uko alipo, maana jana binti amefatwa na bwana yake, kama asipo rudi ujue kampenda bwana ake na ameisha olewa kabisa"
Nilimwambia mama kuwa "mdogo wangu hana tabia kama hizo, unamsingizia, na tangia umekuja hapa familia inaangamia tu, najuta sana kwanini sikumwambia  mama dani kuwa wewe unatabia za kishirikina"Mama akasema hapana mwanangu mimi sio machawi nilisha acha zamani hayo mambo ya uchawi mimi.
Nilitoka nje kisha nikaanza kumtafuta mdogo wangu alipo, kila nilie muonyesha picha yake alisema hamfahamu.
Ila walisema kuna dada alilala nje ya lile duka jana usiku  lakini yeye alikuwa ameungua sura yake na urefu wanalingana lingana na hii picha.
Mimi niliwambia sura yake aijaungua ipo sawa na ajawai kuungua,
kumbe kweli alikuwa ni mdogo wangu kaunguzwa na maji ya moto masikini.
Mdogo wangu aliamua kupanda kabisa usafiri na kuamia mkoa mwingine maana alichanganyikiwa kabisa kwa vitu alivyo viona na kuvisikia ndani ya ile nyumba na alitokea kumchukia sana mama maana alitaka kumuua.
Wakati mdogo wangu anapanda lile (Bus) hakuwa na nauli yoyote mfukoni hivyo akapanda tu hivyo hivyo.Kipindi basi limeenda  mbali sana vijijini kabisa ndipo konda akaanza kuomba tiketi ili ajue walio lipa na ambao hawajalipa.
Mdogo wangu alikuwa na kidonda chake usoni masikini, alianza kuogopa atasema nini endapo konda akimuomba tiketi.Konda alipo mfikia mdogo wangu akamuomba tiketi.
Mdogo wangu akamwambia "kaka nisamee sina pesa ya nauli" konda akasema "kwanini ukusema mapema, hivi ujui na mimi nimeajiliwa naulizwa na bosi, ebu naomba ushuke dada"
Dereva alisimamisha basi mdogo wangu akashushwa na kutelekezwa palepale kijijini kama mwizi jamani, watu walishangaa sana wakasema mbona huyu dada ameungua sura hivi labda alikuwa mwizi jamani, binti anatabia ya wizi ndiyo maana anapanda basi bila ata kusema kama hana nauli.Mimi nilimtafuta kila kona mdogo wangu sikumpata kabisa.Wakati mdogo wangu ametelekezwa mwenyewe na hajui atakula nini, hana ndugu yoyote pale alilala chini pembeni ya barabara akaanza kulia masikini!..
Usikose Sehemu ya 57
                           SEHEMU YA 57.
Mdogo wangu alikata tamaa ya maisha kabisa, akatamani kufa maana alipatwa na njaa kali sana, sababu tangu atoke nyumbani alikuwa ajaweka chochote tumboni mwake.Aliamua kuamka na kuangalia kama anaweza kumuona mtu maeneo yale ili amsaidie ata maji ya kunywa tu.Kipindi anatembea kule kijijini akakutana na shamba lenye miti ya maembe na kulikuwa na mahindi pia mule shambani.
Mdogo wangu hakutaka kujua kama ni shamba la mtu alienda moja kwa moja mpaka shambani kisha akapanda juu ya muembe, akaka vizuri ili aweze kuchuma maembe kupunguza njaa yake mdogo wangu kipindi anataka kuchuma embe kumbe kulikuwa na nyoka mwembamba wa kijani pembeni,Mdogo wangu alikuwa muoga sana alipo muona yule nyoka alidondoka chini mpaka paja lake likachomwa na miba akapiga kelele maana alidindoka mzima mzima, kale kanyoka pia kakakimbia na kuamia mti mwingine.
Sasa kipindi anadondoka chini mwenye shamba alikuwa katikati ya shamba anakagua, Alivyo sikia mtu kaanguka kwa kishindo huku akipiga kelele shambani mwake, akajiuliza "huyo ni nani ngoja nimfate"
Alipo fika akamuuliza wewe ni nani, mdogo wangu akasema "nilikuja kula maembe kumbe kwenye muembe kuna nyoka hivyo kidogo anin'gate ndipo nikadondoka chini"
Yule baba akasema "kwanini unaniibia maembe yangu"
Mdogo wangu akasema mimi sikujua kama siruhusiwi kula maana nina njaa sana baba yangu"
Yule baba akasema "nyie watoto mnaniibia sana matunda shambani mwangu sasa leo nimekupata wewe, na ndiyo utakuwa fundisho kwa wenzako"
Mdogo wangu alikamatwa mikono na yule baba kisha akampeleka nyumbani kwake ili ampe adhabu.
Kipindi mdogo wangu amefungwa kwenye mti ali aanze kuchapwa, maana yule baba alikuwa anapenda kufanya hivyo kwa mtu yoyote mwenye kosa.Ila siku hiyo yule baba alikuwa amechoka sana hivyo akamuita mwanae akamchape mwizi wake.
Kipindi mwanae ameshika fimbo anaenda kumchapa akashangaa mdogo wangu anasema " baba husinichape ni mimi mwanao"
Yule mtoto wa yule baba akasema "mwanangu yupi tena" Ni mimi ulie niacha mjini na kaka yangu baada ya mke wako kufariki, ukaniacha mimi na kaka yangu mjini wewe ukaja na watoto wako kijijini.Kumbe alikuwa ni HANS masikini alie waacha mjini wakiwa wadogo sana hans akamuuliza..
Usikose sehemu ya 58.
                       SEHEMU YA 58.
Hans akamuuliza, kaka yako yuko wapi? alafu mbona sura yako imeungua mpaka nikashindwa kukutambua? Na umefikaje fikaje huku maana sikuwambia nakuja kijiji gani.
Mdogo wangu akasema, tulipata bahati ya kukaa kwa mama mmoja tajiri, tuliishi vizuri kwake,
lakini alikuja mwanamke mwingine ambae kaka aliniambia ni mama yake wa kambo, Huyo mama alivyo kuja tu, yule mama mwenye nyumba akafa,kumbe yule mama akataka kuniua na mimi, mzimu wa marehemu mama yangu ukanisaidia mpaka nikatoroka nyumbani.
ila nikapanda gari bila pesa yoyote mfukoni! sasa konda alipo kuwa anangalia tiketi  akanishusha tukiwa tumefika hichi kijiji,
sikuwa na sehemu ya kula ndiyo maana nikaja shambani kula maembe yule mzee wako ila akanikamata.
Hans akamuuliza na sura yako je,?
kipindi nataka kukimbia yule mama akanimwagia maji ya moto usoni, yani hapa nilipo nahisi maumivu sana na kidonda bado kibichi bado kinatoa maji.
Hans alimuonea huruma sana akamwambia" unabahati sana wewe na je konda asinge kushushia hapa au je usinge iba maembe ungefikaje hapa, alafu una bahati maana baba yangu anachapa sana leo ungekoma" Hans alimchukua mdogo wangu akampeleka kwa waganga ili wamtibu sura yake,
mungu saidia alipewa dawa za kyenyeji mpaka akapona sura yake ikakaa vizuri kabisa.
Ndipo akaanza maisha ya kijijini, mdogo wangu akawa analima na wale watoto wa hans, maana tayali walikuwa mabinti wakubwa tu pale kijijini.
Mzimu wa mama dani uliendelea kumtesa sana mama yangu wa kambo ikafika hatua mama akaanza kulala nje ya nyumba kupunguza mateso, mama alikuwa ateseki mchana lakini usiku alikuwa akiangaika sana jamani.
Siku moja kule kijijini mdogo wangu alitokewa na mzimu wa mama , ukamwambia "Mwanangu usione umefika hapa kwa hans, sio kwa ujanja wako, nimekusaidia mimi mwanangu kukufikisha kwa huyu kijana tena, maana mimi nilifariki mikononi mwake na mimi ndiye nilie mkabidhi yeye akulee, muheshimu kama baba yako na usirudi tena kwa mama dani, mpaka mama yenu wa kambo afe"Mdogo wangu akamuuliza mama "hivi baba yangu mzazi ni nani"
Mama akamwambia "nilipo fukuzwa na baba yake kaka yako sikuwa na sehemu ya kulala usiku, ndipo nikabakwa  na vijana kama saba  mwanangu, ndipo mimba yako ikapatikana,....
Usikose sehemu ya 59.
                         SEHEMU YA 59.
Mdogo wangu alisikitika sana mzimu wa mama ulipowambia kuwa baba yake ajulikani,
Ila Maisha yake yaliendelea vizuri sana pale kijijini yani mdogo wangu akawa mzoefu sana kwa yale maisha, Na ikafika hatua akayapenda sana
lakini mdogo wangu alikuwa ananikumbuka sana mimi kaka yake na alitamani  hata siku moja tuonane, lakini aliogopa kuja mjini maana tayari mzimu wa mama ulimwambia asiende kwa mama dani mpaka mama wa kambo akifa.
Mimi niliendelea kuishi maisha ya wasiwasi na mama yangu wa kambo pale nyumbani lakini nilivumilia tu.Baada ya siku kwenda mbele, siku moja Hans akamuita mdogo wangu kisha akamwambia kwamba "Mwanangu nakumbuka ulisema kuwa kipindi upo mjini ulikuwa unasoma sekondari?" Mdogo wangu akajibu "ndiyo baba"
Hans akasema "sasa sikiliza kuna mbunge mmoja amekuja kutafuta kura hapa kijijini kwetu, ili achaguliwe kwa mala ya pili, lakini amesema wasichana wote hapa kijijini wanaotaka kusoma yupo tayari kuwasomesha ili wasiolewe kwa umli mdogo"
Mdogo wangu hakuamini akamuuliza Hans kwamba "baba hivi ya kweli unayo yasema au unatania,"
Hans alimjibu,"kesho utaenda kuandika jina lako mtapewa pesa za matumizi na mtapelekwa mpaka jijini "dar es salaam" mpaka shuleni kusoma, ada ya shule na kila kitu anagharamia mbunge mwenyewe na hamtarudi tena kijijini mpaka mumalize masomo yenu"
Mdogo wangu alifurahi sana akasema "ehh asante mungu ndoto zangu za kuwa mwanasheria zinatakamilika". Kipindi mdogo wangu anaenda shule watoto wa hans na hans mwenyewe wakamsindikiza kisha wakamwambia kuwa "ukimaliza masomo yako usitusahau, utukumbuke na sisi kijijini"
Mdogo wangu akawajibu kwamba siwezi kuwasahau ndugu zangu, na siwezi kukusahau baba yangu"
Walibaki na majonzi kipindi anaondoka maana walikuwa wameisha mzoea sana mdogo wangu.
Alipo fika shuleni alikuwa anafauru vizuri sana na alikuwa anashinda nafasi za juu kila mtihani,
Mimi sikujua kama mdogo wangu yupo mjini maana ile shule walikuwa hawatoki nje ya geti mpaka wamalize masomo, hivyo ilikuwa ngumu kutambua kama yuko pale.
Ila sasa siku moja kichwa kilikuwa kinaniuma sana hivyo nililala kwa tabu sana. Kipindi natafuta usingizi polepole, nilishangaa kusikia mama anapiga kelele kama anapigwa usiku...
Usikose sehemu ya 60.
                         SEHEMU YA 60.
Mama alikuwa ameanza kuteswa na mizimu mitatu mida ya usiku,alipo enda chooni aliukuta mzimu wa mama danieli unalia.Na sebreni aliukuta mzimu wa mke wa hans unalia ukimwambia "ulitembea na  mme wangu hans, alafu ukaniua kwa kuniroga nimekufata lazima ufe pia we mwanamke"
Mama wa kambo alianza kulia na kwenda kukaa chumbani ndipo mzimu wa  mama ukamtokea na kumwambia "malipo ni hapa hapa duniani lazima ujutie yote uliyo yatenda
"Maisha ya mama wa kambo yalikiwa magumu sana, tena sana sana nyakati za usiku,
Mama wa kambo aliamua kwenda kwa wale wachawi ili wamsaidie, Asiweze kuangaika maana ile mizimu ilikuwa inataka kumtesa sana mama wa kambo mpaka apoteze maisha yake.
Wale wachawi walimwambia mama "tulikwambia umuue yule binti ukashindwa sasa tukusaidieje tena"
Mama akawambia "nipo tayari ata kumuua huyu nilie baki nae wa kiume pale nyumbani, au ata mtu yoyote jirani yangu nipo tayari kumuua ilimladi hii mizimu isinisumbue"
Wale wachawi walimwambia "hauruhusiwi kumuua mtu mwingine zaidi ya yule binti"
Mama wa kambo aliwambia "Naomba nimuue huyu kijana, maana mdogo wake alikimbia nimebaki na yeye mmoja tu"
Walimwambia kuwa "huyu kijana auwezi kumuua maana alisha toa damu yake kwajili yako, kipindi kile umefumaniwa na mke wa hans, maana alitega mkono wake kile kisu kikamchoma yeye!hivyo ile damu inakufata bado nyuma ukimuua utateseka zaidi"
Wale wachawi wakasema "ili hii mizimu ikapumzike na ikuache wewe unatakiwa kufanya mapenzi na huyo kijana"
Mama alishtuka sana alipo ambiwa kufanya mapenzi na mimi.
Mama hakuwa na jinsi akakubali kufanya mapenzi nami, ila aliwaza sana ni jinsi gani ataniambia mimi nifanye nae mapenzi. Alikuja nyumbani akiwa na furaha sana, nilipo muona nikamwambia mama kuwa "mama mwaka huu namaliza chuo,natakiwa kulipa ada ya shule"
aliniambia "nitakuletea leo usiku chumbani kwako" Mama alikuja mida ya saa sita usiku akiwa amevaa nguo fupi ikionyesha mapaja yake na kitovu chumbani kwangu, aliniambia "mwanangu, tangia baba yako aniache sijawai kufanya mapenzi na mtu yoyote, Naomba tufanye mapenzi nina hamu sana, nisaidie mwanangu!huku akiwa ananivua shati langu polepole.
Itaendelea sehemu ya 61.
                            SEHEMU YA 61.
Nilisikitika sana pale Mama yangu wa kambo alipo kuwa anataka kufanya mapenzi na mimi  ili mizimu iache kumsumbua, sikuamini kweli maana nilikuwa sitegemi kabisa tabia ile kama anaweza kuileta kwangu. Mama alisema kwamba "najua nilikuwa mke wa baba yako mzazi ndiyo, lakini ata tukifanya mapenzi hakialibiki kitu ebu angalia tunaishi wawili tu ndani unaniacha mimi nateseka hivi naomba unisaidie jamani, Mwanangu naomba  kubali nitakupa hiyo ada ya chuo na pesa zote za matumizi ilimladi unikubalie ombi langu ila usimwambie mtu yoyote itakuwa siri yangu mimi na wewe tu." Nilikataa nikasema "hapana mama kumbuka wewe ni mke wa baba yangu mzazi! inakuwaje unanitesa hivi lakini ujue ata mungu hapendi mama yangu nitaanzaje kwanza kufanya mapenzi na wewe mama yangu". Mimi naomba unisaidie nipate ada japo nimalizie elimu yangu tu, Maana ata sielewi tangu mama danieli afe umekuwa unatunyanyasa humu ndani. Angalia mdogo wangu tayari kaisha toroka sababu yako. Mama aliendelea kusisitiza akisema kwamba "sikiliza mwanangu naomba unisaidie mimi nateseka sana usiku nikiwa chumbani mwenyewe naomba tufanye japo mala moja tu inatosha". Dah Sikujua kama anateseka na mizimu nilihisi mambo mengine tu ya ngono.
Yani mama alijaribu kunishikashika mwili wangu akiniambia "kwani ukinifanya mala moja utakufa, Ebu acha ushamba bhana, jaribu ata wewe utafurahia tu", Aliamka akaenda kuzima taa ya chumba changu usiku huohuo. Niliogopa nika tetemeka sana mimi maana ata hisia japo kidogo sikuwa nayo kwake huyu mama jamani, na tabia zake mbaya nilikuwa nazifahamu hivyo nikajua mama anataka kuniharibia maisha ili na mimi niishi kwa matumaini. Mama akasema "nimezima taa nahisi ndiyo inakutia wewe aibu" nilimwambia "hapana mama siwezi kabisa kufanya hii dhambi maana najua ata kwa mungu haitasameewa". Mama akasema kwani mungu unamjua? Alinilazimisha sana. Ndipo nikaanza kulia kama mtoto ili japo nimkubalie tufanye mapenzi mizimu iache kumtesa yule mama.  nikasema  "mama naomba tusifanye leo kesho njoo tutafanya". Mama akasema hapana wewe utanitoroka mimi nataka leo nisaidie tu nitakuwa na wewe kila sehemu kwenye shida na raha zote za dunia. Nilimwambia mama kuwa "mama toka juu ya mwili wangu mimi siwezi kufanya tabia zako mbaya" Mama akasema jamani ebu angalia tayari nipo juu yako kwanini usivue nguo zako zote tu unisaidie japo kidogo tu, atukai sana mwanangu! Yani wewe haujui tu ila nateseka sana usiku. Mama alikataa kutoka juu ya mwili wangu huku akinibembeleza nivue nguo zangu zote ili nilale nae.
Sikuuelewa ule mchezo kabisa, Niligoma ndipo mama akasema. Tambua mimi ni binadamu na ninatamani hiki kitu pia naomba unisaidie. Nilimwambia najua unahitaji ila sio kwangu maana mimi ni mwanano. Aliguna akasema acha ushamba bwana unaniuzi sasa kwani mimi ndiyo nilikuzaa wewe, mama yako alisha fariki. Mama akasema  sasa sikia "kama unaitaji msaada wowote kutoka kwangu naomba ukubali maana ata mimi naitaji kuishi kwa starehe pia. Au kama haupo tayari kusoma chuo sema? Maana ukikataa kufanya ata hiyo ada sitokupa kabisa nakwambia" Mama alijaribu sana kunishawishi nifanye nae hilo tendo ili mizimu iache kumtesa usiku. Ila nilikataa. Dooh ndipo nilishangaa mama ananivua mkanda wangu wa suruali kisha anaivuta suruali yangu chini tukiwa wote kizani, akisema nisadie mwanangu nisipo fanya na wewe basi nitakosa raha sana. Mama aliongea hivyo maana sharti la kumuua mdogo wangu alishindwa hivyo akaambiwa alale na mimi mizimu isimsumbue! ndiyo maana akalazimisha sana nilale nae alipo nivua nguo kabisa akasema subili kidogo ndipo mama akaenda kufunga mlango na komeo akasema "nitakuwa nakupa pesa na kukupa unachotaka naomba tufanye tu, ebu angalia nipo uchi sasa nakutegemea wewe hakuna atakae jua tunafanya hichi kitu maana tupo wawili tu humu ndani.. Nilipo anza kumuona mama ananifata tena kitandani Nywere zangu zilisisimka sana nikaogopa ndipo nikamwambia mama kuwa. Mama sikiliza mimi nipo tayari kufanya mapenzi na wewe lakini naomba tutumie kinga maana ata shuleni tunafundishwa kwamba, usimuamini mwenzako kwa kumtazama. Mama akasema sasa hiyo kinga unaipata wapi jamani. Maana mda umeenda sahivi.nilimjibu hapo nje kuna duka la madawa la masaa ishirini na nne nikitoka nje nachukua haraka narudi tufanye. Mama alikubaliana na mawazo yangu. Alipo niruhisu kutoka tu nje ndipo akawa amefanya kosa. niliamua kumkimbia pale kwake. Mama kipindi yupo chumbani ananisubilia kwa  hamu maana alihisi amenishawishi sana kumbe hapana. Alisubilia sana mpaka akaanza kijiuliza maswali kuwa... huyu mbona haji? Au amekuta kinga hazipo kwenye hilo duka, ngoja nimsubilie aje anisaidie nimeichoka mizimu ya kila siku inayo nitesa. Mimi niliamua kutoroka kwa mama danieli nikamuacha mama yangu wa kambo  mwenyewe ndani ya ile nyumba. Mdogo wangu wa kike kumbe alikuwa akiendelea na masomo yake na hakuna aliyekuwa hamfahamu shuleni kwao.
Maana alikuwa anafanya vizuri katika masomo,  Nilipo toloka nyumbani usiku ule. sikuwa na sehemu yoyote ya kulala na kulikuwa na baridi sana siku hiyo maana nililala chini ya mti, mpaka nilitamani sana ningekuwa nyumbani lakini nilikuwa namuogopa sana mama wa kambo maana kwa jinsi alivyo lazimisha nilale nae kimapenzi iliniuma sana. Niliamua kulala nje siku hiyo ila nilitetemeka sana jamani. Mama alisubilia kama naweza kuja, ila sikurudi  tena nyumbani na nilimchukia mama sana maana niimuona ni mtu mbaya katika maisha yangu, sababu alikuwa mwasilika na alitaka kufanya mapenzi na mimi, wakati mimi nateseka sina pakulala jamani. Kumbe mama anateswa pia na mizimu. Mama aliendelea kuteswa zaidi maana Kipindi cha nyuma alikuwa akipigiwa kelele tu. hivyo walipo ona amezoea kupigiwa kelele. Mizimu pia ikabadilisha hadhabu, ilikuwa inakuja chumbani kwake imevaa sanda nyeupe kisha inaanza kumchapa sana mama na alichapwa na mizimu yote chumbani kwake ila mzimu wa mama daniel ulikuwa unamchapa uku unalia. Dah Mama akaanza kujiuliza afanyeje sasa. Mama yangu wa kambo aliamua kuwafata wale wachawi wenzake na kuwambia ukweli kuwa haja bahatika kufanya mapenzi na mimi na akawambia tayari mimi nimeisha mtoroka pale nyumbani. Mkuu wa wale wachawi akasema huyu mwanamke tangia tumempa uchawi hajawai kuleta damu ata zaidi ya mala tano alileta ya mme wake na ya mama danieli tu lakini anatusumbua,  na tangia awe mchawi hajawai kufanya agizo lolote likakubalika. hivyo kwanzia hivi sasa, kama unataka ile mizimu isikusumbue tena "unatakiwa kurudi nyumbani na kuchukua nguo zako zote alafu unatakiwa kuiacha nyumba ya mama dani  kama ilivyo pia usitoe pesa wala gari lolote ndani yani toka kama ulivyo ukatafute maisha mengine, ukifanya hivyo ndipo ile mizimu  itaacha kukusumbua. Kipindi mama anateseka na Mimi nilijaribu kutafuta pesa ili nisome ila ikawa ngumu ndipo nikaanza kujiushisha na kuosha magari ya watu ili nipate pesa ya kula. Mama wa kambo alipo ambiwa haache mali zote za mama dani ili mizimu isimsumbue alianza kulia akisema. "jamani naenda wapi mimi sahivi nikiacha hizo mali maana sina ata kazi."Kweli mama yangu wa kambo aliacha ile nyumba kama alivyo ikuta ma magari yote akayacha kama yalivyo. Ndipo mama akaanza kuingia mtaani kutafuta tena maisha mapya. Mimi pia niliendelea na kuosha magari ya watu lakini sehemu ya kulala ilikuwa ni ngumu sana kwangu siku moja nilibahatika nikampata kaka mmoja yeye alikuwa amepanga  akanisaidia akasema njoo ukae kwangu kwa mda ila ukipata pesa zako utaama na upange kwako pia, nilimsimulia stori ya maisha yangu akawa amenionea sana huruma. akasema pole sana ila bila "damu ya baba yako" wewe usinge teseka hivi na mama yako mazazi asingekufa jamani ila mshukuru mungu. kisha nikaanza kukaa kwake nikifanya kazi yangu ya kuosha magari. USIKOSE SEHEMU YA 62
                     

















 SEHEMU YA 62.
Nyumba na Mali za mama danieli ziliachwa pekee bila mtu yoyote kuishi ndani maana ata mimi sikupenda kurudi kule nyumbani, mama wa kambo aliendelea kuangaika sana kwa kupata sehemu ya kula na kuishi lakini mizimu iliacha kumtesa sababu aliama pale kwa mama danieli kama alivyo ambiwa na wachawi wenzake,
mama danieli alimtesa sana mama maana mzimu haukupenda kabisa mama yangu wa kambo aendelee kuishi kwake, maana mama danieli aliangaika sana kutafuta mali zake, mama yangu wa kambo aliangaika ila siku moja alibahatika akapata kazi kwa mtu ili awe msaidizi wa kazi za ndani.
Mimi kipindi hicho naendelea na kazi za kuosha magari ya watu ili kukidhi maitaji yangu ya kila siku. Siku moja niliosha gari la mama mmoja hivi alie kuwa na uwezo sana, nilijitahidi kulifanyia gari lake usafi likapendeza sana, alipo toka ofisini kwake alishangaa sana kuona gari lake limependeza zaidi ya alivyo kuwa anafikiri.
Akasema, we kijana mbona umenifurahisha sana hivi,Tangia nianze kuwapa vijana wengine kuosha ili gari wamekuwa wakiosha ovyo ovyo tu,
Nikasema , ahsante bosi wangu, mimi napenda kufanya kazi au kitu chochote kwa roho moja ata kama si changu
Alivutiwa na maneno yangu akaniambia kuwa.
Tafadhali kijana kwa siku unapata shingapi kwenye hizi kazi zako?
Nikamjibu kuwa, Napata 6000 ila mda mwingine inakosekana kabisa sipati chochote.
Yule mama Akasema, je upo tayari nikuajili uwe mfanyakazi wangu ukaishi kwangu niwe nakulipa kwa mwezi laki tatu na utaishi kwangu pia utakula hapohapo kwangu. Maana nimependa jinsi unavyo fanya kazi kwa roho yako safi.
Sikuamini maneno yake kabisa nikahisi labda ananitania nikamuuliza kwa furaha tele usoni mwangu kwamba hivi nikweli utanipa kazi au unanidanganya tu?
 akasema kwamba,
 chukua namba yangu ya simu hii hapa kisha ndani ya hii wiki ukiwa tayari kufanya kazi niambie ili niweze kukuchukua na kukupeleka kwangu,
sikuamini ujue maana aliniacha elfu hamsini kisha akasema kajiandae utaishi kwangu na usiniangushe naomba ukaishi kwangu unisaidie kazi zangu mwanangu.
Kweli nilitoka yale maeneo ya kazi kisha nikaenda sehemu ninayo ishi ili niweze kumuelezea rafiki yangu ninae kaa nae bahati niliyo ipata.
Nilipo fika nyumbani nikiwa na furaha kuwa lazima nitapata pesa niendeleze masomo yangu,
 kipindi nipo ndani namsubilia rafiki yangu aje,
 alikuja mtu akagonga mlango, ndipo nikaamka kwenda kumfungulia ila bahati mbaya nikaamka haraka maana nilikuwa na furaha sana dooh pale pale kichwa changu kiligonga kioo cha ukutani kikaanguka chini, nilipo kuwa nainama kuokota vipande vya kioo, wakati nasimama mguu ukagonga stendi ya Tv ikaanguka nayo chini tena vibaya na ikapasuka palepale pia kioo chake dah Kipindi nawaza mkosi gani huu najaribu kuinua ile stendi ya tv vizuri, nikaangusha ndoo ya unga wa ugali ambao tulikuwa tukipika pale nyumbani, wakati huohuo Yule mtu alikuwa anaendelea kugonga mlango nje ili nimfungulie, nilipo fungua nikizani ni rafiki yangu kaja ili nimwambie bahati iliyo nikuta, nikashangaa kumkuta mtu  mwingine akisema kuwa,
“kaka mimi ni muuza laini za simu nimekuja kuuliza kama unaweza kununua hatalaini moja”.
Nilishindwa ata kumjibu nikakaa kimya kwanza, akauliza kaka vipi mbona kimya ghafla,
 Nikamwambia kwamba “ hivi unajua asala niliyo ipata hapa kwajili yako? Nimealibu vitu vya watu ndani ata sijui navilipaje mimi dah”
Yuke muuza laini za simu alipo ondoka,
 ndipo rafiki yangu mwenye kile chumba akawa amekuja, alipo ona vitu vyake vimealibika akasema,”kaka mbona unanialibia vitu vyangu hivi tatizo nini kwani jamani nimekukosea nini” akaanza kulia!
Nikambwambia nimeangusha bahati mbaya kaka sijafanya makusudi kabisa. Akaniambia ulipo kuja kuomba msaada kwangu ulisema mama yako wa kambo kakufanyia mambo  sana  ukatoroka kwake na ndo maana nikakuruhusu ukae hapa kwangu, ila sahvi sikuamini tena nahisi wewe ndiyo sio mwaminifu na wewe ndo mwalibifu ndiyo maana umefukuzwa ata kwenu,
nilimwambia kaka naomba unipe nafasi japo niongee, akasema nikupe nafasi ya nini wakati umeniharibia vitu vyangu ebu toka hapa, tena sikutaki kabisa kwangu,
 nikasema kaka nivumilie nitakulipa vitu vyako hivi karibun kaka.
Alisema unilipe nini wakati mtu mwenyewe kazi zako za kubahatisha, nikajaribu kumwambia nimepata kazi nzuri lakini inayo lipa kwa Yule mama ila  hakunielewa kabisa, akasema kwa hii tabia uliyo fanya ya kunialibia vitu vyangu makusudi sikutaki tena kwangu ni bora uondoke kabisa.
Niliamua kutoka kwake,  kisha mda huohuo nikampigia simu Yule mama alienipa namba ili niende kwake,
 kweli alinifata nikaenda nae mpaka kwake, ama kweli alikuwa na maisha mazuri yeye na mtoto wake wa kike.
Kipindi nipo sebreni natazama TV
Yule mama akamwambia binti yake  anionyeshe chumba changu cha kulala na kunizungusha maeneo ya pale nyumbani ili niwe msaidizi wa kazi na mazingila ya pale nyumbani.
Tulipo maliza kuzunguka, na mda wa lanchi ukawa umefika pia, ndipo tukarudi sebreni ili twende sehemu ya kupatia chakula.
Wakati tumekaa tunasubilia chakula kiletwe na dada wa kazi nilishangaa sana kumuona mama yangu wa kambo analeta chakula jamani.
Dooh Nilishtuka sana  kidogo nikimbie kutoka pale nyumbani, ,mtoto wa boss wangu akasema, “ mbona unaogopa tatizo nini kaka huyu ndiye mfanyakazi wetu wa ndani. ni mpole sana hana shida kabisa anaongea na kila mtu” mama wa kambo alijua lazima nitamuumbua palepale kuwa na mfahamu akaweka sura ya upole sana jamani ila mimi nilinyamaza kimya sikuongea chochote kwanza.
Nilikula chakula nikiwa na wasiwasi nikatamani ata kutoroka na kutoka kwenye ile nyumba,
mtoto wa bosi akasema, “ jamani  mimi ngoja nikalie chakula sebreni kuna kipindi kwenye tv nakifatilia”
hivyo Nikabaki na mama yangu wa kambo tu.
Nikamuuliza maswali mengi sana pale.
Hivi mama umekuja kuteketeza na hii familia kwa kujifanya mwema kama ulivyo fanya kwetu sio? Mama akaanza kulia, nikamuuliza tena, Na nyumba ya mama dani uliifanya yako je umemuacha nani kule?
Ndipo mama akasema kwamba naomba usimwambie mtu yoyote kama tunafahamiana mimi nimeacha kuishi maisha ya ubaya kama ya zamani sahivi mimi naishi vizuri tu sina shida na mtu yoyote. Na ile nyumba nimeiacha kama ilivyo maana usiku nilikuwa siwezi kulala sababu mizumu ilikuwa inanitesa sana hivyo nikaona bora niache tu kuishi kule,
Mama alipo sema kuwa mizimu inasumbua kule nikakata kabisa tama ya kwenda kule kwa mama dani maana ata mimi nilikuwa naogopa sana mizimu.
Tuliendelea kuishi tu vizuri kwa Yule mama pale nyumbani na nilifanya kazi zangu vizuri sana bila kuwa na kinyongo.
Kumbe baba yangu mzazi baada ya kuona hari inakuwa ngumu, hivyo akaamua kuanza kuomba misaada kwenye nyumba za watu ili aweze kupata japo pesa ya kula.
Hata hivyo Wengine waliokuwa na huruma walimsaidia pesa na wegine walio kuwa wachoyo walimtukana na kumzuia asije kuwasumbua tena kwao.
Siku moja baba alienda mpaka kwa mama dani kwenda kuomba msaada bila kujua kama ni kwa mama dani au bila kujua kama sisi watoto wake tuliisha wai kuishi pale kwa mama danieli.
Alipo fika aligonga geti la nje ila hakuna alikuja kufungua!
aligonga sana mpaka akaamua kuingia ndani mwenyewe.
Baba yangu alikuta magari mazuri, alishangaa sana pale nje alikuta uwanja mchafu sana kama haujafagiliwa siku nyingi,
 baba alienda mpaka mlango wa kuingia sebreni akagonga hakuna alie fungua baba akusita akaingia mpaka ndani pia ili aombe msaada maana alikuwa na njaa sana,
alipo ingia akakuta hamna mtu yoyote pia.
kumbe ulikuwa ni mzimu wa marehemu mama yangu unampeleka sehemu nzuri baba maana baba aliteseka vya kutosha na aliomba msamaa kaburini mwa mke wake na mama yake hivyo ule ndiyo ulikuwa msamaa kwake.
Baba alipo ona hakuna mtu ndani alitaka kuondoka na kuacha nyumba ya mama danieli ikae bila mtu, ila wazo zuri likamuijia kwamba abaki mpaka wenyewe waje.
akabaki palepale na alishangaa kuona inafika usiku mtu haji, wiki ikaisha mtu hajaja, mwezi ukakata akuna aliekuja.
 Ndipo baba akaanza kukagua nyumba
Mungu saidia akakuta funguo za gari na pesa nyingi sana chumbani mwa mama danieli, zilikuwa kama miliioni 200 pesa za kitanzania na pesa zingine za kigeni kama dola elfu mbili, ndipo maisha ya baba yakonyooka sana akaanza biashara zake na kuishi vizuri pia.
Usikose sehemu ya 63.
                       



                        

  SEHEMU YA 63.
Maisha ya baba yangu mzazi yalikuwa mazuri, Alipendeza na kurudi katika hari yake ya zamani. Kipindi nipo kule kazini mimi na mama yangu wa kambo, Hatukujua kabisa kama kule kwa mama daniel ndipo baba mzazi yupo. Na hakuna ata mtu mmoja alikuwa anawaza kwenda kupaona kule kwa mama dani. Siku moja usiku tukiwa wote tumelala yani mimi, bosi wangu na mwanae mida ya saa nane na nusu usiku, Tulishangaa sana kusikia  mtu analia akipiga mayohe kama anapigwa sana. Dooh ndipo tukaamka tukaenda nje kuangalia kunanini. Tulishangaa kumuona mama yangu wa kambo anajiviringisha chini kama anachapwa. Bosi wangu akauliza. Huyu katokaje ndani kuja nje? na mbona kama anachapwa jamani? na anae mchapa hatumuoni sisi! Mimi niliogopa sana kile kitu. bosi wangu akamuuliza mama yangu wa kambo swali kwamba "dada mbona unalia unapiga kelele tatizo nini" mama yangu wa kambo akajibu kuwa  "jamani nisaidieni napigwa na mizimu natweswa jamani" bosi akamuuliza "kwani umefikaje hapa nje wakati milango yote imefungwa kwa ndani" mama wa kambo akamwambia kuwa "nimebebwa kimzimu nisaidieni nachapwa mimi". Hama kweli alikuwa anatia sana huruma, kitendo kilicho nifanya mpaka nitoe machozi palepale. Tulikuwa hatuna jinsi ya kumsaidia ikabidi tukae tukimtazama jinsi anavyo teswa. Tulijaribu kumshikiria ili asijivute sana chini maana alikuwa anapiga sana kichwa chake chini na alikuwa anajisugua sugua chini mpaka akachubuka mwili mzima. Bosi akasema "kijana wangu mbona hili balaa kubwa sana nyumbani kwangu maana hivi vitu havijawai kujitokeza kwangu kabisa ndo mala ya kwanza " nilimwambia kuwa  "Bosi usijali labda ni mizimu ya nyumbani kwao, maana hii sio hari ya kawaida" Ilipo fika saa kumi alfajiri mzimu wa mama danieli ukawa umemuachia! ndipo mama akashtuka akishangaa akasema, "hee jamani bosi nimefikaje hapa, na mbona nimeumia hivi tatizo nini"  Kipindi mama anaamka kusimama nguo yake ikadondoka chini, aliona haibu sana pale maana tulikuwa tukimtazama na tulikuwa  tumeanza kumuogopa kabisa. Bosi wangu kile kitendo kilimkwaza sana, Hivyo akahisi ile mizimu inayo mtesa mama wa kambo inaweza tena kumtesa na yeye, hivyo basi, Bosi akamfata rafiki yake anaeitwa wastara. Bosi akamwambia "besti yangu uwezi amini, yani jana yalio nikuta nyumbani kwangu, nashindwa ata nianze vipi kukueleza" wastara akamwambia, usijali besti mimi tena we niambie tu anzia popote pale unapo pataka. Ndipo bosi akamwambia "yani jana pale kwangu yule dada msaidizi wangu wa kazi, alitolewa ndani na mizimu  bila milango kufunguliwa kisha akaanza kupiga makelele  sana kwa nje. Sasa nilivyo toka nje mimi na mwanangu pamoja na yule kijana wangu wa kazi unae msifiaga sana, tulishangaa kumuona anajiviringisha kama nyoka, Yani wastara shoga yangu  nashindwa ata nifanyeje maana ata nyumba yangu nimeisha iogopa nakosa amani" wastara akamwambia, "besti yangu mshukuru mungu kakuonyesha ili janga mapema, huyo dada hakufai nakwambia, yani mtoe hapo kwako mapema anaweza kukuletea matatizo makubwa, na mungu wako mkubwa sana". Bosi akamwambia kuwa "lakini wastara besti yangu yule dada anapika chakula kitamu sana na anafanya kazi kama mashine alafu sio mwizi hajawai kuniibia hata shilingi mia yangu nikisahau hela nakuta kanitunzia" ndipo wastara akamwambia kuwa  "tayari nimeisha kwambia mtoe kwako au kama unaweza mwambie akupeleke hadi nyumbani kwao upajue na wazazi wake au ndugu zake uwajue wakuelezee kuhusu yeye na wala sio kukaa nae kiholelaholela tu" bosi wangu akamwambia sawa rafiki yangu. Kumbe kule nyumbani mama yangu wa kambo alipo ona anateseka sana akaamua kurudi kwa wale wachawi akawambia "jamani wakuu mimi mmeniambia niache mali zote za mama dani. Sasa mbona bado mzimu wake unanifata na unanitesa sana" mkuu wa wachawi walimwambia kwamba " mzimu wa mama danieli umekufata tena sababu ya huyo mtoto wa mme wako alie lelewa na mama danieli, lakini huyo kijana akitoka hapo  mzimu haukufati tena" mama akawajibu "sawa nitajua cha kufanya"  mama alipo rudi nyumbani alianza kununa kila mda akisema "wewe ndiyo chanzo cha mimi kuteseka hivyo naomba uondoke uniache niishi kwa amani hapa". Sikuelewa kabisa yale maneno ya mama nikamuuliza kwamba, "sasa nikiondoka hapa nitaenda kuishi wapi mimi" mama wa kambo akasema "sitaki kujua mimi naomba uondoke tu au kama upo tayari tufanye mapenzi ili nisiteswe na mizimu mimi". Haaaa nilishituka sana jamani nikamuuliza kuwa mama kuwa "kumbe unataka kulala na mimi ili usiteswe, na hutaki kukaa hapa na mimi ili usiteswe sio, sasa kukaa hapa nitakaa na kufanya mapenzi ma wewe sifanyi". Mama wa kambo akasema "jamani mwanangu hivi unafurahia ninavyo teseka. Ebu angalia jinsi nilivyo umia." Nilikataa kabisa  kumsikiliza mama yangu wa kambo mambo yake anayo niambia. Dooh Sitasahau mama wa kambo jamani, maana alienda akamwambia bosi wangu kuwa "mimi natembea kimapenzi na binti yake". Bosi wangu alichukia  sana akasema "yani binti yangu natumia pesa nyingi sana kumsomesha alafu huyu kijana anataka kumualibia maisha" ila akasema siwezi kuamini mpaka nifanye uchunguzi. Siku moja usiku mtoto wa bosi akaja chumbani kwangu nimfundishe hesabu maana mimi nilikuwa najua sana hesabu, kuliko masomo yote, na hata kipindi sijaacha chuo nilikuwa nafauru sana hesabu, alikuja akasema "kaka nimekuja unifundishe hesabu kuna maswali magumu siyawezi alafu kesho nina mtihani". Kumbe wakati anaingia chumbani kwangu mama yake ambae ni bosi wangu akawa amemuona anaingia!  Ndipo Mama yangu wa kambo akamwambia kuwa, "bosi unaona binti yako anajifanya anaingia na madaftali kusoma kwa huyo kijana kumbe wanafanya mapenzi tu ndani, mimi nataka mwanao asome mfukuze uyo kijana mnusuru mwanao bosi". Bosi wangu alilia sana nje akasema yani huyu kijana nimemsaidia maisha yake kumbe mpuuzi kiasi hichi, yani ananialibia mwanangu tena ndani kwangu, siwezi kukubali. Wakati mama na bosi wapo mlangoni, mimi na mtoto wa bosi tulikuwa chumbani kwangu, nikamwambia yule binti kuwa "mdogo wangu unataka nikufundishe maswali gani", alinionyesha maswali kisha akasogea karibu yangu, wakati naanza kumuelekeza maswali bahati mbaya taa yangu ikapata shoti! Dooh ikawa imeungua! ndipo tukakaa gizani. Mama yangu wa kambo akasema bosi unaona wamezima taa sasa. Bosi Kusoma gani huko gizani jamani, yani hawa Wanafanya mapenzi tu, na wenyewe wanajua wote tumeisha lala hivyo wanajua hatujui. Wakati huo mimi chumbani nikamwambia yule binti "nazani taa imepigwa shoti itatubili twende sebuleni nikuelekeze maswali" mtoto wa bosi akasema "sawa kaka". Wakati bado sijaamka kwenda sebreni bosi akaja na mwiko wa ugali akanitwanga nao kichwani akasema yani nakusaidia kuishi kwangu kumbe ndiyo mnakaa karibu karibu na mwanangu mnafanya ushenzi ndani kwangu, bosi akasema "wewe mwanangu tabia hizi umeanza lini", bosi alichanganyikiwa maana alijazwa maneno ya uongo akasema "wewe kijana panga vitu vyako uondoke sikutaki hapa", nikamwambia bosi niruhusu niongee kidogo.  Bosi wangu, akasema "wee kaa kimya, mpumbavu sana wewe, Uongee kwani we mme wangu, ebu toka hapa sikutaki, dooh mtoto wa bosi akasema "mama usimfukuze hana kosa", mama yake akasema " mwanangu unabishana na mimi unanivua nguo sio?  ndipo nikaamua kuchukua nguo zangu kisha nikatoka usiku huohuo bila kujua nitalala wapi huku kichwa kikiwa kinaniuma sana maana alinipiga vibaya na mwiko, mama yangu wa kambo alifurahi sana ndipo nikaamua kutafuta japo sehemu ya kujiegesha mwili wangu ili asubui nitafute sehemu ya kuishi. wakati nimelala chini ya mti wakaja vijana wanne wakiwa wameshikilia silaa waliniambia niwape begi langu la nguo na simu, nikakataa ndipo mmoja akanipiga na panga mgongoni likanikata kiubapa ingawa sikufa ila niliumia sana, niliwaachia mali zote wakakimbia, Ilipo fika asubui. Bosi wangu akaenda kumuelezea rafiki yake wastara mambo yaliyo mkuta kwake, ila wastara alisikitika sana kusikia nimefukuzwa. akasema "usinge mfukuza maana hukuwa na uwakika, na yule kijana ni mchapa kazi sana, mtoto wako ungemchunguza kwanza. Sasa taa imezima wewe ukaamini. Sio vizuri ulicho fanya. Kwani wewe binti yako umuamini, wastara akamwambia tena huyo mfanyakazi wako wa ndani ndiyo mbaya sana mimi simuamini hata kidogo. Mama yangu wa kambo akahisi kuwa awezi kusumbuliwa tena na mizimu, dooh kumbe mzimu wa mama yangu mzazi ulichachamaa na ukakasilika sana ukamfata mama yangu wa kambo usiku huohuo kumtesa zaidi.
USIKOSE SEHEMU YA 64












                         

 SEHEMU YA 64.
Mama yangu wa kambo alihisi nikiondoka pale nyumbani basi ataendelea kuishi bila wasiwasi, kumbe mzimu wa mama yangu ulichukia kile kitendo alichonisingizia mpaka nikafukuzwa na bosi wangu nikaenda  kuteseka mitaani, tena chakushangaza nikafukuzwa nyakati za usiku nyumbani kitendo kilicho niliza maana nilikuwa sijafanya kosa mimi, mama yangu wa kambo aliendelea kusumbuka sana nyakati za usiku pia kwa kutokelewa na mzimu wa mama yangu mzazi tena mzimu ukiwa umevaa sanda yake nyeupe, hichi kitendo kilicho mkwazisha sana bosi pale nyumbani, maana mama wa kambo alikuwa ni mtu wa kupiga kelele usiku akiteswa na mama tu tena alikuwa  akijiviringisha kama nyoka uku akiongea maneno yasiyo eleweka kabisa yani, Mimi niliendelea kupata shida sana mtaani ila nashukuru mungu nilijitahidi kupambana mchana kutafuta pesa ya kula tu, na mungu saidia nikapata sehemu ya kulala usiku, ambapo ni kwenye magari ya daradara yalipokuwa yanapaki nyakati za usiku mimibaada ya shughuri zangu za mchana nilikuwa nikilala ndani ya gari na nilikuwa nikiamka saa 10 alfajiri kuendelea na kazi zangu ndogondogo tu. Baada ya mama wa kambo kuona nimetoka pale na matatizo yake ndiyo yakawa yanazidi kuongezeka, akaona ni bora akawambie wale washirikina wenzake ili wamsaidie maana alikuwa kaisha choka yale maisha sana, ikafika hatua akatamani kufa kabisa, na kweli maana alikuwa anakonda tu yani, yeye baada ya kunenepa anapungua. Washirikina Wenzake walimwambia kuwa "tunajua tulikwambia kuwa yule kijana aondoke na aliondoka sawa, lakini bahati mbaya alipigwa na panga mgongoni alivto toka pale kwa bosi wake, hivyo damu zikamtoka, ndiyo maana mzimu wa mama yake umechachamaaa na umekasilika sana maana uchungu wa mwana aujuae mzazi, na siku zote hii mizimu uwa inanguvu sana kutushinda sisi, sasa unatakiwa kufanya kafara moja kubwa sana itakayo nusuru maisha yako yote na hautakuja kuteseka tena kamwe" mama akawauliza "kafara gani tena?" wakamjibu kuwa "unapaswa uondoe uhai wa bosi wako maana damu yake ikidondoka tu basi mizimu yetu itakulinda kama mfalme" mama yangu wa kambo hakuamini ujue akasema "yani hawa wachache tu nilio waua wananitesa hivi je akiongeza mwingine nikaua si nitateseka sana na mizimu yao " dooh walimwambia kuwa  "kama uwezi kumuua acha lakini ukifanya hivyo utakuwa safi na utakuwa na amani kama sisi" dah mama yangu wa kambo akauliza "sasa naanzaje kumuua huyu bosi wangu jamani wakati ananisaidia na ananipenda sana isitoshe nimeishi nae vizuri na ananisikiliza sana mimi" walimwambia "usipo muua huyo utateseka maisha yako yote ya usiku na unatakiwa kufanya hivyo mapema kabla nyota yake haija mfungulia nuru ya kuhisi kuna baya lolote mbele yake" ndipo mama yangu wa kambo akaambiwa "unatakiwa kwenda chumbani kwa bosi wako mida ya saa tisa usiku, akiwa amelala sana, bila kuona wala kusikia chochote, kisha chukua nguo yake ya ndani yenye langi nyeusi alafu tuletee sisi tutajua cha kufanya" mama akashtuka akasema "jamani nguo ya ndani naona itakuwa ngumu maana mtamuua vibaya jamani nampenda yule bosi amenisaidia sana mimi" walimwambia kuwa "kafara nzuri nikwa mtu unae mpenda ndiyo yapaswa kumtoa kafara" mama yangu wa kambo hakuwa na jinsi aliamua kukubali tu maana hakuwa na cha kujitetea, ilipo fika saa tisa usiku akaenda kwa kunyatia  polepole ili aingie chumbani kwa bosi wake, alipo chungulia mlangoni bosi wake akamkuta bosi anaongea bado na simu usiku! dah mama wa kambo akachukia kweli siku hiyo, kesho yake akafanya hivyo hivyo akaenda chumbani kwa bosi wake, tena  ileile mida ya saa tisa usiku. Alipo chungulia akakuta bosi wake amelala sana jamani akasukuma mlango wake polepole kisha akaingia akinyata taratibu ili akachukue ile nguo ya ndani nyeusi ya bosi wake kama alivyo ambiwa  apeleke waweze kumtoa bosi kafara. Kipindi ameingia ndani anafungua kabati alisikia mtu anakuja kumbe alikuwa ni mtoto wa yule mama anakuja kwa mama yake kuazima computer aina ya laptop ili aka andike kazi zake za shuleni. Kipindi mama wa kambo kaisha ishika ile nguo ya ndani ya yule bosi wake mlango ukafunguliwa! dooh yule dada alipo fungua kabla hajaingia ndani vizuri kumfuma mama  akasikia  simu yake inaitia chumbani kwake akaacha kuingia ndani akarudi chumbani kwake kuipokea simu yake, ndipo mda huohuo mama yangu akatoka ameishika nguo ya bosi wake akiwa anataka kuipeleka kwa wale washirikina wenzake. Kulipo kucha yule bosi alikuwa amepanga kuvaa ileile nguo ya ndani lakini alishangaa hakuiona sehemu aliyo iweka ila akaachana nayo akihisi labda nguo zimechanganyikana humo ndani, ndipo mama yangu wa kambo akapeleka ile nguo mpaka sehemu usika ya wachawi. Kweli walianza kumfanyia vitu vya ajabu bosi kwa kutumia ile nguo yake jamani, bosi wangu alianza kupata hedhi isiyo kuwa na kikomo, mda mwingine tumbo lilimuuma sana ndani akawa analia kama mtoto mchanga kabisa, bosi akaamua kuacha kazi zake kwanza ili atazame afya yake itakuwaje, binti yake alikuwa analia sana pia maana mama yake aliacha  kazi sababu ya ugonjwa, maana tumbo lilikuwa linamuua kiasi ambacho alikuwa anashindwa kulielezea masikini. Ilifika hatua ikabidi amwambie yule rafiki yake wastara kuhusu tatizo lake dooh wastara aliumia sana maana walikuwa wanapendana sana, ikabidi bosi apelekwe hospital ili waangalie tatizo lake nini, wataharamu walishindwa kuutambua ugonjwa kabisa, dooh bosi aliogopa sana na alikuwa analia sana hali yake ilizidi kuwa mbaya zaidi alikaa siku saba  bila kula alafu akawa mzito sana kama jiwe yani kumnyanyua ni ngumu sana na ngozi yake ikawa laini kama vile nyoka. Wastara alilia sana tena alilia kama mtoto maana mtu wake wa karibu alikuwa ni yule bosi na ndiye alikuwa shoga yake wa karibu, hivyo alikosa sana raha masikini.baada siku tisa tangu alazwe hospitali wastara akaona kwamba akizubaa anampoteza rafiki yake maana tayari alikuwa kaisha anza kulishwa kwa milija, na bosi alikiwa aongei zaidi ya kufumbua macho kwanguvu sana akikodoa mpaka anatisha jamani. Kumbe hivyo vyote vilikuwa ni viini macho tu yani kumbe bosi ameisha chukuliwa na mizimu na wachawi wasubilia tu kumla nyama yake siku ya ijumaa. Ilipo fika alhamisi kabla ya ijumaa ili bosi aliwe nyama yake. Wastara aliota usiku kuwa bosi atakuwa amelogwa na wachawi maana ule ugongwa haukuwa wa kawaida, wastara alijiuliza maswali mengi kichwani kwamba, Hivi rafiki yangu atakuwa kachezewa na wafanyakazi wenzake ili afilisike au? Au majirani zake watakuwa wanamuonea wivu? Au ni huyu mfanyakazi wake? maana namuhisi vibaya sana huyo mtu! Wastara akasema lazima ninusuru maisha ya rafiki yangu "siwezi kumuacha afariki nikimtazama" wastara aliyasema maneno haya akiwa anatokwa na machozi masikini. Ndipo wastara akaamua kutafuta viongozi wa kidini ili wamfanyie maombi rafiki yake. Siku hiyo wakati anafanyiwa maombi ilikuwa ni alihamisi na ijumaa yake wastara angechelewa ndiyo alikuwa analiwa nyama yake. Bosi Alifanyiwa maombi sana, wastara alifunga, hakula chakula siku hiyo kwajili ya kumuomba mungu asaidie shoga yake apone. Maombi yalifanyika sana siku hiyo kipindi inafika jioni wakati wamefanya maombi sana bila kuona mafanikio walishangaa kuona, ghafla bosi anaamka akilitaja jina la rafiki yake  akisema, 'wastara" na alilisema lile jina kwa unyonge sana maana alikuwa ananjaa.wale viongozi wa dini walisema kwamba chanzo kilikuwa ni nguo yake ya ndani na ilikuwa imebaki siku moja aliwe nyama yake. Hivyo wewe dada wastara usinge muhusisha mungu kwenye hili swala basi ungempoteza mwenzako. Wastara akawauliza sasa nguo yake ya ndani alifanyajefanyaje. Walimjibu kuwa mfanyakazi wake wa ndani ndiye alie chukua ile nguo akawapelekea wale wachawi ili huyu bosi wake afe kusudi mizimu ya watu alio waondoa maisha isimtese. Wastara alimwambia bosi unaona sasa nilikwambia hakufai huyu binti ukamgombania sana,tazama alichofanya yani kidogo ufe
tusinge kuona tena jamani" mama yangu wa kambo baada ya kugundulika dooh ndipo....

USIKOSE SEHEMU YA 65
                      















 SEHEMU YA 65.
Mama wa kambo alipo gundulika kuwa alifanya mambo ya kishirikina kutaka kuondoa uhai wa bosi wake, kwa kuiba nguo ya ndani ya bosi wake yenye rangi nyeusi ili kumpandikizia kichawi magonjwa bosi wake, badae afe na mwili wake ubebwe kimizimu! Ndipo  Mama wa kambo aliamua kutoroka nyumbani maana alijua bosi wake kaisha mjua hivyo anaweza kumfanyia kitu kibaya sana. Bosi biashara zake ziliyumba sana maana alilazwa kwa mda mrefu na mambo yake ya kikazi pia yaka kwama, ila alijipanga upya na akafanya kazi zake zikapendeza zaidi, Bosi alimshukuru sana wastara akamwambia kuwa "kweli wewe ndiye rafiki wa kweli maana umeokoa maisha yangu sana" Na akamnunulia zawadi ya gari ishara ya furaha kuwa kamkomboa maisha yake. Mama wa kambo kipindi yupo mtaani hana mbele wala nyuma, hajui atakula nini na atakaa wapi jamani alianza kulia sana akisema "nilipata nafasi nzuri kwa bosi wangu nimeichezea kwa roho yangu mbaya hii, sijui nakaa wapi tena mimi" alishinda pale chini ya gogo akiwaza maana hakujua atalala wapi, ataoga wapi, na sehemu ya kula hakuwa nayo maana ata nguo aliziacha kwa bosi wake na ata mshahara hakuuchukua maana alikuwa akitunziwa na bosi wake miezi yote tangu aanze kazi, hivyo mama alikaa na njaa sana hajui afanye vipi, Mdogo wangu wa kike alikuwa akifanya vizuri katika masomo yake ya shuleni sanasana katika masomo ya sayansi hivyo baada ya kufauru akawa amechaguliwa kwenda kusomea udakitari maana alikuwa ana ufauru mzuri kabisa. Mimi kipindi nimetoka kwa bosi, nilipigwa kwa makosa ambayo si yangu, nilifukuzwa usiku kama mwizi na niliumizwa na panga mgongoni pia na vibaka. Ila niliamua kujiusisha na kazi za vibarua, nilikuwa nafanya kazi sana za kuchanganya zege na kubeba mawe, na kila ilipo fika jioni tulikuwa tunalipwa pesa na matajiri wetu. Nilimpata rafiki mmoja tukachanga pesa zetu za miangaiko yetu ya kila siku ndipo tukawa tumepanga chumba chetu tukanunua vitu kidogo vya ndani, maana nilikuwa nalala palepale kwenye mijengo tuliyo kuwa tukiijenga yani nakuwa kama mlinzi wa saiti. Kipindi tumepanga tuliishi kwa amani na upendo mimi na rafiki yangu, siku moja rafiki yangu akapata kazi kutoka kwa dada mmoja rafiki yake, alie kuwa anaitaji kujengewa nyumba kwajili ya kupangisha. Baada ya kupata ile kazi kutoka kwa yule dada ndipo tukaanza kishugulika pamoja na mafundi maana sisi ndiyo tulikiwa vibarua vyao kuakikisha tunasaidia kuchanganya zege na kusogeza mawe. Lakini tulishangaa sana kila tulipo kuwa tukifanya kazi yule dada mwenye nyumba akawa anatuzungusha tu akisema "nyie wasaidieni mafundi wangu kujenga kesho nitawapatia pesa" tuliendelea kumfanyia kazi zake mpaka deni likafika laki moja na nusu. Nikamuuliza mwenzangu "hivi mbona hii kazi tunafanya vizuri lakini hatulipwi maana tangu nianze kufanya hii kazi siingizi chochote bali natumia tu pesa zangu" mwenzangu akasema "nitafatilia hili swala maana huyu dada anatuzungusha sana" tuliishi pamoja mimi na rafiki yangu na tulipendana sana maana tulikuwa tunaelewana  na alikuwa akieshimu watu wa kila lika vilevile alikuwa akienda kumuomba mungu siku za dini ndiyo maana alikuwa akiaminika sana na alipata kazi nyingi kutokana na uchapakazi wake. Siku moja usiku mida ya saa sita nikiwa nimelala rafiki yangu aliamka polepole akavaa nguo zake bila kuniaga kisha akaenda mpaka kwa yule dada tunae mdai pesa tulie usika kujenga nyumba yake. Alipo fika akaingia mpaka chumbani kwake kwasababu yule dada alikuwa anamuamini akamkalibisha tu ila akamuuliza "kwanini umekuja sahivi?" Alimjibu kuwa amefata pesa zake, yule dada akasema "sahivi sina pesa subili mambo yangu yakikaa sawa nitakulipa rafiki yangu" rafiki yangu ninae kaa nae alikasilika sana akasema "umetuzungusha sana we dada wakati pesa unazo", Ndipo akamkaba yule dada shingo tena sana masikini, dada akajitahid kupambana ila akaishiwa nguvu kabisa ndipo rafiki akamniga usiku uleule wakiwepo wawili tu ndani! mpaka dada wawatu akaanguka chini na akapoteza maisha yake. Rafiki yangu baada ya kumuua akapakia vitu vya thamani vya yule dada kwenye mabegi kisha akampigia boda boda anae mfahamu simu kwa kutumia simu ya yule dada aliefariki maana rafiki yangu yake ilikuwa haina salio kabisa. Boda boda alipo fika! rafiki yangu akamfungia yule marehemu chumbani tena na kufuri kubwa sana kwa ndani kisha yeye akatoroka bila hata kuniambia anapo enda. Baada ya siku kadhaa kupita nikiwa namuulizia rafiki yangu yuko wapi mpaka nikakata tamaa nikajua labda kanitoroka au kauwawa. Ndugu zake yule dada walipo kuja kumtembelea ndugu yao hawakumkuta! walipo piga simu yake hakupatikana lakini cha kushangaza pale mlangoni kwake kulikuwa na kufuli kubwa tu ila kulikuwa na harufu kali sana kutoka chumbani kwa yule dada. Ndipo wakabomoa mlango wake kuangalia nini kinanuka walisikitika kukuta ndugu yao amekufa, walilia sana maana ndiye aliekuwa tegemezi kibaya zaidi nzi zilikuwa  zimemkusanyikia marehemu na akawa anatoa harufu kali sana ya kuoza. Walijaribu kufanya utafiti kuangalia nani amemuuwa alikosekana ndipo wakachukua laini ya simu yake kuangalia simu ya mwisho kupigwa na kupigiwa kwenye namba ya marehemu. ndipo wakamtafuta yule bodaboda ili awaelezee ilikuwaje marehemu akampigia usiku wa saa tisa na wanampango gani na marehemu. Yule boda boda alisema ukweli kuwa yule rafiki yangu ndiye alie mpigia kwa ile namba ya marehemu hiyo mida  na boda boda akasema alikuja wakabeba vitu vya thamani kisha wakapeleka mtaa mwingine. Akasema rafiki yangu alimdanganya anapeleka mzigo ya yule dada eti kuwa anasafiri. Ndugu wa marehemu na polisi wakaja kunikamata mimi ili niwambie rafiki yangu yuko wapi niliwambia "jamani ndugu zangu msinipige mimi mwenyewe sijui maana  katoroka hapa, sijui yuko wapi" walinipiga sana mateke, ngumi na viwiko vya kutosha niseme ukweli, nilishindwa niseme nini maana  sikuwa nafahamu ukweli wowote ule. Walisema nyie wauwaji sana na mtakuwa mmeisha uwa watu wengi sana huku maana kuna kesi nyingi za mauwaji  kituoni. Ndugu wa marehemu walionga pesa kwa mapolisi ndipo Walinikamata wakisema nimeua pia, ndipo nikafungwa kifungo cha miaka 45 jela. Kipindi nasafilishwa kuamishwa mkoa wa (kalamoja) ili nikakitumikie kifungo changu. Tulipo kuwa safarini wafungwa wote tunaelekea mkoani kutumikia vifungo mfungwa mmoja aliomba kwenda kujisaidia haja ndogo, na mimi pia nikaomba nishuke chini ya gari ili nikajisaidie haja ndogo pia. Wakati nimeshuka nikampiga polisi kichwani na zile pingu! Akaanguka kisha nikakimbia mwendo wenye kasi sana. Baadhi ya polisi wakajaribu kunitafuta ila kipindi hicho nilikuwa  nimeisha kimbia mbali sana kuwashinda wao. Nilipo fika mtaa mmoja nikaenda kwenye nyumba ya bibi mmoja hivi alikuwa anamenya ndizi nikamuomba nijifiche kwake, akasema "kwanini ujifiche mjuu wangu"  nikamwambia "natafutwa na watu wabaya" alikubali pia ndipo nikajificha palepale. Yule bibi alikuwa na kijana wake mmoja, kumbe yule kijana alikuwa jambazi sugu sana , nilipo msimulia story zangu zote nikamuelezea nilivyo watoroka wale maasikari akasema "wewe ni mwanaume sana nimekupenda, sasa kuna kazi nzuri yenye pesa nataka nikutafutie". Kweli alitafutia kazi lakini ile kazi yenyewe ilikuwa ni ujambazi ya kuuwa na kupola mali zote bila kuogopa. Niliamua kukubali maana maisha yalikuwa yameisha nipiga sana, Nilipo fika kwa jambazi mkuu alinipa pisto akasema usiogope kazi fanya kazi. Nilitetemeka kuishikilia ile pisto lakini sikuwa na jinsi nikaamua kukubaliana nae. Siku moja yule jambazi mkuu akatwambia "kuna baba mmoja ni rafiki yangu sana, nilisha fanya nae kazi zamani kidogo mgodini, lakini hivi sasa amebahatika sana kupata pesa nyingi, jumatano ataenda kununua kiwanja sasa basi, atakuwa na pesa nyingi hivyo naomba mjipange mwende kumpola zile pesa na muondoe maisha yake pia" baada ya bosi kutupa maagizo akasema kwamba mimi ndiyo nitaongoza kikosi na mimi ndiye natakiwa kumuangamiza huyo baba. Tulijiandaa tukavaa masiki kuficha nyuso zetu ili tukafanye mauwaji. Tulipo fika tukalizunguka gari la yule baba ndipo yule baba akatoka nje ya gari akiwa amenyanyua mikono juu akisema "msiniue chukueni pesa jamani" kipindi mwenzangu amechukua zile pesa ndipo mimi nikataka kumuuwa lakini mikono ilikuwa inasita sana, wenzangu wakasema muue tuondoke tutakamatwa! palepale kipindi yule baba anageuza sura yake machoni mwangu akiomba msamaa tusimuuwe wakati nataka kufyatua risasi nilishangaa sana kumtazama maana alikuwa ni baba yangu mzazi dooh.
Usikose sehemu ya 66

                  
                    











  SEHEMU YA 66.
Nilipo gundua kuwa nataka kumuua baba yangu mzazi tena kwa mikono yangu mwenyewe, nafsi ilinisuta sana na pia nikaishiwa nguvu kabisa mikononi mwangu, na nikashangaa sana jamani! eti baba kazitoa wapi hizo mali zote? mpaka anavamiwa na majambazi sugu kama sisi! Nilitamani kumuita "Baba" ni mimi mwanao, nimekuwa nakutafuta siku nyingi! lakini nikajikaza sana kutoka moyoni. Na nilifurahi sana kumuona baba maana ilikuwa imepita mda mrefu na miaka mingi sana bila kumuona baba yangu mzazi jamani. Mtu mmoja akasema, "bosi amesema tuondoe uhai wake muuwe uyo mtu maana umeambiwa wewe kuuwa! alafu hakuna haja ya kumuacha sababu hadhabu itatuangukia tena sisi" nikamwambia kuwa, "jamani muacheni huyo baba namjua" walisema "tunapokuwa kazini tukiagizwa kuuwa tunaua hakuna cha kusema namjua" kweli yule jambazi mwenzangu alichomoa pisto yake akaikoki kisha akamtageti baba yangu mzazi nikiwa natazama kwa macho yangu akitaka kumfyatulia risasi! Dooh Mimi uvumilivu ulinishinda wakati anataka tu kumuua! nikasema siwezi kukubali mimi mtu akafa mbele ya macho yangu, nilijirusha kujikinga mbele ya baba ili nife mimi. Kweli alipo mfyatua risasi ilinipata mwilini mwangu. Wenzangu wakaogopa wakajua wameisha niua. Lakini risasi ilinipata begani tu. Baba alikuwa bado hajanigundua mimi ni nani! baada ya wenzangu kuondoka ndipo akaja kunivua masiki usoni ili anitazame machoni mwangu. Dooh kweli baba hakuamini kama ni mimi kabisa, maana alinitafuta kwa mda mrefu sana bila mafanikio. Ndipo baba  akanipeleka hospitali haraka haraka ili niweze kutibiwa.  Ila kipindi nipo hospitali damu yangu ilkuwa imemwagika sana hivyo nikapungukiwa damu kabisa mwilini! na pale hospitali kulikuwa hakuna damu hata kidogo siku hiyo, hivyo ikabidi baba ajitolee damu yake ndipo nikaongezewa "damu ya baba" ila hali yangu ilikuwa bado si nzuri kabisa maana sumu ya ile ya risasi ilikuwa inatembea mwilini mwangu kwa kasi sana na kile kidonda kikawa na muonekano wa ajabu sana kilicho niogopesha kwa mda mrefu,  baada ya manesi kuona hali yangu inaendelea kuwa ngumu, wakabidi wamuite daktali mkuu aje kunitazama maana baba yangu mzazi alikuwa tayari analia sana akijua lazima nipoteze maisha kwa sababu mkono ulianza kuharibika kidogokidogo, na mimi nilikuwa sina nguvu kabisa mwilini na sikuwa ata na hamu ya kula wala kulala wala kusimama ata kukaa pia. Daktali mkuu alivyo kuja mimi nilikuwa nimelala nimegeukia upande wa kulia nikiwa nakuema sana sina nguvu , aliingia ndani akasema mgonjwa ebu geuka nione hicho kidonda. Wakati nageuka kumtazama huyo daktali, sikuamini macho yangu jamani yani daktari mkuu wa ile hospitali alikuwa ni mdogo wangu wa kike. Nilishangaa nikapata nguvu ghafla nikamuuliza.  "ndugu yangu wewe si ulikuwa unapenda kusomea mambo ya uasibu, siamini macho yangu kuona umekuwa daktali na kwanini ulinitoroka miaka yote hiyo". Mdogo wangu alilia sana akasema "nimefurahi sana kukuona leo kaka yangu mama wa kambo alinifanya nitoke nyumbanj maana alitaka kuniua na alinichoma na maji usoni ndiyo maana nilimtoroka" ndipo nikamwambia mdogo wangu kwamba "huyo baba pembeni yako ni baba yangu mzazi na yeye tumekutana katika mazingira ya kushangaza". Nilipata nguvu sana nikaamka kitandani. Ndipo dada akasema. "usijali mimi dada yako daktali nitakuuguzia nyumbani maana kukaa sana hospitali sio vizuri kaka" wakati tunaondoka kutoka hospitali baba mzazi akasema jamani naomba niwapeleke nyumbanj kwangu na huyu mgonjwa pia umtibie kwangu kabisa. Ndipo tukaenda kwa baba. lakini tulishangaa sana mimi na mdogo wangu maana njia tulizo kuwa tunapita tulikuwa tunazijua sana, Cha kushangaza zaidi tulishangaa kumuona baba anaingiza gari  kwenye nyumba ya mama danieli akisema ni hapa ndiyo kwake. Dah tulipo ingia ndani mimi nilishtuka sana. Mdogo wangu akaanza kulia sana. Baba akauliza "jamani mbona hamna furaha, nilihisi mkipajua kwangu utafurahi kijana wangu pamoja na wewe mtoto wa mke wangu. Nikamwambia baba "hii nyumba unayo ishi ndiyo nimeishi hapa tangu niko mdogo sana, na mama mwenye nyumba alikuwa anaitwa mama danieli. Sisi tulikimbia hii nyumba baada ya mke wako kuja hapa maana ndiye alie muua mama danieli mwenye hii nyumba. Mdogo wangu wa kike akasema ata mimi kidogo nife ila mungu saidia nikapona. Baba akasema mimi nilikuwa na maisha magumu sana mwanangu nilikuwa ombaomba na nilikuwa naingia kila nyumba nikikuta watu nawaomba msaada ili nile pia. lakini nakumbuka nilipo fika kwenye hii nyumba sikukuta mtu ata mmoja! Yani nilijikuta napata moyo wa kuingia ndani na kuanza kumsubili mwenye hii nyumba aje. Sasa nashangaa sana kusikia kwamba tayari alishakufa na nyie mmekulia hapa! kwani yeye alikuwa hana ndugu ata mmoja jamani wa kumrithi, nilimjibu baba nikasema "alikuwa hana ndugu na mama yake alikuwa mzee sana kijijini hivyo asingeweza kufatilia hizi pesa ata hivyo alikufa kichawi hivyo mali zikapotelea hovyo. Baba aliniomba msamaa kwa mabaya yote aliyo nitendea akasema sio mimi mwanangu yote hayo mama yako wa kambo alisababisha kwa kuniloga mimi ili niwakatae wewe na marehemu mama yako. Sikuwa na jinsi nilimsamee baba, na mdogo wangu wa kike akasema bila wewe kuachana na mama labda mimi nisinge zaliwa! Lakini naumia sana baba yangu mzazi sijamuona maana mama alisema kuwa alibakwa na vijana kama saba tena hasio wafahamu ndipo mimi nikazaliwa. Yani Natamani kama hao vijana mama angekuwa anawafahamu ninge waita mmoja baada ya mmoja tupime (DNA) ili niweze kumfahamu baba au ningeangalia ata ninae fanana nae ili nimjue baba yangu mzazi ni nani mimi. Tuliamua kusameana wote na tukawa familia moja ingawa mdogo wangu alikuwa na kwake lakini alijitahid kila ndani ya week anakuja kukaa na sisi pia. Siku moja nikiwa tayari nimeisha pona niko vizuri sana nikakutana na mkuu wa wale majambazi akiwa na wenzake. Walinikamata wakitaka kuniua. Ila nilimuelezea jambazi mkuu kuwa yule ni baba mzazi na nilipotezana nae miaka mingi sana hivyo nisingeweza kumuua, alinisamee nakusema kwamba "usitoboe siri yetu". Baada ya mama wa kambo kuona anateseka sana,akafikilia sana kisha akasema "ni bora nirudi kwa mama danieli maana najua hakuna mtu anaishi pale". Hakujua kuwa tayari kuwa mme wake yupo pale pamoja na mimi na vilevile mdogo wangu wa kike. Mama alipo kuja kwanza alishangaa kukuta mfungua geti! Mama akamuuliza wewe nani kakuleta nyumbani kwangu. Yule mlinzi akasema "baba mwenye nyumba yupo ndani, tena yupo na wanae wote leo! kumbe wewe ndiye mama watoto karibu ndani yani tena mama afadhali nimekujua, maana nilikuwa najiuliza sana hili swali, kwamba baba  watoto yupo watoto pia wapo! mama je yuko wapi? Karibu sana mama". Mama wa kambo alishituka sana pale nje akasema "hii nyumba ni yangu huyo baba na watoto siwajui mimi ebu ngoja niingine ndani". Kweli mama  wa kambo alikuja mpaka ndani masikini, maana milango yote alikuwa anaifahamu vizuri tu. Kipindi yeye anaingia na sisi tulikuwa hapohapo sebreni. Tulishangaa mlango unafunguliwa bila hodi! Mama wa kambo akaingia tu, kipindi anaingia akashangaa kumuona mme wake sebreni, akashangaa kumuona mdogo wangu wa kike alietaka kumuua! akashangaa kuniona na mimi pale alinifukuzisha kwa bosi dooh, ndipo mama wa kambo akaanza kulia akisema "mme wangu nisamee mimi, najua nilifanya kosa kubwa jamani kukuhalibia ndoto zako mme wangu, kukupa mateso makali na pia kutoka nje ya mahusiano! nihurumie mme wangu jamani angalia machozi yangu hii yote nikukuonyesha dhahili kuwa siwezi kurudia, tuanze ukurasa mpya wa mapenzi yetu siwezi kurudia maovu yangu tena, nisamee pia kwa kukufanya umkane mkeo mjane asie na ndugu, na kumsingizia mtoto wako ili uweze kumtelekeza nisamee".
Mama wa kambo hakuchoka aliendelea kuomba msamaa akisema "nisamee sana mme wangu nilifanya makosa makubwa ata yasio semeka mbele za watoto wako". Baada ya baba kuambiwa hivyo machozi yalimtoka sana pale sebreni. Mama wa kambo  akaniambia pia na mimi, kuwa "nisamee kijana wangu najua nimekukosea vitu vingi sana jamani! nimekuwa nikikutaka kimapenzi sababu ya tamaa ya mali za marehemu mama dani, nimekusababishia matatizo kwa bosi wetu mpaka ukafukuzwa kazi na kuteseka kipindi chote kile najua nimekufanya uteseke tangu ukiwa mdogo  kwenye malezi yako sanasana kukunyima chakula kipindi upo mdogo nisamee maana nimekufanyia mabaya mengi sana mpaka naona aibu. Nilianza kulia pia kama baba maana mama wa kambo alinikumbusha machungu yote ya nyuma. Mama wa kambo alimuomba pia mdogo wangu wa kike msamaa, akisema nilikuwa nataka kukuondoa uhai wako maana nilitega dawa chini ya godoro chumbani mwako nikakumwagia maji ya moto usoni kupunguza shida ya mizimu isinitese ila nisamee jamani. Mdogo wangu alilia kama mtoto mdogo akasema "wewe ni mbaya sana tukikusamee utatualibia maisha yetu tena, ondoka hapa". Baba mzazi akasema we mwanamke nakuchukia sana, nakuona kama kichefuchefu yani kama takataka, nakuona kama shetani aliekosa roho ya ubinadamu ata kidogo naomba utoke hapa hatukutaki. Mama wa kambo alilia sana akiniambia  nimuombee msamaa kwa baba na mdogo wangu maana alisema anateseka maana analala nje, hali chakula, analala kwenye baridi, anabakwa na walevi na wahuni usiku,  dooh wakati nataka kuanza kumtetea tu mizimu miwili ikafika wa mama dani pamoja na mama mzazi! Ilikuja na upepo mkali sana ndani na mwanga wa ghafla  mizimu ikasema "msimruhusu huyo shetani akae hapa, atawaharibia maisha yenu, tena mtateseka sana, maana alisaidiwa mala nyingi hakusaidika". Mama wa kambo akalia sana akisema nisameeni najua nimewakosea wote. Nimekuchulia mme wako jamani nikakufanya kama jalala, na mama dani najua nilikuua kumiliki mali zako jamani nisamee nishetani sio mimi!  Mama dani akasema siwezi kumuacha kwangu maana amenitoa uhai bila kosa. Pale pale tukiwa tunatazama ndipo mama wa kambo alibebwa na mizimu. akapelekwa kuzimu ili apate mateso. Mama wa kambo alipelekwa akaanza kulishwa vyakula vya ajabu aliteseka maana alikuwa akitembea peku juani na kwenye miba pia maisha yake yalikuwa ya shida sana masikini aliisha sana yani akapungua sana mwili wake. Baada ya miaka mitatu watu tukiwa tumemsahau ndipo mizimu ikawa imemrudisha mama duniani lakini mama alitupwa kwenye msitu mkubwa sana wenye miti mikubwa sana na wanyama wenye asila kali. kipindi mama wa kambo yupo msituni alishindwa aende wapi na alishindwa apite njia gani ili atoke mule msituni. Bahati mbaya pia alikuwa hana nguo katika mwili wake. Ndipo mama wa kambo akaamua kutembea polepole kutafuta sehemu ya kutoka mule msituni. Wakati mama anakatiza akakutana na mnyama mkali sana anataka kummeza mama aliogopa akapiga kelele sana akiwa analia,  ndipo akaanza kukimbia ili asife. Mama aliteseka sana maana alikuwa hana chochote miguuni na alikuwa anakimbia sana miti na miba hivyo damu zilikuwa zinamtoka sana. Mama alijutia sana dhambi zake. Ndipo mama akapata sehemu ya kijificha lakini aliwashwa na majani ya washa washa maana ndimo alijificha ndani yake. Wakati amewashwa sana mama akaamua kutoka nje ya kichaka maana alishindwa kuvumilia kuwashwa, ndipo akaendelea kukimbizwa na yule mnyama mule msituni. Wakati mama anaendelea kukimbia akakutana na watu, kumbe wale watu walikuwa wamekuja kukata miti kwahajili ya mbao. Ndipo mama Akawaomba  msaada akisema mimi ni mtu mwema naomba mnisaidie jamani nimejikuta msituni. Wale vijana wakamlazimisha mama kufanya nae mapenzi ndiyo wamsaidie, mama alikataa akaanza kulia akisema jamani nimechoka sana alafu sina nguvu msinifanyie kitendo kibaya, dooh kibaya zaidi wote watatu walitaka kumtumia mama kwa mda uleule. Mama alikataa wakasema "sawa kama hutaki" wakawasha gari lao wakitaka kumuacha mule msituni, mama aliamua kukubali ndipo akafanyiwa huo unyanyasaji kwenye gari la mbao, mama wa kambo alilia sana akasema "najutia ubaya wangu wote nilio tendea watu. Baada ya kufanya  lile tendo Ndipo wakamsaidia na kumuhifadhi ili warudi nae mjini. Mama alirudi mjini akiwa amechakaa sana hana mbele wala nyuma amekonda sana maana alikuwa analishwa maji na unga tu kule kuzimu. Mama wa kambo aliogopa kurudi kule nyumbani kwa mama dani. Sisi tulikuwa tayari tumeisha msahau kabisa mama wa kambo tulijua kaisha kufa. Mdogo wangu alipata mchumba wa kumuoa. Na  mdogo wangu alikuwa anampenda sana mpenzi wake hivyo kwa bahati mbaya kabla hajamtambulisha mchumba wake kwetu. Mdogo wangu akawa ameisha pata ujauzito wake. Baada ya sisi kuona mabadiliko kwenye mwili wake tukaamua kumuita ili tumjue mwenye ule ujauzito. tulishangaa sana mimi na baba maana alie mpa mimba mdogo wangu alikuwa ni kaka ake na mama yangu wa kambo   aliekuwa mchawi na ndiye alikuwa anampeleka mama wa kambo kwenye uchawi. Nikamuuliza mdogo wangu mbona huyo bwana yako ni mkubwa sana kwako jamani? na kwanini hujatuonyesha hapo awali? maana huyu ni ndugu yake mama ya kambo! Sasa ebu fikilia huo ukoo alafu unakubali kuzaa nae. kumbe yule kaka yake na mama wa kambo alikamata akili za mdogo wangu kichawi ili watualibie maisha yetu mimi, baba pamoja na mdogo wangu ili walipize kisasi cha mdogo wao kuteseka. Mzimu wa mama uluangaika sana kumsaidia mdogo wangu ukashindwa. Na mdogo wangu akili yake yote ilikuwa kwa mchumba wake ata ukimshauli amuache hakuelewi kabisa. Hatukua na jinsi ikatubidi tumuache na mimba yake ya yule mchumba wake. Siku moja mida ya usiku tukiwa tumelala mdogo wangu alipiga kelele sana alilia kama anachomwa na moto yani. Tulipo enda kumuangalia chumbani kwake tukakuta anatkwa na damu nyingi sana sehemu zake za siri. Ndipo tukamchukua na kumpeleka hospitali anapo fanyia kazi ila tulishangaa sana siku ile alipo pima haikuwa mimba tena dakitali alisema anaona kitu kama jiwe ndani tumbo lake, mdogo wangu alianza kulia sana akasema tumpigie simu mchumba wake aje, kumbe mda huo mchumba wake alikuwa na wachawi wenzake wakipanga kumuua mdogo wangu mda huohuo....Usikose sehemu ya 67

                       SEHEMU YA 67.
Kipindi wale wachawi wanapanga kuondoa uhai wa mdogo wangu, mdogo wangu alilia sana pale hospitali, maana alikuwa anasikia uchungu usio elezeka masikini, kitendo kilicho wakwaza wengi, sanasana wale waliokuwa wakimfahamu,  wataalamu wote waliosoma udakitari na mdogo wangu walijaribu sana kufanya utafiti wote kwa uwezo na juhudi zao zote ili waweze kunusuru maisha ya rafiki yao lakini hawakufanikiwa, kipindi zimebaki kama dakika 30 ili mdogo wangu apoteze maisha yake ! Nilianza kulia sana mimi pamoja na baba, maana povu lilikuwa limeanza kumtoka mdomoni mdogo wangu, chakula alikuwa hali tena zaidi ya kulishwa na mlija kupitia puani mwake. Dakitari mmoja akasema "jamani ndugu zangu tumejaribu kufanya kila mbinu ila tumeshindwa maana tumboni kwake tunaona jiwe sio mtoto tena na tunaogopa kumfanyia upasuaji maana damu inamtoka sana sehemu zake za siri hivyo anaweza kufa mda sio mlefu hapa, bora tuwaachie wataaramu wa kimila hii kazi" dooh nikamuuliza "sasa dokta jamani tunamsaidiaje mdogo wangu, ebu tazama macho yake hayaoni sasa, wala hawezi tena kutoa sauti katika kinywa chake"  daktari akasema "nilikuwa namaanisha tumkimbize haraka kwa mganga wa Jadi   mmoja hivi labda anaweza kumsaidia" baba yangu mzazi akakataa akasema "hapana tumuamini mungu tu kwa hili jambo! kwa mganga tusiende, mungu atatusaidia mpaka atapona" na mda huo zimebaki dakika 20 tu kaka yake na mama wa kambo waweze kufurahia kunywa damu na nyama ya mdogo wangu. Walitaka kumuua ili mambo yote ya mama wa kambo yafanikiwe! asiweze kuteswa kamwe na mizimu na asiteseka kamwe maisha yake yote, Wakati wale madaktari na baba wanabishana kuhusu mganga, ilibidi mdogo wangu abebwe kwanguvu ili akafanyiwe tambiko kwa mganga wa jadi, mdogo wangu akapandishwa kwenye gari akiwa hajitambui na akiwa kakodoa macho sana,  alipo wekwa kwenye gari ili apelekwe kwa mganga. Wale wachawi wakagundua ule mpango ndipo wakaja kichawi kuzuia safari hiyo hiyo mida ya usiku, ili waweze kuzuia  msaada wa kwa mganga. Kipindi  anapelekwa kwa mganga haraka haraka usiku sana. Walishangaa kukuta mawe makubwa na mazito sana barabarani yameziba barabara ili wasipite dooh na hakukua na njia ya pembeni ile sehemu maana juu ilikuwa ni mlima hivyo gari la yule daktali lisingeweza kupita kabisa. walipoenda kuyatoa yale mawe ili wapite maana njia nzima ilizibwa kabisa jamani. Wakati huo pia mda nao ulikuwa unaenda sana kipindi wanaangaika kuyatoa yale mawe yaliyo kuwa yamewekwa na wale wachawi. Dakika zilikuwa zimebaki 2 tu mdogo wangu apoteze maisha yake! Mimi nilikuwa ndani ya gari na mdogo wangu niliumia sana jamani mdogo wangu aliponishika kichwani akinipungia mkono wake akiniaga kuwa anakufa, dooh kule nje Madaktari walikata tamaa palepale maana kiukweli yale mawe yalikuwa mazito sana, yaliwashinda nguvu zao na akili kabisa. Ilipo baki dakika moja mdogo wangu afe mimi tayari nilikuwa nimeisha anza kulia tayari maana damu zilianza kumtoka sikioni pamoja na jicho lake la kushoto.. Dooh ilikuwa ni simanzi na majonzi sana kwa kila mtu maana jicho lilimtoka sana mdogo wangu jamani yani jicho likawa jekundu sana, mdogo wangu masikini alianza kuachama mdogo wake akiufumbua  sana tena akiwa anajiviringisha kwa kujigalagaza maana kifo kilikuwa kinamuita sasa. Tumbo lake likikuwa kubwa sana ngozi ikawa nyepesi kiasi kwamba tulishangaa sana. watu waliumia wakasema mengi "jamani huyu dada kasoma sana. alikuwa na akili sana darasani leo hii amelogwa anakufa na elimu yake jamani dooh inauma sana hii" wakati amebakiza sekunde chache ili apoteze maisha. Radi kali sana ilipiga ghafla, tena yenye mwanga wa ajabu ambao nilikimuwa sijawai kuona maisha yangu yote. Kumbe ni mzimu wa mama ulikuwa umekuja kwa kasi sana kumsaidia mdogo wangu. Mzimu wa mama ukasema "siwezi kukubali mwanangu afe" Wale wachawi pia hawakukubali ndipo wakaanza kuzuia mzimu wa mama usiweze kumsaidia mdogo wangu. Dooh mama aliteseka sana maana wale wachawi walikuwa wengi na walikuwa na nguvu pia. Kipindi mama anajaribu kupambana kunusuru uhai wa mdogo wangu. Mchawi mkuu alikuja na mchanga uliyoko juu ya kabuli la marehemu mama yangu alafu akaurusha kwenye kivuri cha mzimu wa mama. Dooh mzimu mama uliishiwa nguvu kabisa. wale wachawi walicheka sana wakisema "tumekuweza sana leo umetusumbua sana we mwanamke" mama alishindwa cha kufanya kabisa, mzimu wa mama ukaondoka eneo lile. Wakati mdogo wangu anaanza kukata roho. Wale wachawi wakaanza kufurahi wakisema "tumewashinda nguvu hawa watu wa mungu tukale nyama yake sasa huyo binti" niliumia sana kumuona kaka yake mama anashirikiana na wachawi wenzake kumua mdogo wangu. Mdogo wangu alipo anza kufumba macho sasa anaelekea kupotea nililia sana niliumia sana jamani nilisikitika maana ndiye alie kuwa tegemezi na ndiye aliekuwa msomi kwetu, kabla hajafa mala ghafla tena! Mzimu Mama danieli ulikuja  kipindi wale wachawi  hawajajipanga kabisa.  Ndipo mzimu wa mama dani ukaniambia  kwamba " mwanangu nusuru maisha ya mdogo wako amebakiza sekunde chache afe" nikauliza nifanye "nini sasa jamani mimi, "  mzimu wa mama danieli ukaniambia "Nyofoa nyusi moja ya mdogo wako kisha weka mdomoni mwake haraka sana" nilifanya hivyo hapohapo. Nilishangaa mdogo wangu anaamka anashangaa kafikaje pale! akashangaa pia kuona anatokwa damu bila maumivu, na mda ule mzimu wa mama ulipo shindwa nguvu na wale wachawi, Kumbe mzimu wa mama ukaenda mpaka kwenye makao makuu ya wale wachawi kisha akachoma moto vyombo vyao na mitunguri yao yote ya kishirikina na baada ya mdogo wangu kumuwekea nyusi alipona hapohapo wale wachawi walivyo ona amepona na wao wameishiwa nguvu. Walirudi haraka makao makuu yao ya uchawi kuchukua nguvu upya ila wakakuta uchawi wao tayari umeunguzwa wote na moto. Waliumia sana walilia sana maana ata pembe lao la kichawi lilichomwa. Ndipo wakaachana na uchawi maana hawakuwa na uwezo wala nguvu  tena, waliteswa sana jamani maana wale watu wote walio watoa kafara waliwatokea sana jamani wakiwa wanalia wakiwambia wale wachawi "kwanini mlituua sisi " na  lile jiwe tumboni mwa mdogo wangu likapotea kabisa ikarudi mimba ya ukweli ya Yule kaka yake mama wa kambo. Baada ya yule kaka kuona kapoteza uchawi na hana maisha tena akarudi kuomba msamaa kwa mdogo wangu maana uchawi wao wote uliharibika! Alirudi mdogo wangu akasema siwezi kukusamee kabisa yule kaka akasema  "naomba unisamee sio mimi nilitaka kukuua, ilikuwa ni amri nilipewa na wakuu wangu kuuwa maana  bila wewe kufa ndogo wangu angeteseka sana na ulioneka kuwa na ulinzi mkubwa maana ulipona ile dawa tulikutegea  chini ya godoro lako pia ulitoroka kwa mama dani baada ya kunusulika kifo,  naomba nisamee nimeacha uchawi sahivi tuzae mtoto tumlee pamoja". Yule kaka alikataliwa msamaa wake akaambiwa "je ningekufa mimi mtoto ungetutoa wapi".  Baada ya mama yangu wa kambo kuangaika sana bila kupata kazi ndipo akaamua kutafuta japo kazi za usafi.  akawa amepata kazi ya kufanya usafi ndani ya hospitali kubwa mjini na kufua mashuka na kusafisha vizuri hospitali. Maisha ya kaka yake mama wa kambo na mama wa kambo yalikuwa magumu sana waliangaika sana na maisha. Baada ya kama miezi min'ne uchungu wa kujifungua ulimshika mdogo wangu. Dooh alikuwa muoga sana maana ndiyo ilikuwa mimba yake ya kwanza, alilia sana siku hiyo akihema kwa spidi sana. Ndipo sisi haraka haraka tukampeleka hospitali. Mdogo wangu aliangaika sana kwenye kujifungua maana njia ilikuwa ndogo ikabidi aongezewe njia ili mtoto apate kupita na kuzaliwa salama. Mungu saidia mdogo wangu akajifungua salama mtoto wa kiume mzuri mwenye kilo za kutosha tu. Kumbe ile hospitali ndipo palepale masikini wa mungu! mama yangu wa kambo alipo kuwa anafanyia kazi za kusafisha vyumba na mazingila yote. alipo muona mdogo wangu kajifungua mtoto alafu mdogo wangu alimkataa kaka yake wivu ukamshika mama wa kambo! ndipo akapanga kumuua mtoto wa mdogo wangu. Mdogo wangu alipata maumivu sana wakati wa kujifungua hivyo akasema "mwanangu nimekuzaa kwa shida sana nitakulea vizuri mpaka usome uwe mkubwa" mda huo mama yangu wa kambo anaumia sana kumuona  mdogo wangu kajifungua salama kachanga kake. Kipindi mama anaenda bafuni kuoga akiwa ameacha kachanga kake kitandani! Mama wa kambo alijifanya anaingia mule ndani kufanya usafi kisha akachukua kale kachanga akakajaza pamba nyingi mdomoni kasipige kelele akakaweka kwenye ndoo ya uchafu kisha  akaenda kukatupa kwenye shimo la uchafu nje ya hospitali.  Mdogo wangu alipo toka bafuni na kurudi kitandani doooh! akakuta mtoto hayupo! alipo uliza manesi wote kuwa "mtoto wangu yuko wapi" wakasema hawajui mtoto alipo, mama wa kambo mda wake wa usafi na wenyewe ukawa umeisha akawa ameondoka kwake. Dooh mdogo wangu alilia  sana alilia akasema mikosi gani hii  jamani. Kipindi kachanga kapo kwenye shimo la uchafu kakiteseka kujiviringisha maana kulikuwa na siafu na sisimizi wengi shimoni na siafu kweli kabisa zilimn'gata sana mtoto jamani, lakini mungu saidia ule mtaa kuna mbwa mmoja aliyekuwa hana makazi maalumu, hivyo alikuwa mbwa wa mtahani tu. Yule mbwa alikuwa anapenda sana kwenda kwenye lile shimo la uchafu kisha anakula zile nyama za watu walio tailiwa. Maana zilikuwa zinatupwa mulemule shimoni. Sasa siku hiyo yule mbwa wakati yupo shimoni akakuta mtoto akiwa mzima bado! Mbwa alishangaa maana mtoto alikuwa anachezesha mikoni na miguu,  ndipo mbwa akaanza kumlambalamba kwa ulimi mtoto mdomoni mpaka zile pamba zote zikatoka alizo jazwa mdomoni ili asipige kelele. mala ghafla mtoto akaanza kulia sana sauti ikisikika mpaka nje. Watu walishangaa ndipo wakaenda kumtoa mtoto walipo muangalia kumbe ni mtoto wa mdogo wangu. " hama kweli Kama siku yako ya kufa haijafika, huwezi kufa". Mdogo wangu alishangaa sana imekuwaje mtoto wake atupwe shimoni yule mbwa alikuwa muogoa sana alipo ona watu alikimbia mbali. Waandishi wa habari walivyo kuja wakaanza kutangaza kwenye vyombo vya habari kuwa "DAKITALI HAJIFUNGUA MTOTO NA KUMTUPA  SHIMONI, MTOTO MANUSRA KULIWA NA MBWA WA MTAANI"
Usikose sehemu ya 68.


                           SEHEMU YA 68.
Mdogo wangu alilia sana, alisikitika huku machozi na simanzi ikimtoka akisema kwamba, "mimi sijamtupa mwanangu shimoni jamani! mnanisingizia tu, nimemzaa mtoto wangu kwa uchungu sana, kwa tabu sana, yani mpaka kuongezewa njia yangu masikini! iweje nimtupe shimoni sasa?" hakuna alietaka kumuelewa kabisa, na taifa zima lilimjua mdogo wangu kuwa ni muuwaji! magazetu yote na vyombo vya habari vilimuongelea yeye tu jamani, maana waandishi wa habari na mapaparazi walieneza habari za uongo kila kona. Baada ya kila mtu kuamini kuwa mdogo wangu kamtupa mtoto wake shimoni kwenye takataka, hivyo basi serikali ikawa imemuachisha mdogo wangu kazi yake ya udaktari maana walimwambia kuwa "kama ulitaka kumuua mwanao kwa kumtupa shimoni, basi unaweza kuua ata watu wengine bila hatia akiwa mgonjwa". mtoto wa mdogo wangu yule aliye tupwa shimoni alijaribu kufanyiwa matibabu ili aweze kunusuliwa maisha yake, kumbe alivyo tupwa shimoni aliteguka shingo lake tena sana, vilevile zile sindano zilizo tumika kuchoma wagonjwa zilimchomachoma sana mtoto mwilini mwake, sio hivyo tu mtoto alin'gatwa pia na wadudu mule shimoni tena wengi kama sisimizi, hivyo hari ya mtoto haikuwa nzuri sana kwa ujumla. Serikali ikafata mkondo wake, ilipanga kumkamata mdogo wangu na kumfunga maana kwa kile kitendo cha kutupa mtoto serikali iliamini kabisa kuwa ni kosa la jinai. Kipindi polisi wamekuja kumkamata nilijaribu kuwazuia nikisema "jamani msimkamate mdogo wangu mbona matatizo yanamuandama sana yeye? Wakati huo nikiwa nalia kama mtoto mdogo wangu akasema "kaka ngoja tu nikaishi jela maana nimeisha choka na mikosi ya hii dunia" aliyasema hayo akiwa analia sana mdogo wangu!  wakati amevishwa pingu ili apalekwe kituoni dakitali mkuu akasema "msimkamate huyu dada maana sheria hairuhusu kukamata mtu akiwa ananyonyesha, muacheni kwanza mtoto anyonye akuwe, akiisha muachisha tu ndiyo muendelee kumkamata! maana mkimkamata tu, msisahau kuwa  mtoto wake sahivi anaumwa inabidi atibiwe ale ashibe vizuri, alafu kumbukeni maziwa ya mama ndiyo yana nguvu sana tena sanasana yale ya mwanzoni mpaka mwezi wa sita yanaleta kinga kwa mtoto na pia mtoto kukuwa salama hivyo mkimkamata huyu mama mtakuwa mnamuua mtoto" serikali ikamsamee kwa mda ila wakasema tutaendelea kufanya uchunguzi kwa kina ili tujue nani kafanya kosa. Nilimuulumia sana mdogo wangu nikamwambia "tafadhali usikate tamaa" mdogo wangu alisema kuwa " "kaka Nilikuwa najiuliza juu ya siku za kuzaliwa na kufa mwenyewe. Kwa nini nilipozaliwa nililia peke yangu wakati watu wote walifurahi? Kwa nini nitakapokufa nitanyamaza peke yangu, Huku wote wakilia? Nikagundua nilipozaliwa nililia kwa sababu nilkuwa nimeingia katika Dunia ya Mateso, Dhiki, Adha, Uchungu na Ufalme wake shetani. Na nitanyamaza peke yangu kwa kuwa nitaondokana na dunia ya mateso na shida. Hivyo sikati tamaa ngoja nipambane tu kaka mungu atanisaidia. Mdogo wangu Aliyasema hayo maneno maana jamii ilikuwa imemkataa kabisa, yani tena katakata ikimjua kuwa ana roho mbaya sana. Baada ya mtoto wa mdogo wangu kufanyiwa matibabu alipona akawa safi kabisa bila magonjwa wala tatizo mwilini mwake. Ilipo pita miaka miwili na nusu.
Serikali ikaanza msako wa kutaka kumkamata tena mdogo wangu, wakisema mda wa kunyonyesha umeisha unatakiwa kuukumiwa kifungo. Mdogo wangu akasema "mimi mnanionea jamani ata sijui alie mtupa mwanangu ninani kwenye shimo la takataka za hosipitali", sababu mdogo wangu alikuwa ameenda kwenye hosipitali kubwa kujifungua  hivyo mwenye hospitali akasema kuwa "hosipitali zangu zina kamera hivyo ngoja tukaangalie matukio yote ya nyuma tutajua alie mchukua mtoto, na kama ni wewe bora ujisalimishe mapema maana serikali yaweza kukuongezea adhabu" mdogo wangu alijiamini sana akasema "sio mimi niliemtupa mwanangu shimoni". Kweli kipindi mdogo wangu yupo mahakamani anasubilia hukumu yake dakitali alikuja na CD Ikionyesha kuwa mama yangu wa kambo ndiye aliye fanya lile tukio! watu hawakuamini, sisi tukasema huyo ni ndugu yetu hatujui ata anaishi wapi , vyombo vya habari vyote vilikanusha kuwa sio mdogo wangu alifanya lile tukio bali ni mama yake wa kambo. Ndipo mama yangu wa kambo alianza kutafutwa sana na polisi ili aweze kukamatwa. Mzimu wa mama ulimfata mdogo wangu ukiwa kwenye majonzi sana ukamwambia kwamba "mwanangu matatizo haya yote umeyapata umeyasababisha wewe mwenyewe umesahau fadhila zote ulizo tendewa, naomba urudi kijijini kwa hans ukakomboe maisha yao wanaishi kwa shida sana kumbuka bila hans yule mbunge asinge kusomesha kumbuka ulikamatwa kwenye muembe manusra upigwe ufe hivyo kamsaidia hans kasaidie watoto wa hans maana hans ndiye alikulea ndiye alie niokota nikiwa nakaribia kufa akakulea wewe tangu ukiwa mdogo. Mdogo wangu alisema sawa nimeelewa mama nitafanya hivyo na shetani alinipitia tu. Wakati huo Mama yangu wa kambo akaaanza kutafuta njia mbali mbali za kutaka kujificha ili asiweze kukamatwa. Na baada ya Mama yangu wa kambo kugundua kuwa picha ya sura yake imebandikwa kila kona ili akamatwe. Isitoshe serikali kuhaidi kutoa posho kwa mtu yeyote atakae mkamata! ndipo mama akaanza kuvaa nguo za kumsitili mwili mzima mpaka kininja ili asigundulike  lakini akaona hawezi kuendelea kuvaa vile, ndipo akaamua kujimwagia tindikali usoni  mwake masikini! Dooh  nyama yake ya usoni ikaharibika sana yani ata ukimtazama uwezi kugundua kama ni yeue na aliteseka sana kutunza kile kidonda mpaka kupona maana kilimtesa sana kidonda alikuwa analia usiku mzima na mchana pia mwenyewe ndani. Alipo anza kupona alikuwa hatambuliki kabisa ata ukimuona huwezi kumtambua kabisa maana alinyoa nywele akawa na kipala pia ukiangalia sura imeungua mpaka shingoni. Hivyo mama akawa na sura mbaya sana vilevile matiti yake yalikatwa zamani hivyo alikuwa mwanamke wa ajabu sana asie tamanika kabisa. mdogo wangu alimsikiliza sana mama tukaanza kutoa misada kwa hans na watoto wake pia tukawa kama familia moja kabisa. Kumbuka baada ya serikali kugundua mama hana kosa la kimtupa mtoto wake shimoni! ikamrudisha kazini nakumlipa pesa za kumsingizia yani za usumbufu hivyo mikosi na matatizo yote yakawa yameisha kwa mdogo wangu. Siku moja mama wa kambo alienda kwenye nyumba za wageni kuomba kazi ya kuwa mama gesti. alikubaliwa lakini aliambiwa kazi yake kubwa itakuwa ni kufua mashuka ya vyumba vya kulalia wageni. Sasa siku moja alishawishika kuingia kwenye chumba cha mteja kisha akaiba simu ili akauze apate hela. wakati anatoka chumbani mwenye simu nae alikuwa anafika kutoka dukani! bahati nzuri akamkamata mama dooh mama alipigwa sana mule ndani na yule kaka watu wote wakatoka kwenye vyumba vyao kumuangalia mama wakati wanataka kumfukuza ndani ili atoke nje ya gesti apigwe na raia wengine kwenye vile vyumba vya wageni kumbe yule rafiki yake mama wa kambo alikuwa amekuja na mme wake wa kizungu kutoka Germany hivyo wakawa wamefikia kwenye ile nyumba ya wageni. Sasa mama wa kambo alivyo muona akaanza kumwambia nisaidie nauliwa jamani yule dada alishangaa sana maana mama alimuita na jina kabisa. Mme wake akamuuliza unamjua huyu mtu. Yule dada hakumkumbuka kwa kweli maana mama wa kambo alikuwa kajiaribu sana uso yake na ile tindikari hivyo hakutambulika kabisa alipigwa sana mpaka akatolewa nje ya gesti akakimbia akiwa miguu peku na kanga yake moja tu. Kama yake na mama wa kambo alipo ona mtoto wake analelewa vizuri na mdogo wangu akapanda juu sasa akasema "namtaka mwanangu maana nimemzaa mimi na bila mimi hasingepatika huyo mtoto nipeni damu yangu niondoke nayo" mdogo wangu akamuuliza swali, "ningekufa je? Au dada yako alivyo mtupa shimoni angekufa je? Yule mwanaume akashikwa na kigugumizi, akasema lazima tumkose wote mtoto....

USIKOSE SEHEMU YA 69
                 

                  













      SEHEMU YA 69.
Kaka yake na mama wa kambo alitaka kumuiba yule mtoto ili akaishi nae yeye! maana hakufurahia kabisa, kuona mtoto anabaki kwa mama yake akiwa anatazama tu. Ndipo akaanza kufanya mikakati na mipango ya kumuiba yule mtoto. Sasa siku moja kipindi mdogo wangu ameenda kazini mimi pia nipo kwenye miangaiko yangu pamoja na baba kwenye kazi zake, kule nyumbani alikuwepo dada wa kazi tu aliekuwa akimuangalia mtoto mda wote. Kaka yake mama alikuja akijifanya amekuja kusalimia pale nyumbani. Alisema kuwa "jamani dada nimewakuta ndugu zangu" akajibiwa kwamba "wote hawapo! wameenda kwenye miangaiko yao" kaka yake mama alicheka akasema "wale ni ndugu zangu sana hivyo nilikuja kuwasalimia nimuone na mtoto pia je yupo?" dada wa kazi akamjibu kuwa "mtoto yupo ndani nimemaliza kumuogesha sasa hivi na ameisha kula tayari hivyo unaweza kuingia ndani kumuona aina shida kabisa" kweli kaka yake mama aliingia ndani kisha akambeba mapajani mtoto vizuri, akamtazama mtoto wake alivyo mzuri! akaanza kufikilia ni jinsi gani anaweza kumuiba mtoto bila yule binti kufahamu. Akamuita binti wa kazi "dada samahani njoo" akamwambia "hivi awa ndugu zangu wanaweza kurudi mda gani nyumbani?" Akajibiwa na binti kwamba "hawana mda maalumu ata sahivi wanaweza kuja" kaka yake mama akashituka akajua anaweza kugundulika au akafumwa na kukamatwa hivyo akasema tena "dada naweza kukutuma vocha nje mala moja" alimwambia vile ili atoroke haraka, ila yule dada wa kazi akasema "bosi alinikataza nisitoke nje ya geti maana kila kitu kimo ndani tayari, hivyo nikitoka anaweza kuniachisha kazi" kumbe yule kaka yake  mama alitaka kumfanya yule dada atoke nje ili atoroke na mtoto haraka, Sasa yule binti alivyo kataa kufata vocha yule kaka akachukia akawaza kichwani mwake akisema "leo nisipo toroka na huyu mtoto basi siwezi pata nafasi nzuri kama hii"  ndipo palepale akamlaza mtoto kwenye sofa kisha akamuita yule binti, binti alivyo fika akamkamata kwanguvu sana dada wawatu, kisha akafunga kwanguvu kwa kumkaza miguuni na mikononi kwa kutumia mapazia ya pale nyumbani. Binti wa kazi alianza kulia akisema nisamee jamani sina kosa, ila hakusikilizwa kabisa, wakati yule binti anajiviringisha sakafuni kutaka kufunguliwa miguu na mikono, kanga yake ikawa imejifungua! ikadondoka kibaya zaidi yule binti alikuwa na tabia ya kuvaa nguo ya ndani na kanga  moja tu asubuhi! sasa kanga ilivyo dondoka maumbile yake ya ndani yakawa yanaonekana! kaka yake mama alivyo yaona yale maumbile ya yule binti palepale pepo pia likawa limempitia akavutiwa na mwili wa binti, ndipo akamvua nguo yake ya ndani na kumfanya kitendo kwa lazima. Alivyo maliza kumbaka akafunga zipu yake kisha akamuacha yule dada akiwa uchi tena anatokwa damu sehemu zake za siri maana alikuwa bado ni bikira maana alikuwa bado mdogo katolewa kijijini kwa kina Hans kusaidia kazi za ndani. Ndipo kaka yake mama akambeba mtoto kisha akachukua elfu kumi mezani ya matatizo madogomdogo ya pale nyumbani kisha akaondoka nayo. Sisi tulivyo rudi nyumbani, mimi na baba tuliona haibu sana maana yule binti alikuwa uchi hivyo tukatoka nje kwanza, mdogo wangu wa kike akaingia na kumvalisha nguo. Tulipo muuliza "mtoto yuko wapi" akasema "kuna mgeni amekuja akasema kwamba ni ndugu yenu, hivyo nikamkalibisha kwa furaha zote ndani lakini kumbe ni mwizi tu, kanifunga na pazia, kanibaka alafu kamuiba mtoto" mdogo wangu akauliza "anafananaje?" Alijibiwa na binti wa kazi  kuwa "yule baba ana m'vi alafu anafanana sana na mtoto wako alafu rangi yake ni maji ya kunde" mdogo wangu akagundua kuwa ni yule kaka yake mama wa kambo. Alilia sana mdogo wangu akasema "jamani kumbe alivyo sema tutamkosa wote alimanisha, na kwanini ambake binti wangu wa kazi pia kamkosea nini" hatukuwa na jinsi ikabidi tuka ripoti kituo cha  polisi. Kipindi kaka yake mama wa kambo yupo na mtoto, aliamua kupanda gari ampeleke mtoto kijijini kwao akamkuzie ukouko. Mimi na mdogo wangu tulijaribu kuzunguka maeneo ambayo tulihisi tunaweza kumpata kaka yake mama lakini hatukufanikiwa. Sasa kipindi kaka yake mama anamsafilisha mtoto kimya kimya, wakati safari inaendelea mtoto alianza kulia sana kwenye gari alilia sana alipiga kelele kaka yake mama alijitahidi kumbembeleza lakini mtoto wapi, hakusikia! kaka yake mama nalimshikisha mtoto vyakula,juisi lakini mtoto alilia sana, mpaka akaanza kuuzi watu ndani ya gari. Baba mmoja akasema "we baba mbona mtoto analia sana umemuiba au" akamjibu "hapana namtoa kwa bibi yake nampelekeka kwa mama yake maana alikuwa anamlilia sana mama yake" watu hawakumuamini kabisa maana mtoto alilia tangu safari inaanza mpaka mda ule. Ila kaka yake mama alijikaza sana na mtoto. Akiwa anaongea mwenyewe kwamba "siwezi kumuacha mwanangu kabisa".huku kwetu pia Mdogo wangu aliumia sana akasema "mtoto wangu nilimzaa kwa tabu alafu anaibiwa nikiwa natazama tu". Nilimpa moyo kuwa "kila jambo linalo tokea linasababu yake". kipindi kaka yake mama yupo ndani ya gari akiwa anafurahi kuwa amefanikiwa kuiba mtoto, kumbe "Unapo tenda mambo mabaya kwa wenzako kumbuka malipo ni hapahapa duniani" hatukujua kuwa yule mtoto alikuwa ni mtu sawa, lakini alikuwa kapatikana kwa nguvu za kishirikina maana ata mdogo wangu alipata mimba sio kutoka kwa baraka za mungu, bali ni nguvu za kichawi ndizo zilizo mchanganya akili kumfanya yeye amkubalie yule kaka kuwa nae katika mahusiano ya  kimapenzi, na ata kipindi cha mimba kuna kipindi alionekana kama vile ni jiwe lipo tumboni, hivyo ata yule mtoto angekuwa mkubwa angerudisha zile nguvu za kishirikina zilizo chomwa na mzimu wa mama.  Sasa kipindi kaka yake mama amembeba mtoto wakiwa kwenye gari mtoto alipata usingizi akalala. Ila bahati mbaya dereva gari lake likavunjika breki likiwa kwenye mkali sana masikini, hivyo dereva  akaruka nje ya gari kukomboa uhai wake na akawaacha abilia wote ndani. Kaka yake mama alivyo ona hajari kubwa itatokea ndipo kwa ushenzi wake akaamua kumrusha mtoto nje kupitia dirishani ili asife, bahati mbaya mtoto akaangukia kwenye tairi la gari hivyo mtoto akakanyagwa na taili kichwani akapasuka kichwa akafa palepale. Lile basi pia likapinduka vibaya masikini walikufa abilia wote ila dereva alitoroka nakujificha ili asikamatwe. Hivyo kaka yake mama yangu wa kambo  na mtoto wake wakapotea kwa njia za kutatanisha sana.  Baada ya miaka mi tatu tukiwa tumeisha sahau matukio ya nyuma yote, Siku moja nimeenda kuweka mafuta kwenye gari nikakutana wa Wastara kwenye sheli ya mafuta. Alifurahi sana tulivyo onana akaniuliza kuwa "ulipotelea wapi" nikamueleza akanipa pole kwa matatizo yangu yote kisha tukabadilisha namba za simu. Sasa siku moja wakati tunawasiliana nae,  nikamuelezea kuwa nataka kuoa sasa nipo natafuta mke, alifurahi sana akasema ni wazo zuri na akaniambia kuwa "nina mdogo wangu wa kike nitaongea nae akikubali nitakwambia, ila kwa jinsi ulivyo anakufaa sana mtaishi bila wasiwas kwenye ndoa" Kweli mdogo wake hakuwa na kipingamizi akanikubalia ombi langu, sababu na mimi nilikuwa nimempenda sana nikaamua kuvumilia yote, yani nifunge nae kwanza ndipo tendo la ndoa litafata, Wakati tunafanya mipango ya harusi kumbe yule binti alikuwa anaujauzito wa wiki mbili, na mimba hiyo alipewa na mpenzi wake lakini yule bwana yake akaikataa mimba!  hivyo akataka kunishikisha hiyo mimba yake mimi.
Usikose namba 70

               




















     SEHEMU YA 70.
 Mdogo wake wastra alikuwa ni binti mwenye heshima sana! alikuwa mpole mwenye hekima pia, ila aliogopa kuniambia kama ni mjamzito akijua kuwa akiniambia tu naweza kumkimbia na kumkataa kabisa. Na mimi sikumuhisi chochote kibaya kutoka kwake nilimuamini 100%! Tena kwa kila kitu mpaka nikaamua kupanga mikakati ya harusi baina yangu mimi na yeye. Na hiyo harusi nilitaka iwe mapema kabisa yani ndani ya wiki hiyohiyo ili nimuoe awe wangu wa maisha kabisa nisije kuibiwa, Nilianza kuandaa michakato ya harusi ili nimuweke ndani, maana tangu niingie nae uchumba sikuwai kumgusa wala kumwambia chochote kuhusu tendo la mapenzi, ingawa yeye alitamani nifanye nae tendo lile, ila mimi nilijaribu kumuonyesha nampenda hivyo sikuitaji kufanya kabla ya ndoa. Marafiki zangu wote walinisifia na kunipa baraka zao wakisema "rafiki yetu kweli hapa umepata mke" sikuwaza kwenda kupima afya   kabla ya harusi maana nilikuwa namuamini sana mchumba wangu jamani, sababu alikuwa mpole, msataarabu, msafi, mzuri sauti ya upole na mcha mungu pia. Kweli mipango ya harusi ikaandaliwa na walikuwepo wageni wengi maana ilikuwa ni harusi ya kifahari, dooh  "kweli malipo ni hapa hapa duniani" nakumbuka ilikuwa tarehe 27/10/ mwezi na tarehe ambayo baba alimleta mama kambo nyumbani nakumfukuza mama, na mimi ndiyo tarehe hiyo hiyo matatizo yalinikuta ndani ya harusi yangu pia. Ebu kumbuka yule kijana nilie kuwa nafanya nae kazi za ujenzi ambae alimuuwa yule dada tulie kuwa tunamdai pesa za kumjengea nyumba yake, na alivyo muua akatoroka bila kuniaga ata mimi mpaka nikahukumiwa kifungo ila nikawatoroka pia maafande. Kumbe huyo kaka ndie aliekuwa amempa mimba mchumba wangu alafu akaikataa sababu ya ugumu wa maisha. Yani inauma sana hii, kipindi tupo kanisani tunapeana ahadi, mimi nipo natoa kiapo nikiulizwa na padri, kwamba "bwana harusi je upo tayari kuishi na mke wako kwenye shida na raha mpaka kifo kitakapo kuja kuwatenganisha" kabla sijatoa kiapo cha kukubali, ndipo palepale yule rafiki yangu, yani huyo kaka aliempa mdogo wake wastara mimba akaingia kwa kishindo na kupiga kelele akisema kanisani kuwa "nina vipingamizi na hii ndoa naomba isifungwe" dooh kila mtu kwanzia padri, wageni waalikwa wakamgeukia yeye mlangoni, Usisahau kuwa ndoa yangu na mke wangu ilikuwa ya kifahari sana mpaka tukairusha hewani kupitia vipindi vya kwenye Tv, ili itazamwe na watu wengi. Sasa siku hiyo kumbe ndugu zake yule dada marehemu alie uliwa na rafiki yangu walikuwa wanatazama hiyo ndoa kwenye Tv, ndipo walimuona pia huyo kaka anavyo katisha ndoa yangu kanisani. Wakasema "jamani huyo kaka si ndiye alie muua ndugu yetu" walipo nitazama na mimi bwana harusi wakasema na "yule bwana harusi si ndiye rafiki yake? Hatuwezi kukubali! tukachukue mapolisi tukawakamate". Mda huo pia na mimi pale kanisani namshangaa sana yule rafiki yangu alie ua akatoroka. Nikajiuliza sana maswali huku matetemeka kama mwizi! kwamba "kafata nini tena kuniaribia harusi yangu jamani" wakati nipo nimezubaa nikiwa nimevaa suti nimependeza sana huku haibu tele usoni mwangu! Huku pia wageni waalikwa wakiwa wameshangazwa kwelikweli kwa kile kitendo, Nilishangaa kuona mke wangu analia akisema "mme wangu nakupenda sana achana nae huyo kaka" padri akamuuliza "wewe kaka shetani unaharibu ndoa za watu tatizo lako nini?" Wakati rafiki yangu anataka kusema ndoa isifungwe huyu bibi harusi anaujauzito wangu kabla hajasema Palepale difenda ya polisi na wale ndugu zake marehemu walio tuona kwenye tv wakawa imefika. Ndipo mimi bwana harusi pamoja na yule rafiki yangu alie kuja kuniaribia ndoa tukakamatwa kisha tukapelekwa kituo cha polisi kusubilia hukumu. Watu walishangaa sana nakusema kwamba, "inauma sana bwana harusi anakamatwa kwenye harusi yake, tena akiwa amevaa suti ya bei vile, kibaya zaidi tv ya taifa inarusha hewani harusi yake" dah ilikuwa ni aibu tupu wengine wakasema, "bwana harusi aliua mtu kipindi cha nyuma leo kagundulika" bibi harusi alilia sana akasema "mme wangu wanamsingizia hawezi kuua",  Ndipo nikakamatwa bila kuwa na hatia yoyote ile, afande mmoja akasema ulitutoroka kipindi kile, sasa leo kesi yako ni ni mala mbili yake sasa. Baba na mdogo wangu pamoja na Wastara na yule bosi wangu walikaa chini kisha wakakumbuka kuwa mimi ni mtu wa kuonewa tu, maana ata bosi pale kwake alinifukuza bila kosa kabisa, ndipo wakaamua kukaa chini na kupanga mikakati ya kunisaidia nisifungwe Kifungo cha kunyongwa. Kesi yetu ilichukua miezi minane tangu nikamatwe. Yule rafiki yangu alikili kosa lake akasema kwamba "jamani niliua mimi, mama yule malehemu alikuwa ananizulumu pesa huyu mwenzangu hana kosa hajui chochote" hivyo mimi nikaonekana sina kosa, nilirudi nyumbani nikiwa nimekonda nimechoka sana sina raha kabisa, nilipofika nyumbani  nikijua nitamkuta mke wangu katika hari nzuri, kweli nilikuta mali kaziendeleza ila nilishangaa sana kumkuta na mimba kubwa wakati mimi nilikuwa sijawai kutembea nae, ndipo akaniambia, ilikuwa ya yule rafiki yangu alie ua, sikuwa na jinsi maana rafiki yangu aliukumiwa kifungo cha maisha, yani alinyongwa akafa kabisa, tuliishi kwa furaha sana katika maisha yetu. Ila mama wa kambo maisha yake yalikuwa magumu sana aliumia sana maana mizimu iliendelea kumtesa na kumpa shida kila wakati, mama alichoka sana na maisha  mpaka alianza kuwa kama chizi anavaa nguo bila kubadilisha mpaka ananuka mwili wake, mama wa kambo alikuwa hana mtu yoyote wa kumsaidia maana ata kaka yake alikufa kwa ajali ya gari, aliumia sana jamani, mama yangu wa kambo alitamani kumrudia mungu lakini akaogopa akihisi dhambi zake ni nyingi, siku moja usiku mida ya saa nane akafunga kamba juu ya mti kisha akapanda kwenye jiwe ili ajinyonge! wakati amelisukuma jiwe ili ajinin'ginize afe kamba ikakatika palepale, maana kamba ilikuwa imeoza sababu ilikuwa ya kutekea maji kisimani, na ilikuwa ya mda mrefu. Ila kamba ikawa amemchubua sana shingoni mwake. Baada ya miaka mitatu mama yangu wa kambo kutokana na miangaiko yake yote ya maisha mpaka kujimwagia mitindikali usoni, akajikuta anapata KANSA ya shingoni. Alizubaa kuitibu, kumbe kansa ikaenea mwilini mwake ikakomaa, hivyo basi kutibiwa kwake ikawa ngumu! maana alitakiwa kukatwa shingo kansa isienee mwilini zaidi, na kibaya zaidi, "mtu akikatwa  shingo anakufa" hivyo sasa, akaamua kukaa hivyo hivyo tu, shingo lilioza sana akavimba vibaya shingo lake. Yani shingo likikuwa na michilizi inayo tia kinyaa ukimtazama kwa macho unajisikia vibaya yani mwili unasisimka sana, Aliendelea kukaa ndani akiwa anaoza polepole,funza na nzi vilevile na wadudu wa kila aina walimjaaa mama wa kambo tena hao wadudu wakimtembelea akiwa bado ni mzima wa afya, kibaya zaidi alikuwa ananuka pia maana alikuwa mwasilika wa ukimwi ukichanganya na magonjwa yake pia akaisha mwili kabisa, watu walishindwa kumuhudimia maana alikuwa akijisaidia sehemu aliyo lala hapohapo, hivyo alikuwa anatoa harufu Kwelikweli. mama wa kambo alikata tamaa maana aliugua na hakuna ata mmoja alie mpelekea chakula. hakuwa na mtu wa kumpa msaada wowote, ata mimi na mdogo wangu tuliogopa kumsaidia maana tulijua ni kigeugeu sana unamsaidia leo kesho anakuua.  Ilipo fika tarehe 12/6/ siku na mda ambayo alifariki  mama danieli ndipo mama wa kambo alikata roho akafa mda huo huo pia, "kweli malipo ni hapahapa duniani". Mimi, mdogo wangu na baba tulipo pata taarifa za msiba wote tulienda kwenye msiba wake! Ili tumzike kwa amani. tulim'wagia mchanga kabulini mwake na tukaondoka makabulini pale. Tangu ile siku mama wa kambo amekufa, tunaishi kwa amani na upendo tele, mizimu ilipumzika kwa amani na haijatutokea mpaka leo,
MWISHO WA SIMULIZI YA DAMU YA BABA.
MTUNZI  FRANK DAVID
NAMBA za simu ni
+255769510060
+255673510161
Ahsante.


Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only